Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Nilikusudia kuuliza kwa Ahali yangu Mohamed Said au members mliopo Tz
Siku zote ukweli unasemwa hadharani na uwongo unazungumzwa upenuni.Nilitaka kukuuliza je kuna mtu yeyote alithubutu au kudiriki kuzijibu hizo makala. zako kwenye magazeti huko Tz?
Kwamba uvunjaji wa mabucha ya nguruwe ni kwababu ya umasikini wa Tabora,Kilwa na Kigoma! Kwamba Nyerere kavaa soksi ndeefu!, kwamba mambucha ya nguruwe yanamilikiwa na christiantraders, kwamba 83% wanamadraka 17% waislam tu, wapagani 0, wahindi 0 n.k. Mhariri gani atakupa line ujibu kama hizo.
 
Kwamba uvunjaji wa mabucha ya nguruwe ni kwababu ya umasikini wa Tabora,Kilwa na Kigoma! Kwamba Nyerere kavaa soksi ndeefu!, kwamba mambucha ya nguruwe yanamilikiwa na christiantraders, kwamba 83% wanamadraka 17% waislam tu, wapagani 0, wahindi 0 n.k. Mhariri gani atakupa line ujibu kama hizo.

Sasa unabisha nini? Hujui kwamba economic inequalities zinasababisha riot? C'mon. Let's be honest...
 
Sasa unabisha nini? Hujui kwamba economic inequalities zinasababisha riot? C'mon. Let's be honest...
"In the city of Dar es Salaamalone there were twenty nine pork butcheries. There occurred incidences whereMuslims have been sold pork either by design or by fault. This createdanimosity between Muslims and Christian butcher owners. Muslims had for manyyears complained to the government about selling of pork in Muslim populatedareas but the authorities had ignored them.[1] Theproblem of pork butcheries was even referred to the Prime Minister andVice-President John Malecela but nothing was done to solve the problem. Thiswas after Muslims had seen the Dar es Salaam Regional Commissioner, MustaphaNyang'anyi. This Muslim action came after an abortive meeting between imams of five prominent mosques in thearea and the district Commissioner Wilson Mkama failed to resolve the nuisanceof pig butcheries. In no uncertain manner the imams requested the District Commissioner to close down thebutcheries." [2] The District Commissioner showed contempt at the imams and he impressed upon them that the butcheries were legallylicensed and the government was duty bound to protect them from being molestedby few "Muslim fundamentalists." It was this government reaction which brokethe camel's back. In an operation on Easter Friday afternoon a group of Muslimslike well trained commando squad moved swiftly through Kinondoni Districtdemolishing pig butcheries amidst chants of AllahuAkbar. This was the first ever physical attack by Muslims on Christianproperty justified by religious belief for over seventy five years. By takingthe law into their own hands Muslims had fired their first warning shot. Whennews of the attack became known Christians held their breath. On Easter Fridaywhen while Christians were observing the crucifixion of Christ a group ofMuslims in Magomeni, Tandale and Manzese in Kinondoni District went on rampageand demolished pork butcheries owned by Christian traders.

[1] For a detailed account ofthe pork crisis see Umoja wa Wanafunzi Waislam Chuo Kikuu Dar es Salaam, 15 April, 1993 "Kauli yaMSAUD Juu ya Suala la Ngururuwe."

[2] Barua yaMaimamu waMisikiti ya Kagera, Mwembe Chai, Makuti Tandale, Manzese kwa Mkuu wa WilayaKinondoni,18 March, 1993.



