Historia ya Tanganyika: Kubali Ukweli Hata Kama Ukweli Unapingwa na Dunia Nzima

Historia ya Tanganyika: Kubali Ukweli Hata Kama Ukweli Unapingwa na Dunia Nzima

Unanyongwa kisa imani!!

Kweli,aiseh!
Ni mwongo huyu mzee,hao walinyongwa kwa kupinga utawala wa kijerumani full stop.
Songea Mbano ana jina lake la mwanzo la kikabila,
Yeye kasema alitwa abdulratif songea Mbano.
Mkomanile kamuita Khadija.
Huyo nae na wengine wote 60 wana majina ya kikabila.
Ye kapindisha na kaweka uislamu.
Wajerumani waliwanyonga kwa kupinga maslahi yao.
Huy mzee na bias zake za udini kae da huko kufanya utafiti wake misikitini.
Kaingizwa chaka anatuletea utopolo hapa.
 
Ni mwongo huyu mzee,hao walinyongwa kwa kupinga utawala wa kijerumani full stop.
Songea Mbano ana jina lake la mwanzo la kikabila,
Yeye kasema alitwa abdulratif songea Mbano.
Mkomanile kamuita Khadija.
Huyo nae na wengine wote 60 wana majina ya kikabila.
Ye kapindisha na kaweka uislamu.
Wajerumani waliwanyonga kwa kupinga maslahi yao.
Huy mzee na bias zake za udini kae da huko kufanya utafiti wake misikitini.
Kaingizwa chaka anatuletea utopolo hapa.
Babu...
Bahati mbaya umeghadhibika na unaandika ustaarbu umekutoka kwa hamaki.
Haya mambo yanasimama katika kusoma na kutafiti ndipo utayajua.

Soma barua hii kutoka nyaraka za Wajermani wenyewe:
Soma barua ya Chifu Songea bin Ruuf kwa Sheikh, Sultan Mataka bin Hamin Massaninga inasema:

''Asalaam Aleikum, Ninakuletea barua kupitia Kazembe.
Tumepata amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu kuwa Wazungu lazima waondoke nchini.

Tupo katika kupigananao hapa.

Naamini tumeshapatana muda mrefu, (kwa hiyo) niletee wanao, ili tufanye ushirikiano.

Nilitaka kukuletea mifugo kama zawadi, lakini sipo katika hali ya kuweza kufanya hivyo, kwa kuwa vita ambavyo Mwenyezi Mungu amevitaka vinaendelea.

Niletee watumiaji bunduki mia moja, na niunge mkono katika kulivamia Boma (Songea).

Ninakuletea chupa ya Mtume Muhammad, ambayo ndani yake ipo nguvu ya kuwashinda Wazungu.

Usiwe na shaka nayo, ina uwezo mkubwa.

Tutakapoliteka Boma (Songea), tutakwenda kwenye vituo katika Nyasa pamoja, mimi na wewe.

Hivi sasa tusahau ugomvi wetu wa zamani.

Chupa hii, na daíwa, imeletwa na Chinyalanyala mwenyewe, kiongozi wa vita. Ameleta vilevile kombe, na anakupa salamu nyingi.

Endapo watu wako watakuja, Chinyalanyala mwenyewe atafika na atakupa vitu vingi vilivyo vitukufu.

Hassan bin Ismail anakusalimu.
Salam nyingi,

Sultan Songea bin Ruuf.''

(C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’, Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p. 58).
 
AMESEMA ALIYESEMA NITAWAFELISHA WANAFUNZI KWA HISTORIA ZANGU ZISIZO NA VYANZO VYA KUAMINIKA

Lupweko said:

Mzee utawafelisha watoto kwenye mitihani yao kwa historia zako ambazo hazina vyanzo vya kuaminika

Lupweko,
Mimi sina historia iliyo yangu.

Historia ni kama ilivyotendwa na wahusika hao ndiyo wenye historia yao.

Wala vitabu nilivyoandika mimi haviko katika mtaala kwa hiyo hakuna mwalimu anaesomesha kitabu changu katika shule za Tanzania kwa hiyo uwezekano wa mwanafunzi kufeli mtihani haupo kabisa.

