Historia ya Sheikh Suleiman Takadir kama nilivyoipokea kutoka kwa Sheikh Haidar Mwinyimvua

Historia ya Sheikh Suleiman Takadir kama nilivyoipokea kutoka kwa Sheikh Haidar Mwinyimvua

Ndio Mwanangu
Ni Babu Yangu
Bevin Tipha Msowoya
Mpiga picha wa enzi hizo magomeni mapipa
Jane...
Mimi nikimfahamu Kinondoni katika miaka ya 1960.

Nina picha zake alimpiga Ali Msham na Nyerere Magomeni Mapipa miaka ya 1950 katikati ni za kihistoria.

Mmehifadhi maktaba ya picha zake?
 
Jane...
Mimi nikimfahamu Kinondoni katika miaka ya 1960.

Nina picha zake alimpiga Ali Msham na Nyerere Magomeni Mapipa miaka ya 1950 katikati ni za kihistoria.

Mmehifadhi maktaba ya picha zake?
Ayseee miaka hiyo hata sijulikani
Hawajahifadhi SoMo yaani hakuna kitu kabisa picha zipo chache chache,nikipata zitakazokufaa ntakutumia
 
Ava...
Historia hiyo ya masheikh inatoka katika ofisi ya African Association mwaka wa 1929 ilipoasisiwa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) mwaka wa 1933 kuitia nguvu African Association mpaka baina ya vyama hivi viwili ukawa mwembamba sana.

Angalia hii kama ya TAA Political Subcommitee: Dr. Vedasto Kyaruzi (President), Abdul Sykes (Secretary) (baba yake Kleist Sykes ndiye aliyeasisi hivyo vyama viwili hapo juu na Abdul Sykes kasoma Al Jamiatul Ismaiyya Muslim School), Mufti Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Said Chaurembo Liwali wa Mahakama ya Kariakoo (hawa wanachama wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika), Steven Mhando na John Rupia.

Mkutano wa kwanza wa TANU August 1954 ulihudhuriwa na watu wasiozidi 20 miongoni mwao Abdul na Ally Sykes vijana wa Al Jamiatul Islamoyya, Iddi Faiz Mafungo na nduguye Iddi Tosiri wanachama wa Al Jamiatul Islamiyya.

Safari ya Nyerere UNO mkusanyaji fedha za safari alikuwa Iddi Faiz Mafungo Mweka Hazina wa Al Jamiatul Islamiyya na Mweka Hazina wa TANU.

Naamini kwa maelezo haya umeelewa uhusiano katika ya TANU Waislam.
Leo huitaki historia hii ielezwe hapa ipelekwe msikitini.

Historia hii bado ipo sana msikitini ila hapa JF mimi ndiyo nimeleta kiasi cha miaka 10 iliyopita na inapendwa sana.

Fuatilia uzi huu angalia watu wangapi wanausoma.
Hukuwa na sababu za kuwataja hao watu na tags za Taasisi zao kidini.

Ungesema tu walikuwa WATANGANYIKA WAZALENDO wa mwanzo na WAPIGANIA UHURU wa MWANZO ungeeleweka barabara!!.

Kama sio Religious Fanatism ni Nini basi!?.

Hii sio Historia ni ushabiki
 
Hukuwa na sababu za kuwataja hao watu na tags za Taasisi zao kidini.

Ungesema tu walikuwa WATANGANYIKA WAZALENDO wa mwanzo na WAPIGANIA UHURU wa MWANZO ungeeleweka barabara!!.

Kama sio Religious Fanatism ni Nini basi!?.

Hii sio Historia ni ushabiki
Mangu...
Ikiwa umeelewa hivyo hakuna ubaya wowote.
 
Niende vipi badala yeye alete hapa?kwanini nisiamini kama huyu ni muongo?
Mna...
Hapana sababu ya kughadhibika na kuniita mimi muongo.

Tukiingia katika lugha kali tutauharibu mjadala wetu.

Katika usomi kwa kawaida ukiweka rejea inaonyesha "citation," inakuwa imetosha.

Gazeti lenye picha hiyo na terehe nimeweka.

Ikiwa sasa unapenda kuona hiyo rejea ni juu yako kuitafuta.

Ukifika Maktaba ya Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam, East Africana utalipata gazeti hilo na utaiona picha ya Sheikh Suleiman Takadir.

Mimi nafanya juhudi ya kuipata hii picha.
 
Nisitafute mwenyewe kivipi wakati yeye ndie kaeleza juu ya hilo?
Mna...

1698924876941.png

Sheikh Suleiman ''Makarios'' Takadir
(Mwafrika 11 Oktoba, 1958)
 
Mbona historia zako na za masheikh zaidi??
 
Mbona historia zako na za masheikh zaidi??
Yoda,
Sababu ndiyo ambao lau walikuwa na mchango mkubwa katika historia ya uhuru wa Tanganyka lakini historia yao ilifutwa.
 
Back
Top Bottom