Mr. Right,

Jingine bucha za nguruwe zilivunjwa kutokana na jeuri na kibri cha Mkuu wa Wilaya Wilsom Mukama:
 

MohamedPS: Kuna mtu kanipigia simu anasema, "Mohamed kila unapoulizwa swali na ukatoa jibu unazidi kunichanganya fikra zangu lakini linalonistaajabisha ni kuwa unaowajibu hawahisi kuwa unawapa kitu kipya hakijapata kujilikana kwa wengi. Inanisikitisha kuwa hawa ndugu zangu vichwa vyao haviwezi kupokea kitu kipya." MS
Huyu anayekuuliza alikuwa amelala? hujawahi kutoa jibu Mohamed. Unachofanya ni kuweka vipande vyako vya propaganda visivyohusiana na jibu, ukikamatwa mahali unakimbilia kusema andikeni vitabu. Unachoweza kujibu ni nyumba za wazee wako na mitaaa, lakini huwezi kujibu kamati kuu ya TANU ilikuwa na akina nani.

Unaposema mabucha yalivunjwa kwa umasikini wa Tabora,Kilwa, Kigoma na Mtwara kwa hakika ni kitu kipya!!! kwasababu kile cha zamani hakipo hivyo. Vinafanana kwa majina. Huyo aliyekupigia simu inaweza kuwa ni mwanachama wa gogovivu na angesema tofauti ningemshangaa.

Mwambie hivi: AMNUT walivurugana kama walivyovurugana shura ya maimamu wakati wa engineer Mbukuzi. Kama Zinavyovurugana taasisi za shura ya wazee, kamati ya mali, kamati ya haki. Unachowaambia watu sio kile kinachotokea. Mchawi hayupo ukumbini yupo chumbani, mwambie aingie uvunguni atamuona

Mwambie, Tewa S Tewa aliyekuachia makabrasha ni mmoja wa wanafiki waliokuwa informers na akathubutu kuitelekeza EAMWS ili achumie tumbo. Hicho ndicho kipya si wewe kubeba mafaili ya Tewa.

Mwambie hivi, kama asilimia 83 ya madaraka ni wakristo na 17% ni waislam, mapagani na wenye dini nyingine tunawaweka wapi? Mwambie umeshindwa kuthibitisha ukweli wa namba hizo achilia mbali kujibu. Au labda anamaana unapotuambia tukaandike vitabu ni kitu kipya!

Mueleze kuwa kwa mara ya kwanza baada ya ziara za ulaya, marekani, visiwa vya fiji, Tonga na Vanuata umerejea na kitu kipya nacho ni kukiri kuwa Rupia ni mzee wako kama Sykes, Kiyate, Makaranga na Munanka. Hiki ndicho kipya.
Mdokezee kuwa umeelewa kuwa historia ya Tanganyika ni zaidi ya Narung'ombe,Kipata na mchikichini

Mfikishie salamu za Kigarama kutoka Kalenga kama ulivyozipokea kwa unyenyekevu na taadhima.
Mwisho mpe nauli aende magogoni ofisi za wizara ya elimu akaulizie namba za mitihani zimeanza kutumika lini? kwa sababu umejibu mengi kama alivyosema lakini hilo hujapata jibu.

Waama hata sisi tunajifunza mengi, nani alijua kitoweo cha Nyerere na soksi ndeefu.
 
Kwa sababu umeliona unaweza kutusaidia...kama waislam ni 60% , waliosalia yaani christians na wasiokuwa na dini ni asilimia ngapi?

Sweke34,

Kama nilivyokueleza hizo takwimu zisikushughulishe mie binafsi nazichukulia kama zilivyo wala si kitu muhimu sana kwangu kwa hiyo hazinitaabishi na mie sintopenda kuhangaika.