Labda tuzungumze historia ya Maji Maji na yale ambayo mimi nimeyasahihisha katika historia hiyo na nitakuwekea ushahidi.

Majemadari wa Maji Maji walinyongwa na Wajerumani na kuzikwa katika kaburi la halaiki isipokuwa mmoja Songea Mbano ambae jina lake khasa ni Abdulrauf Songea Mbano.

Katika hao walionyongwa yuko mwanamke mmoja ambae siku zote anatambulishwa kwa jina moja tu la Mkomanile.

Jina lake huyu mama ni Khadija.

Jiulize kwa nini majina ya Kiislam yameondolewa kwa hawa mashujaa?

Majemadari hawa wote walikuwa Waislam na walipopitishiwa hukumu ya kunyongwa Father Johannes kutoka Peramiho aliwaendelea na kuwaambia kuwa endapo wataukana Uislam na kuwa Wakristo hukumu ya kuuliwa itafutwa.

Father Johannes wa Peramiho akawabatiza baadhi na kuwapa majina ya Kikristo.

Ukisoma majina ya hawa yaliyoandikwa katika mnara wa kumbukumbu ya Maji Maji, Mahenge, Songea utaona majina yao ya Kiislam hayapo yameandikwa majina ya Kikristo.

Ushahidi wa haya unatokana katika utafiti niliofanya na mwingine katika haya ninayokueleza hapo juu upo katika kitabu cha Prof. James Giblin kuhusu Maji Maji: ''Lifting the Fog of War,'' (2010).

Kuwa vyanzo vyangu haviaminiki si kweli.
Usijipotezee nafasi ya kujifunza kwa hofu isiyokuwa na sababu.

Ama kuhusu kufeli wanafunzi hawa wamashafelishwa kwa kusomeshwa historia iliyoandikwa kwa ghilba.

Nakuwekea hapo chini picha ya Prof. Giblin ofisini kwake University of Iowa akiwa ameshika kitabu cha Abdul Sykes.

Prof. Giblin ni mwalimu wa African History chuoni hapo.
Huu ni mwaka wa 2011.

PICHA:
1. Prof. James Giblin.
2. Mnara wa kumbukumu wa majemadari 66 wa Maji Maji walionyongwa na Wajerumani hapo penye mnara ndipo lilipo kaburi lao.
3. Kaburi la Abdulrauf Songea Mbano
4. Abdulrauf Songea Mbano
the only good muslim is a dead one —- Kuna mwana falsafa mmoja alisema haya maneno
 
AMESEMA ALIYESEMA NITAWAFELISHA WANAFUNZI KWA HISTORIA ZANGU ZISIZO NA VYANZO VYA KUAMINIKA

Lupweko said:

Mzee utawafelisha watoto kwenye mitihani yao kwa historia zako ambazo hazina vyanzo vya kuaminika

Lupweko,
Mimi sina historia iliyo yangu.

Historia ni kama ilivyotendwa na wahusika hao ndiyo wenye historia yao.

Wala vitabu nilivyoandika mimi haviko katika mtaala kwa hiyo hakuna mwalimu anaesomesha kitabu changu katika shule za Tanzania kwa hiyo uwezekano wa mwanafunzi kufeli mtihani haupo kabisa.

Labda tuzungumze historia ya Maji Maji na yale ambayo mimi nimeyasahihisha katika historia hiyo na nitakuwekea ushahidi.

Majemadari wa Maji Maji walinyongwa na Wajerumani na kuzikwa katika kaburi la halaiki isipokuwa mmoja Songea Mbano ambae jina lake khasa ni Abdulrauf Songea Mbano.

Katika hao walionyongwa yuko mwanamke mmoja ambae siku zote anatambulishwa kwa jina moja tu la Mkomanile.

Jina lake huyu mama ni Khadija.

Jiulize kwa nini majina ya Kiislam yameondolewa kwa hawa mashujaa?

Majemadari hawa wote walikuwa Waislam na walipopitishiwa hukumu ya kunyongwa Father Johannes kutoka Peramiho aliwaendelea na kuwaambia kuwa endapo wataukana Uislam na kuwa Wakristo hukumu ya kuuliwa itafutwa.

