Hawa ndio usema St Joseph ulikuwa MsikitiNi mwongo huyu mzee,hao walinyongwa kwa kupinga utawala wa kijerumani full stop.
Songea Mbano ana jina lake la mwanzo la kikabila,
Yeye kasema alitwa abdulratif songea Mbano.
Mkomanile kamuita Khadija.
Huyo nae na wengine wote 60 wana majina ya kikabila.
Ye kapindisha na kaweka uislamu.
Wajerumani waliwanyonga kwa kupinga maslahi yao.
Huy mzee na bias zake za udini kae da huko kufanya utafiti wake misikitini.
Kaingizwa chaka anatuletea utopolo hapa.
Zanzibar...Huyu mzee wangu kwa fix hajambo.
Kudogosha ukristo na nyereremaudhui na misimamo yako inafanana, sijui lengo lako ni nini hasa!
asilimia kubwa ya mabandiko unayoleta humu yako njia moja.
ok, endelea tu..
Usicheke Mkuu mwezako huyu akienda hapo mtoro, kichangani na idrisaa akianza kusimulia hizi ngano.Majemadari hawa wote walikuwa Waislam na walipopitishiwa hukumu ya kunyongwa Father Johannes kutoka Peramiho aliwaendelea na kuwaambia kuwa endapo wataukana Uislam na kuwa Wakristo hukumu ya kuuliwa itafutwa.
Mzee nimesoma ulichoandika hapo juu hadi nimecheka sana!
Naomba upumzike kuandika ukakae na wajukuu zako wanakuhitaji zaidi
Inside 10,Usicheke Mkuu mwezako huyu akienda hapo mtoro, kichangani na idrisaa akianza kusimulia hizi ngano.
Huwa anawajaza waumini ghahabu mioyoni na hiyo ndiyo furaha yake.
hivi unaboweka reference angekua kasoma angeelewa.sasa hapa mzee mohamed unajichosha na huyu hata reference hajui anashupaza shingo. tanzania utafiti bado sana.huyu kashashiba ugal amekaa kijiwen anaanza kubishana.Babu...
Sikulazimishi kuacha kuamimi upendacho.
Nimekuwekea rejea ya C H Baker akiandika historia ya Maji Maji.
Kataja majina ya Kiislam barua inatoka kwa Sultan Sultan Ruuf bin Songea inakwenda kwa Hassan Massaninga.
Julai...hivi unaboweka reference angekua kasoma angeelewa.sasa hapa mzee mohamed unajichosha na huyu hata reference hajui anashupaza shingo. tanzania utafiti bado sana.huyu kashashiba ugal amekaa kijiwen anaanza kubishana.
unapokuwa msom unapinga unapewa reference. nin maana yake? maana yake mwandish anakuambia aliyoyaandiika si yeye ila nenda mahali fulan utayapata. sasa unapewa reference bado unajitia upofu. mzee mohamed hapa naona hata usijibu wengi walikimbia koz ya research hawaelew hata maana ya reference.
Historia uliyoandika ni ya Tanzania, halafu hakuna hata chuo kimoja, shule msingi wala sekondari hawatumii kitabu chako....hata vyuo vya kiislam au vyenye muelekeo huo havikitumii....inafikirisha.....Salari,
Hakuna hata kitabu changu kimoja kinachosomeshwa katika shule za Tanzania au Vyuo Vikuu vya Tanzania.
Lakini kitabu cha Abdul Sykes kinasomeshwa vyuo vingi Ulaya na Marekani katika African History.
Ila kitabu hiki kinasomwa sana na watu kiasi kimeshachapwa mara nne toka kwa mara ya kwanza kilipochapwa mwaka wa 1998.
Salari:Historia uliyoandika ni ya Tanzania, halafu hakuna hata chuo kimoja, shule msingi wala sekondari hawatumii kitabu chako....hata vyuo vya kiislam au vyenye muelekeo huo havikitumii....inafikirisha.....
Kwa namna moja au nyingine kuna shida yaani unadai umeandika kitabu/vitabu kusahihisha historia tena inayohusu watanzania (tena watanzania wenyewe waislamuππ€£πππππ) halafu serikali wala haina time navyo kabisaaaaaaaaaaaa.Salari:
Mimi siwezi kuisemea Wizara ya Elimu kwa nini kitabu cha Abdul Sykes hakijapewa ithibati ili kisomeshwe Tanzania.
Hilo la shule za Kiislam kutokisomesha ni sawa kwani hawawezi kusomesha kitabu ambacho hakijapitishwa na serikali.
Hili la ''kufikirisha,'' hakika linafikirisha.
Nina kitabi kingine kwa ajili ya kusomesha Kiingereza na HIstoria shule za msingi.
Kitabu hiki kimechapwa na Oxford University Press.
Kitabu hiki kinasomeshwa Kenya na Uganda lakini hakisomeshwi Tanzania.
Angalia kitabu hicho hapo chini:
Salari,Kwa namna moja au nyingine kuna shida yaani unadai umeandika kitabu/vitabu kusahihisha historia tena inayohusu watanzania (tena watanzania wenyewe waislamuππ€£πππππ) halafu serikali wala haina time navyo kabisaaaaaaaaaaaa.
Aisee inawezekana kabisaa vitabu vyako vinahitaji masahihisho makubwa.
Anyway vitabu vyako vikisimuliwa madrasa au misikitini itatosha piaππππ maana ni ngano murua kwa jamii ya kiislamu.
Yaan hata vyuo vikuu vya nchi za kiislam hawajawahi kukuita ukatoe darasa kuwa waislam wa tanzania walopigania uhuru hawakutendewa haki?Salari,
John Iliffe, Jonathon Glassman na James Brennan wamepitia kitabu cha Abdul Sykes na book review zao zikichapwa katika Cambridge Journal of African History.
Hili si jambo dogo.
Nimezungumza University of Iowa na Northwestern University kwa mialiko ya Department of African History katika vyuo hivyo.
Nimetiwa katika miradi ya kuandika historia ya Oxford University Press na Harvard nk.
Mimi ni mmoja wa waandishi 500 walioandika Dictionary of African Biography.
Wewe unazungumza habari ya misikiti.
Msikitini nakwenda kusali lakini shughuli zangu ni katika Vyuo Vikuu.
Salari,Yaan hata vyuo vikuu vya nchi za kiislam hawajawahi kukuita ukatoe darasa kuwa waislam wa tanzania walopigania uhuru hawakutendewa haki?
Wapi PICHA hizo?
Mkuu habari,Iele...
Naelewa maumivu yao.
Wao hawawezi kunyanyua kalamu wakaleta historia kama hii.
Historia yao iliyokuwapo leo haina miguu ya kusimama.
View attachment 2992873