Nimekupa chanzo kama unataka kupata zaidi hangaika mwenyewe.
Nakuwekea kitu kingine hapa chini ukipenda unaweza kufuatilia Insha Allah:
"It is worthwhile to quote in full a letter by one Amiri Mchomvu whichappeared in the Family Mirror ,(Second Issue, November 1994, p.6)aboutthe 1967 census: Last month I chanced to come across Africa InformationNewsletter, (September 26, 1994 issue) in which there was an article on Tanzaniatitled: Islamic fundamentalism worries the government. I found the article by a renewed Tanzanian journalist,Lawrence Kilimwiko to be very anti-Islam. Besides, Mr. Kilimwiko says thatabout 40% of Tanzanians are Christians and 30% Muslims. I think that is astatistical error. During the 1967 Population Census, the first census sinceindependence, I was one of the census enumerators in Tabora Region. It isbelieved that this was the only successful of the population census conductedsince independence (i.e. 1967, 1978 and 1988) as it was wholly conducted by theform V students. Corruption, embezzlement, etc. of census funds and otheradministrative vices that plagued the last two census (1978 and 1988) werethings unknown at that time. It was the only census which had probed Tanzanians'religious adherence. I clearly remember the bulky questionnaire form, onequestion of which asked the persons' religion, whether he was Christian,Muslim, Other (e.g. Hindu, Budhist etc.) or traditional, e.g. pagan. I also remember the census results; published by the thenTanganyika Standard late that year 1967 (I have forgotten the date of theissue) in which it was shown that Muslim constituted 63% of the population. Nowwhoever thinks that such verdict is not correct I challenge him/her tosubstantiate otherwise with official results of the 1967 Census if they at allcan get hold of them."

Mohamed


 
Huyu mtu Mohamed Said has shown himself to be a fraud through and through, and worse still, amekuwa akikwepa at almost every single opportunity kujibu directly and satisfactorily maswali ya msingi lukuki ambayo amekuwa akiulizwa by being both evasive and arrogant.

Watu hatuhitaji kufahamu, and are certainly not impressed by irrelevant and unproven petty details of the sort "Nyumba ya tatu kulia unaelekea Mchikichi ilikuwa nyumba ya bibi yangu na nyingine ilikuwa last but two kufikia Stanley sasa Aggrey. Ukivuka ndiko ilipokuwa nyumba ya Mzee Kleist na dula lake lilikuwa hapo. Hiyo ndiyo Nyerere alikaa alipoacha ualimu. Wakati huo nyumba hiyo akiishi Abdu Sykes."

Kwa kweli huyu mtu ameonyesha dharau kubwa sana juu ya Wachangiaji wengi waliom-challenge kuhusu hoja zake kwa michango na maswali mengi
ambayo ni well-thought out and very profound lakini hadi sasa hayajajibiwa ipasavyo kimantiki na Mohamed Said zaidi ya kuja na majibu ya mkato na ya dharau. That being said, Mohamed Said deserves a ban for insulting the collective intelligence /intellect of contributors in this and similar threads that deal with his writings.
 
Huyu anayekuuliza alikuwa amelala? hujawahi kutoa jibu Mohamed. Unachofanya ni kuweka vipande vyako vya propaganda visivyohusiana na jibu, ukikamatwa mahali unakimbilia kusema andikeni vitabu. Unachoweza kujibu ni nyumba za wazee wako na mitaaa, lakini huwezi kujibu kamati kuu ya TANU ilikuwa na akina nani.

Unaposema mabucha yalivunjwa kwa umasikini wa Tabora,Kilwa, Kigoma na Mtwara kwa hakika ni kitu kipya!!! kwasababu kile cha zamani hakipo hivyo. Vinafanana kwa majina. Huyo aliyekupigia simu inaweza kuwa ni mwanachama wa gogovivu na angesema tofauti ningemshangaa.

Mwambie hivi: AMNUT walivurugana kama walivyovurugana shura ya maimamu wakati wa engineer Mbukuzi. Kama Zinavyovurugana taasisi za shura ya wazee, kamati ya mali, kamati ya haki. Unachowaambia watu sio kile kinachotokea. Mchawi hayupo ukumbini yupo chumbani, mwambie aingie uvunguni atamuona

Mwambie, Tewa S Tewa aliyekuachia makabrasha ni mmoja wa wanafiki waliokuwa informers na akathubutu kuitelekeza EAMWS ili achumie tumbo. Hicho ndicho kipya si wewe kubeba mafaili ya Tewa.