Father Johannes wa Peramiho akawabatiza baadhi na kuwapa majina ya Kikristo.

Ukisoma majina ya hawa yaliyoandikwa katika mnara wa kumbukumbu ya Maji Maji, Mahenge, Songea utaona majina yao ya Kiislam hayapo yameandikwa majina ya Kikristo.

Ushahidi wa haya unatokana katika utafiti niliofanya na mwingine katika haya ninayokueleza hapo juu upo katika kitabu cha Prof. James Giblin kuhusu Maji Maji: ''Lifting the Fog of War,'' (2010).

Kuwa vyanzo vyangu haviaminiki si kweli.
Usijipotezee nafasi ya kujifunza kwa hofu isiyokuwa na sababu.

Ama kuhusu kufeli wanafunzi hawa wamashafelishwa kwa kusomeshwa historia iliyoandikwa kwa ghilba.

Nakuwekea hapo chini picha ya Prof. Giblin ofisini kwake University of Iowa akiwa ameshika kitabu cha Abdul Sykes.

Prof. Giblin ni mwalimu wa African History chuoni hapo.
Huu ni mwaka wa 2011.

PICHA:
1. Prof. James Giblin.
2. Mnara wa kumbukumu wa majemadari 66 wa Maji Maji walionyongwa na Wajerumani hapo penye mnara ndipo lilipo kaburi lao.
3. Kaburi la Abdulrauf Songea Mbano
4. Abdulrauf Songea Mbano

Asante kwa hili bandiko lako. Lkn ukweli ni kuwa hakuna majina ya dini, bali majina ya makabila, tamaduni au taifa.
Hayo uliyoyataja hao juu ni majina ya kiarabu na si kiislam. Kwani kuna watu wengi tu wana majina ya kiarabu, lakini si waislam. Mfano mmoja ni yule jaji wa zamani Augustino Ramadhani. Yeye hakuwa muislam, licha ya kuwa aliitwa Ramadhani. Kwa upande wa waislam wenye majina yasiyo ya kiarabu sina uhakika kama wapo. Kwa maana waarabu wanatumia assimilation policy, kwamba ili uwe mfuasi wa dini iliyoasisiwa na mtu wao Mohammed, lazima ubadirishe jina, ujifunze lugha yao hata kama ni kwa kukariri tu, uvae mavazi yao, utumie chakula chao, ujenge majengo ya mtindo wa kwao, ufuate mfumo wa mirathi, ndoa, sherehe, mazishi, kuzika mfu shimoni, nk. Ndiyo maana waumini wa dini ya Kiislamu siyo wafuasi wa imani ya waarabu tu, bali pia tamaduni za kiarabu.
 
Babu...
Bahati mbaya umeghadhibika na unaandika ustaarbu umekutoka kwa hamaki.
Haya mambo yanasimama katika kusoma na kutafiti ndipo utayajua.

Soma barua hii kutoka nyaraka za Wajermani wenyewe:
Soma barua ya Chifu Songea bin Ruuf kwa Sheikh, Sultan Mataka bin Hamin Massaninga inasema:

''Asalaam Aleikum, Ninakuletea barua kupitia Kazembe.
Tumepata amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu kuwa Wazungu lazima waondoke nchini.

Tupo katika kupigananao hapa.

Naamini tumeshapatana muda mrefu, (kwa hiyo) niletee wanao, ili tufanye ushirikiano.

Nilitaka kukuletea mifugo kama zawadi, lakini sipo katika hali ya kuweza kufanya hivyo, kwa kuwa vita ambavyo Mwenyezi Mungu amevitaka vinaendelea.

Niletee watumiaji bunduki mia moja, na niunge mkono katika kulivamia Boma (Songea).

Ninakuletea chupa ya Mtume Muhammad, ambayo ndani yake ipo nguvu ya kuwashinda Wazungu.

Usiwe na shaka nayo, ina uwezo mkubwa.

Tutakapoliteka Boma (Songea), tutakwenda kwenye vituo katika Nyasa pamoja, mimi na wewe.