Mwambie hivi, kama asilimia 83 ya madaraka ni wakristo na 17% ni waislam, mapagani na wenye dini nyingine tunawaweka wapi? Mwambie umeshindwa kuthibitisha ukweli wa namba hizo achilia mbali kujibu. Au labda anamaana unapotuambia tukaandike vitabu ni kitu kipya!

Mueleze kuwa kwa mara ya kwanza baada ya ziara za ulaya, marekani, visiwa vya fiji, Tonga na Vanuata umerejea na kitu kipya nacho ni kukiri kuwa Rupia ni mzee wako kama Sykes, Kiyate, Makaranga na Munanka. Hiki ndicho kipya.
Mdokezee kuwa umeelewa kuwa historia ya Tanganyika ni zaidi ya Narung'ombe,Kipata na mchikichini

Mfikishie salamu za Kigarama kutoka Kalenga kama ulivyozipokea kwa unyenyekevu na taadhima.
Mwisho mpe nauli aende magogoni ofisi za wizara ya elimu akaulizie namba za mitihani zimeanza kutumika lini? kwa sababu umejibu mengi kama alivyosema lakini hilo hujapata jibu.

Waama hata sisi tunajifunza mengi, nani alijua kitoweo cha Nyerere na soksi ndeefu.

Nguruvi34,

Kwa kweli mie sitanii.

Mathalan haya ya Tewa kuwa alikuwa hivi na vile, maswali ambayo unadai sijayamudu, namba za mitihani nk. nk.
Hizo hapo juu ni tayari sura za kitabu.

Kazi ilobaki ni ndogo sana.
Ni wewe kukaa kitako ukajituliza ukaanza kuandika.

Nakuambia utakuja na kitabu kizuri sana ambacho utawapa watu ndani na nje ya Tanzania nafasi ya kuona upande wa pili wa mwezi.

Lakini ikiwa maneno tu na uandishi wa hamaki katika JF hufiki mbali.

Mie kitabu changu tunakwenda chapa ya tatu na kwa hivi sasa ndiyo kitabu kinachoaminika katika historia ya uhuru wa Tanganyika na yaliyotokea baadae.

Mohamed
 
Huyu mtu Mohamed Said has shown himself to be a fraud through and through, and worse still, amekuwa akikwepa at almost every single opportunity kujibu directly and satisfactorily maswali ya msingi lukuki ambayo amekuwa akiulizwa by being both evasive and arrogant.

Watu hatuhitaji kufahamu, and are certainly not impressed by irrelevant and unproven petty details of the sort "Nyumba ya tatu kulia unaelekea Mchikichi ilikuwa nyumba ya bibi yangu na nyingine ilikuwa last but two kufikia Stanley sasa Aggrey. Ukivuka ndiko ilipokuwa nyumba ya Mzee Kleist na dula lake lilikuwa hapo. Hiyo ndiyo Nyerere alikaa alipoacha ualimu. Wakati huo nyumba hiyo akiishi Abdu Sykes."

Kwa kweli huyu mtu ameonyesha dharau kubwa sana juu ya Wachangiaji wengi waliom-challenge kuhusu hoja zake kwa michango na maswali mengi
ambayo ni well-thought out and very profound lakini hadi sasa hayajajibiwa ipasavyo kimantiki na Mohamed Said zaidi ya kuja na majibu ya mkato na ya dharau. That being said, Mohamed Said deserves a ban for insulting the collective intelligence /intellect of contributors in this and similar threads that deal with his writings.

Ndjabu,

Hivyo vikorombwezo vya mitaa, nasaba yangu na majirani wa kwetu naviweka tufahamiane kwa mie ni uzawa wa wale waliosukuma gurudumu la historia ya Tanganyika.

Kwa ajili hii mimi naijua historia ya TANU.

Du! Sasa ndugu yangu unanifanyia fitna nifukuzwe ukumbini.
Wewe unaandika matusi mbona hujafukuzwa?

Mohamed
 
Ritz,

Nyumba ya tatu kulia unaelekea Mchikichi ilikuwa nyumba ya bibi yangu na nyingine ilikuwa last but two kufikia Stanley sasa Aggrey.

Ukivuka ndiko ilipokuwa nyumba ya Mzee Kleist na dula lake lilikuwa hapo. Hiyo ndiyo Nyerere alikaa alipoacha ualimu. Wakati huo nyumba hiyo akiishi Abdu Sykes.

Mie nafurahi sana nikisikia ati naandika porojo za wazee wangu.
Kwani wao hawana wazee?

Mbona na wao hawaandiki porojo za wazee wao?

Mohamed
Mzee Mohamed Said, hivi haya ndio majibu anayositahili kuyatoa mtu anayejinasibu kuwa mwanazuoni aliye bobea kama wewe? Mie naona kama yapo chini ya kiwango cha usomi. Lengo sio kuandika porojo, lengo ni kueleza HISTORIA bila ubabaishaji au chuki dhidi ya watu wengine. Nashukuru kwani majibu yako ya kipuuzi kama haya yananielewesha kwamba wewe ni mtu wa aina gani!
 
Kinaaminika wapi?

Nguruvi3,

Huo ndiyo uwanja wako sasa.
Peleleza hiki ni kitabu cha Kiswahili kishachapwa mara mbili na sasa kinakwenda chapa ya tatu.

Wanaokisoma ni nani na kina athari gani?
Hivi unataka hata hilo nikufahamishe mie?

Mohamed
 
Mzee Mohamed Said, hivi haya ndio majibu anayositahili kuyatoa mtu anayejinasibu kuwa mwanazuoni aliye bobea kama wewe? Mie naona kama yapo chini ya kiwango cha usomi. Lengo sio kuandika porojo, lengo ni kueleza HISTORIA bila ubabaishaji au chuki dhidi ya watu wengine. Nashukuru kwani majibu yako ya kipuuzi kama haya yananielewesha kwamba wewe ni mtu wa aina gani!

G,

Na wewe sasa unaingia katika kunitukana.
Mnakasha umekushinda?

Mohamed
 
Nguruvi3,Wanaokisoma ni nani na kina athari gani?
Hivi unataka hata hilo nikufahamishe mie?Mohamed
Athari yake ni chuki, kuligawa taifa na kuzusha. Athari zake ni maafa.
Hivi wanaonunua novel nao tuwaweke wapi.

Ukitaka kujua masimulizi yalivyo na chuki, mwanzo hadi mwisho ni kumchafua Nyerere kana kwamba hakuwahi kufanya zuri hata moja.
Mwanzo hadi mwisho ni kumsifia Sykes kana kwamba alikuwa malaika. Mohamed hawa ni wanadamu na hakuna aliyemtimilifu ila Mola muumba.

Mwanzo hadi mwisho hakuna makosa waliyofanya waislam, mwanzo hadi mwisho tuhuma kwa wakristo. Mohamed, waambie watu ukweli mchawi yupo wapi. Haiwezekani AMNUT wavurugane mwaka 1959 hadi leo watu waendelee kuvurugana na wewe ufumbe macho kana kwamba hilo halikutokea au halipo.

Mwanafunzi atakayefanya kitabu chako reference nitamuuliza swali moja tu, akifaulu nitakwenda hata mahakamani apate degree yake.
Swali; Kwa vile BAKWATA imekataliwa na waislam kwa mujibu wa kitabu cha mtafiti sheikh Mohamed Said Salum wa Kipata na Narung'ombe:

(A)Je kwasasa mwanafunzi huyo anaweza kuitaja taasisi gani kama mwakilishi wa kweli wa waislam katika taasisi zifuatazo?Istqama, Shura ya maimam wa Dar, shura ya wazee wa Dar, baraza kuu la taasisi za waislam, kamati ya haki za waislam, kamati ya mali za waislam,
kamati ya masheikh wanaozunguka mikoani kueleza dhulma, kamati ya Mohamed Said inayofanya shughuli zake mafichoni)

(B) Ni kwanini anadhani taasisi hiyo ina uhalali kuzidi nyingine

(c) Nani wanaounda taasisi hiyo na uhalali wake unatokana na ridhaa ya waislam wapi.
 