Hivi sasa tusahau ugomvi wetu wa zamani.

Chupa hii, na daíwa, imeletwa na Chinyalanyala mwenyewe, kiongozi wa vita. Ameleta vilevile kombe, na anakupa salamu nyingi.

Endapo watu wako watakuja, Chinyalanyala mwenyewe atafika na atakupa vitu vingi vilivyo vitukufu.

Hassan bin Ismail anakusalimu.
Salam nyingi,

Sultan Songea bin Ruuf.''

(C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’, Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p. 58).
Kwanini historia yoote ya maji maji hakuna popote utaona majina hayo ya dini yenu yanatajwa.
Koote wameandikwa majina yao ya kikabila.
Mzee umepata elimu ila hujaelimika.
Yaani kwa haya unayoandika.
Ni bora ungebaki kucheza bao na wazee wenzio pale Gerezani.
Historia zako ni nzuri ila Udini haukuachi salama.
 
Kwanini historia yoote ya maji maji hakuna popote utaona majina hayo ya dini yenu yanatajwa.
Koote wameandikwa majina yao ya kikabila.
Mzee umepata elimu ila hujaelimika.
Yaani kwa haya unayoandika.
Ni bora ungebaki kucheza bao na wazee wenzio pale Gerezani.
Historia zako ni nzuri ila Udini haukuachi salama.
Babu...
Sikulazimishi kuacha kuamimi upendacho.

Nimekuwekea rejea ya C H Baker akiandika historia ya Maji Maji.

Kataja majina ya Kiislam barua inatoka kwa Sultan Sultan Ruuf bin Songea inakwenda kwa Hassan Massaninga.
 
Ni mwongo huyu mzee,hao walinyongwa kwa kupinga utawala wa kijerumani full stop.
Songea Mbano ana jina lake la mwanzo la kikabila,
Yeye kasema alitwa abdulratif songea Mbano.
Mkomanile kamuita Khadija.
Huyo nae na wengine wote 60 wana majina ya kikabila.
Ye kapindisha na kaweka uislamu.
Wajerumani waliwanyonga kwa kupinga maslahi yao.
Huy mzee na bias zake za udini kae da huko kufanya utafiti wake misikitini.
Kaingizwa chaka anatuletea utopolo hapa.
Hii ni kawaida ndgu,,Roma created Christianity,wakabadili story ya uyahud na kufanya kuwa n ya kikristo,kuwa wayahud ndio walimuua Yesu ,kitu ambacho n uongo
 
Babu...
Sikulazimishi kuacha kuamimi upendacho.

Nimekuwekea rejea ya C H Baker akiandika historia ya Maji Maji.

Kataja majina ya Kiislam barua inatoka kwa Sultan Sultan Ruuf bin Songea inakwenda kwa Hassan Massaninga.
Kanisa limekuwa chanzo Cha kubadilishwa historia mpka ya dunia
 
Majemadari hawa wote walikuwa Waislam na walipopitishiwa hukumu ya kunyongwa Father Johannes kutoka Peramiho aliwaendelea na kuwaambia kuwa endapo wataukana Uislam na kuwa Wakristo hukumu ya kuuliwa itafutwa.

Mzee nimesoma ulichoandika hapo juu hadi nimecheka sana!

Naomba upumzike kuandika ukakae na wajukuu zako wanakuhitaji zaidi
 
Majemadari hawa wote walikuwa Waislam na walipopitishiwa hukumu ya kunyongwa Father Johannes kutoka Peramiho aliwaendelea na kuwaambia kuwa endapo wataukana Uislam na kuwa Wakristo hukumu ya kuuliwa itafutwa.

Mzee nimesoma ulichoandika hapo juu hadi nimecheka sana!

Naomba upumzike kuandika ukakae na wajukuu zako wanakuhitaji zaidi
Uzalendo...
Ikiwa huamini niliyosema hakuna tatizo.

Unaweza kwenda Peramiho ukasoma historia ya Fr. Yohannes Hafliger.

Huyu ndiye aliyempa jina jipya Khadija Mkomanile akampa jina la Yasintha.

Historia hii yote ipo utaikuta Peramiho.