Mzee Mohamed Said, hivi haya ndio majibu anayositahili kuyatoa mtu anayejinasibu kuwa mwanazuoni aliye bobea kama wewe? Mie naona kama yapo chini ya kiwango cha usomi. Lengo sio kuandika porojo, lengo ni kueleza HISTORIA bila ubabaishaji au chuki dhidi ya watu wengine. Nashukuru kwani majibu yako ya kipuuzi kama haya yananielewesha kwamba wewe ni mtu wa aina gani!
Mzee Mohamed amefikia kile ambacho Albert Einstein aliwahi kuandika "Once we accept our limits we go beyond them". Is he ready to go beyond his limits?
Kwamba Mohamed hakwenda mbali kama "scholar" akaongea na watu wengine mbali na wazee wake hawa wa Kariakoo ambao pia walikuwa pamoja na Mwalimu. Watu kama Rashid, familia ya Mwapachu, Said Maswanya, Job Lusinde, Sir George, Chris Kasanga Tumbo( ambaye naye alitofautiana sana na Mwalimu), Oscar Kambona,....., au wao hawakusahaulika?
 
Mzee Mohamed amefikia kile ambacho Albert Einstein aliwahi kuandika "Once we accept our limits we go beyond them". Is he ready to go beyond his limits?
Kwamba Mohamed hakwenda mbali kama "scholar" akaongea na watu wengine mbali na wazee wake hawa wa Kariakoo ambao pia walikuwa pamoja na Mwalimu. Watu kama Rashid, familia ya Mwapachu, Said Maswanya, Job Lusinde, Sir George, Chris Kasanga Tumbo( ambaye naye alitofautiana sana na Mwalimu), Oscar Kambona,....., au wao hawakusahaulika?

WC,

Hii ishakuwa "never ending story."

Maswali yaleyale na mimi natoa jibu lilelile.

Hapa tulipofika ili nyie muweze kutoa jibu la kitabu changu ni nyinyi sasa kufanya hayo mnayotaka mie ningelifaya au nifanye sasa.

Ila kamata hili moja Kassanga Tumbo na babu yangu Salum Abdallah ndiyo waasisi wa Tanganyika Railway African Union (TRAU) 1955. Salum Abdallah, Mwenyekiti na Kassanga Tumbo, Katibu.

Mohamed
 
Mzee Mohamed amefikia kile ambacho Albert Einstein aliwahi kuandika "Once we accept our limits we go beyond them". Is he ready to go beyond his limits?
Kwamba Mohamed hakwenda mbali kama "scholar" akaongea na watu wengine mbali na wazee wake hawa wa Kariakoo ambao pia walikuwa pamoja na Mwalimu. Watu kama Rashid, familia ya Mwapachu, Said Maswanya, Job Lusinde, Sir George, Chris Kasanga Tumbo( ambaye naye alitofautiana sana na Mwalimu), Oscar Kambona,....., au wao hawakusahaulika?

WC,

ndio maana yya utafiti huwezi tafiti kila kitu. Sasa hiyo ni nafasi yako kama msomi na mpenda waTz na TZ kuwafuata hao uliowataja na kuwabainisha hapo nilipo RED kisha kuandika kitabu kujazia pale alipokoma Sheikh Mohamed.

bahati mzuri motion na hata flame ya utafiti wako ipo tayari kwa muundo na staili aliyotumia Sheikh Mohamed Said kuandika kitabu chake. Na wasomaji tupo kibao tutakupa moyo. Na hata sheikh Mohamed said atakuwa tayari kukusaidia.

Watendee Haki hao wazee na kutoa taarifa na historia iliyofichika ya hao wazee kwa faida ya waTz wote.

Kila la kheir

 
WC,

Hii ishakuwa "never ending story."

Maswali yaleyale na mimi natoa jibu lilelile.

Hapa tulipofika ili nyie muweze kutoa jibu la kitabu changu ni nyinyi sasa kufanya hayo mnayotaka mie ningelifaya au nifanye sasa.

Ila kamata hili moja Kassanga Tumbo na babu yangu Salum Abdallah ndiyo waasisi wa Tanganyika Railway African Union (TRAU) 1955. Salum Abdallah, Mwenyekiti na Kassanga Tumbo, Katibu.

Mohamed
Kitabu hakiwezi kujibiwa kwa kitabu kingine. Ingekuwa taarab kweli. Hilo moja. La pili, wazee hawa wengi hawapo duniani sasa. Tatu, mazingira yamebadilika sana. Nne, wengi wetu sio waandishi wazuri kama wewe. Ungeweza ukaongea na Kasanga Tumbo pia kwa ukaribu uliouonyesha hapo. Ukamuuliza juu ya mfumokristo ulivyomgomea yeye pia! Uliamua kuandika historia iliyosahaulika ya nchi hii ungeenda mbali zaidi ya wazee hawa wa Kariakoo.
 
Athari yake ni chuki, kuligawa taifa na kuzusha. Athari zake ni maafa.
Hivi wanaonunua novel nao tuwaweke wapi
.

Ukitaka kujua masimulizi yalivyo na chuki, mwanzo hadi mwisho ni kumchafua Nyerere kana kwamba hakuwahi kufanya zuri hata moja.
Mwanzo hadi mwisho ni kumsifia Sykes kana kwamba alikuwa malaika. Mohamed hawa ni wanadamu na hakuna aliyemtimilifu ila Mola muumba.

Mwanzo hadi mwisho hakuna makosa waliyofanya waislam, mwanzo hadi mwisho tuhuma kwa wakristo. Mohamed, waambie watu ukweli mchawi yupo wapi. Haiwezekani AMNUT wavurugane mwaka 1959 hadi leo watu waendelee kuvurugana na wewe ufumbe macho kana kwamba hilo halikutokea au halipo.

Mwanafunzi atakayefanya kitabu chako reference nitamuuliza swali moja tu, akifaulu nitakwenda hata mahakamani apate degree yake.
Swali; Kwa vile BAKWATA imekataliwa na waislam kwa mujibu wa kitabu cha mtafiti sheikh Mohamed Said Salum wa Kipata na Narung'ombe:

(A)Je kwasasa mwanafunzi huyo anaweza kuitaja taasisi gani kama mwakilishi wa kweli wa waislam katika taasisi zifuatazo?Istqama, Shura ya maimam wa Dar, shura ya wazee wa Dar, baraza kuu la taasisi za waislam, kamati ya haki za waislam, kamati ya mali za waislam,
kamati ya masheikh wanaozunguka mikoani kueleza dhulma, kamati ya Mohamed Said inayofanya shughuli zake mafichoni)

(B) Ni kwanini anadhani taasisi hiyo ina uhalali kuzidi nyingine

(c) Nani wanaounda taasisi hiyo na uhalali wake unatokana na ridhaa ya waislam wapi.

Nguruvi3,

Pamoja na kuona hiyo athari ya kuzindua wale waliolala na kuona wapi wanadhulumiwa sasa ni wakti wao kudai haki yao.

Na kwa kuwa haki haoimbwi bali unadai. Basi mpaka kitakapo eleweka.

Lazima keki yenu ya Taifa iliwe kwa usawa pasiwe na kuthulumiana na kubaguana kwa aina yoyote. Kila katika rasilimali ni sawa kwa sawa
.
 
Athari yake ni chuki, kuligawa taifa na kuzusha. Athari zake ni maafa.
Hivi wanaonunua novel nao tuwaweke wapi.