Naamini utacheka sana.
 
AMESEMA ALIYESEMA NITAWAFELISHA WANAFUNZI KWA HISTORIA ZANGU ZISIZO NA VYANZO VYA KUAMINIKA

Lupweko said:

Mzee utawafelisha watoto kwenye mitihani yao kwa historia zako ambazo hazina vyanzo vya kuaminika

Lupweko,
Mimi sina historia iliyo yangu.

Historia ni kama ilivyotendwa na wahusika hao ndiyo wenye historia yao.

Wala vitabu nilivyoandika mimi haviko katika mtaala kwa hiyo hakuna mwalimu anaesomesha kitabu changu katika shule za Tanzania kwa hiyo uwezekano wa mwanafunzi kufeli mtihani haupo kabisa.

Labda tuzungumze historia ya Maji Maji na yale ambayo mimi nimeyasahihisha katika historia hiyo na nitakuwekea ushahidi.

Majemadari wa Maji Maji walinyongwa na Wajerumani na kuzikwa katika kaburi la halaiki isipokuwa mmoja Songea Mbano ambae jina lake khasa ni Abdulrauf Songea Mbano.

Katika hao walionyongwa yuko mwanamke mmoja ambae siku zote anatambulishwa kwa jina moja tu la Mkomanile.

Jina lake huyu mama ni Khadija.

Jiulize kwa nini majina ya Kiislam yameondolewa kwa hawa mashujaa?

Majemadari hawa wote walikuwa Waislam na walipopitishiwa hukumu ya kunyongwa Father Johannes kutoka Peramiho aliwaendelea na kuwaambia kuwa endapo wataukana Uislam na kuwa Wakristo hukumu ya kuuliwa itafutwa.

Father Johannes wa Peramiho akawabatiza baadhi na kuwapa majina ya Kikristo.

Ukisoma majina ya hawa yaliyoandikwa katika mnara wa kumbukumbu ya Maji Maji, Mahenge, Songea utaona majina yao ya Kiislam hayapo yameandikwa majina ya Kikristo.

Ushahidi wa haya unatokana katika utafiti niliofanya na mwingine katika haya ninayokueleza hapo juu upo katika kitabu cha Prof. James Giblin kuhusu Maji Maji: ''Lifting the Fog of War,'' (2010).

Kuwa vyanzo vyangu haviaminiki si kweli.
Usijipotezee nafasi ya kujifunza kwa hofu isiyokuwa na sababu.

Ama kuhusu kufeli wanafunzi hawa wamashafelishwa kwa kusomeshwa historia iliyoandikwa kwa ghilba.

Nakuwekea hapo chini picha ya Prof. Giblin ofisini kwake University of Iowa akiwa ameshika kitabu cha Abdul Sykes.

Prof. Giblin ni mwalimu wa African History chuoni hapo.
Huu ni mwaka wa 2011.

PICHA:
1. Prof. James Giblin.
2. Mnara wa kumbukumu wa majemadari 66 wa Maji Maji walionyongwa na Wajerumani hapo penye mnara ndipo lilipo kaburi lao.
3. Kaburi la Abdulrauf Songea Mbano
4. Abdulrauf Songea Mbano
Hao mashujaa majina yao kuwa Waislam au Wakristu kuna kitu wanakiongeza kuhusu ushujaa wao Kwa Tanganyika???
 
Babu...
Bahati mbaya umeghadhibika na unaandika ustaarbu umekutoka kwa hamaki.
Haya mambo yanasimama katika kusoma na kutafiti ndipo utayajua.

Soma barua hii kutoka nyaraka za Wajermani wenyewe:
Soma barua ya Chifu Songea bin Ruuf kwa Sheikh, Sultan Mataka bin Hamin Massaninga inasema:

''Asalaam Aleikum, Ninakuletea barua kupitia Kazembe.
Tumepata amri kutoka kwa Mwenyezi Mungu kuwa Wazungu lazima waondoke nchini.

Tupo katika kupigananao hapa.

Naamini tumeshapatana muda mrefu, (kwa hiyo) niletee wanao, ili tufanye ushirikiano.

Nilitaka kukuletea mifugo kama zawadi, lakini sipo katika hali ya kuweza kufanya hivyo, kwa kuwa vita ambavyo Mwenyezi Mungu amevitaka vinaendelea.

Niletee watumiaji bunduki mia moja, na niunge mkono katika kulivamia Boma (Songea).

Ninakuletea chupa ya Mtume Muhammad, ambayo ndani yake ipo nguvu ya kuwashinda Wazungu.

Usiwe na shaka nayo, ina uwezo mkubwa.

Tutakapoliteka Boma (Songea), tutakwenda kwenye vituo katika Nyasa pamoja, mimi na wewe.

Hivi sasa tusahau ugomvi wetu wa zamani.

Chupa hii, na daíwa, imeletwa na Chinyalanyala mwenyewe, kiongozi wa vita. Ameleta vilevile kombe, na anakupa salamu nyingi.

Endapo watu wako watakuja, Chinyalanyala mwenyewe atafika na atakupa vitu vingi vilivyo vitukufu.

Hassan bin Ismail anakusalimu.
Salam nyingi,

Sultan Songea bin Ruuf.''

(C.H. Becker, ‘Material for the Understanding Islam in German East Africa’, Tanzania Notes and Records, No. 68, February, 1968, p. 58).
Huu udini wako hadi kaburini utakutesa. Hao ni Wangoni Watanganyika na hawana Makuu na Utanganyika wao. Huu udini wako ktk kila andishi una manufaa gani Kwa maslahi ya Tanganyika???
 
Per...
Lengo langu lilikuwa kusahihisha historia ya uhuru wa Tanganyika iliyokuwa inafundishwa kuanzia shule ya msingi hadi chuo kikuu.

Katika hili nimefanikiwa baada ya kuandika kitabu cha maisha ya Abdul Sykes.

Ndani ya kitabu hiki nimeeleza historia ya African Association hadi vuguvugu la kuunda TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika.

Historia hii ndiyo tunayoijadili na kuizungumza hapa sasa zaidi ya miaka 10.

Kutokana na historia hii wazalendo waliokuwa hawatajwi kwenye historia ya zamani kama ilivyoandikwa sasa wanafahamika.

Kutokana na uandishi wa historia hii JF wamenichagua Mwandishi Bora mara mbili.

Halikadhalika kitabu changu kinasomeshwa kama rejea muhimu katika historia ya Tanganyika.

Yapo na mengine kadha wa kadha.
Kitabu chako katika elimu ya Tanzania kinatumika darasa la ngapi? au kidato cha ngapi, au mwaka wa ngapi na chuo kipi kikuu au vyuo vipi vikuu vya Tanzania? je unaweza kutoa uthibitisho pasi na shaka kuwa vimethibitishwa kutumika na mamaka ya/za Elimu za Tanzania?
 
Kuna watu wamejazwa ujinga wa uoga kwa Uislam (Islamophobia) wakisikia hii nchi ina historia ndefu na pana sana na Uislam, basi wanaingiwa uoga mpaka kuumia mioyo yao.

Nawaona kwenye uzi hapa wanavyotokwa povu, kisa, Songea Mbano jina laje la ni AbdulRauf.
. Nawakumbusha tu, hata shujaa Mkwawa jina lake Abdallah.
 
Kitabu chako katika elimu ya Tanzania kinatumika darasa la ngapi? au kidato cha ngapi, au mwaka wa ngapi na chuo kipi kikuu au vyuo vipi vikuu vya Tanzania? je unaweza kutoa uthibitisho pasi na shaka kuwa vimethibitishwa kutumika na mamaka ya/za Elimu za Tanzania?
Salari,
Hakuna hata kitabu changu kimoja kinachosomeshwa katika shule za Tanzania au Vyuo Vikuu vya Tanzania.

Lakini kitabu cha Abdul Sykes kinasomeshwa vyuo vingi Ulaya na Marekani katika African History.

Ila kitabu hiki kinasomwa sana na watu kiasi kimeshachapwa mara nne toka kwa mara ya kwanza kilipochapwa mwaka wa 1998.
 
Back
Top Bottom