Ukitaka kujua masimulizi yalivyo na chuki, mwanzo hadi mwisho ni kumchafua Nyerere kana kwamba hakuwahi kufanya zuri hata moja.
Mwanzo hadi mwisho ni kumsifia Sykes kana kwamba alikuwa malaika. Mohamed hawa ni wanadamu na hakuna aliyemtimilifu ila Mola muumba.

Mwanzo hadi mwisho hakuna makosa waliyofanya waislam, mwanzo hadi mwisho tuhuma kwa wakristo. Mohamed, waambie watu ukweli mchawi yupo wapi. Haiwezekani AMNUT wavurugane mwaka 1959 hadi leo watu waendelee kuvurugana na wewe ufumbe macho kana kwamba hilo halikutokea au halipo.

Mwanafunzi atakayefanya kitabu chako reference nitamuuliza swali moja tu, akifaulu nitakwenda hata mahakamani apate degree yake.
Swali; Kwa vile BAKWATA imekataliwa na waislam kwa mujibu wa kitabu cha mtafiti sheikh Mohamed Said Salum wa Kipata na Narung'ombe:

(A)Je kwasasa mwanafunzi huyo anaweza kuitaja taasisi gani kama mwakilishi wa kweli wa waislam katika taasisi zifuatazo?Istqama, Shura ya maimam wa Dar, shura ya wazee wa Dar, baraza kuu la taasisi za waislam, kamati ya haki za waislam, kamati ya mali za waislam,
kamati ya masheikh wanaozunguka mikoani kueleza dhulma, kamati ya Mohamed Said inayofanya shughuli zake mafichoni)

(B) Ni kwanini anadhani taasisi hiyo ina uhalali kuzidi nyingine

(c) Nani wanaounda taasisi hiyo na uhalali wake unatokana na ridhaa ya waislam wapi.

Nguruvi3,

Umesema mengi nitakujibu kidogo.

Kuhusu Abdulwahid Sykes.
Baba yake ndiye aliyeasisi African Association 1929.

Baba yake ndiye aliyejenga ofisi za African Association na zikafunguliwa na Gavana Donald Cameroon 1933.
Baba yake ndiye aliyeasisi Al Jamiatul Islamiyya 1933 chama kilichokuja kutoa viongozi wa TANU 1954.
Baba yake ndiye aliyeasisi Al Jamiatul Islamiyya Muslim School.

Kwa miaka 21 hadi TANU inaundwa 1954 TAA ilikuwa chini ya uangalizi na uongozi wa akina Sykes.
Kama wewe unaona hii ni historia ndogo ambayo inaweza ikaondolewa katika histroia ya kupigania uhuru wa Tanganyika mimi niliona si haki.

Kuhusu BAKWATA.

Geofrey Sawaya Mkuu wa Makosa ya Jinai alitembea mikoa yote na mifuko ya fedha akihonga masheikh katika vyumba vya hoteli waiunge mkono BAKWATA na waliokataa kuhongwa aliwatisha, mmojawapo aliyekataa hongo ile ni Rehani Bilal Waikela muasisi wa TANU Western Province, 1955 na Katibu wa EAMWS jimbo hilo hilo.

Rashid Kayugwa wa Usalama wa Taifa yeye ndiye alikuwa akipanga mipango na kuwafunza walioasi EAMWS kipi kifanyike na kwa wakati gani kuwadhoofisha Waislam.

Benjamin Mkapa na Martin Kiama hawa ndiyo walikuwa watu wa propaganda kuutangaza mgogoro wa EAMWS na kuwapa sauti waasi kwa kutumia "The Nationalist" na Radio Tanzania.

Nani alitoa ruksa ya vyombo vya serikali kutumika dhidi ya Uislam na Waislam?

Sisi Waislam si wajinga.
Tunajua mengi.

Haya tunayasema kuweka historia sawa lakini kubwa zaidi kesho kiama tutamwambia Allah wewe mwenyewe ni shahidi kuwa tulisimama kuipigania dini yako juu ya udhalili tuliokuwanao.

Mohamed
 
Back
Top Bottom