Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Sawa twende taratibu. Je ni itakuwa sawa waislam kumita huyu mamluki Syskes kuwa ni Msaliti . Hilo La kususiwa lina uhusiano sababu kuna uliowaita wasaliti ulionekana kufurahia na kuunga mkono kususiwa mazishi yao eti kwa kuwa tu walikuwa wasaliti wa waislam. Ndiyo maana nakuuliza katika mafundisho hawa waislam mamluki waliopigana vita sambamba wa akwristu kuwapiga mashujaa wa asilam tuwaiteje ?

Ukisha nieliisha hilo. nielimishe
  • kwa nini ilitwa vita ya maji maji,
  • Vita iliongozwaje n kw misingi gni
  • Kabla na baada ya kutoka wenye mapigano mshujaa waliswalishwa na sheikha ustadh gani?
  • Kama walitumia matmbiko, mila na desturi na dawa walitumia kifungu gani Qora
Nifundishe ni jinsi gan vita vya maji maji i hivi vilikuw ni vita vya waislm dhidi ya wakristo?

Fahari,

Naona umepata hamu kubwa sana ya kujua maisha ya Sykes Mbuwane katika jeshi la Wajerumani. Sasa ingekuwa vyema kama ungesoma "Kleist Sykes: The Townsman" katika "Modern Tanzanians" kama alivyoandika kitukuu chake Daisy Aisha Sykes.

Unaweza vilevile kupata seminar paper ya Daisy Sykes "Kleist Sykes" East Africana Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Majibu ya maswali yako huenda ukayapata humu kwa kauli zao wenyewe.

Na kama utapenda soma katika kitabu changu: "Kleist Sykes (1894 1949) Man of Ideas" unaweza labda ukapata kitu.

Utaniwia radhi sana nashindwa kujibu maswali yako mengine kwa kuwa nakosa kupata ile mantiki. Jaribu kunifafanulia zaidi.
Sielewi "matambiko" etc. etc. unakusudia nini khasa.

Mohamed
 
Fahari,
Naona umepata hamu kubwa sana ya kujua maisha ya Sykes Mbuwane katika jeshi la Wajerumani. Sasa ingekuwa vyema kama ungesoma "Kleist Sykes: The Townsman" katika "Modern Tanzanians" kama alivyoandika kitukuu chake Daisy Aisha Sykes.
Naama nina shauku kubwa zaidi sababu wewe mchangamanuo wa histori yako unagusa dimension ya dini. Huko ndiko nataka kujua zaidi Kwa hiyo napenda kusikia maoni yako hawa waislam walioshirikiana na majeshi ya waksrito wakijerumani kuwauwa na kuwanyanaysa mashujaa wa kiislama(Kina mkwawa) tuwaiteje au tuwaweke kundi gani. katika historia sahihi.

Unaweza vilevile kupata seminar paper ya Daisy Sykes "Kleist Sykes" East Africana Maktaba ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Majibu ya maswali yako huenda ukayapata humu kwa kauli zao wenyewe.
Sasa kusoma seminar paper ya daiy sykes ina tofauti gani na kusoma historia unayokosoa kwamba ni ya nyerere Mimi napenda nisikie na nisome hapa JF maoni yako wewe unayetazama na kuchambua mambo kwa misingi ya dini.
Swali langu hawa waislam kina sykes walishirikiana na wa wakristu kuwanyanyasa mashujaa wa kiislam kina Mkwawa tuwaiteje na tuwaweke kundi gani katika historia ya ukweli dhidi ya uislam ?

Au mamuki wa kiislam walioshiriki kuwabonda waislam(Kina mkwawa) hawastahili lawama kama mamluki wa kanisa waliwapiga kina mkwawa.

Vile vile najua hata Nikisoma paper sitaona dimension ya dini ambayo wewe unaibua ibua hapa. Ndio maana nakuuliza wewe binafsi unilimishe hoja za Uislam Vs Ukiristo katika Vita ya maji maji. Ina ugumu gani kufafanua hoja uliyoanzisha mwenyewe?


Utaniwia radhi sana nashindwa kujibu maswali yako mengine kwa kuwa nakosa kupata ile mantiki. Jaribu kunifafanulia zaidi.
Sielewi "matambiko" etc. etc. unakusudia nini khasa.

MS naomba nifafnuilie kwa nini
  • inaitwa vita ya maji maji
  • wapiganaji mashujaa wa "kiislam " walipigana vita hii dhidi wa wakiristu wajeruani kwa kwa falsafa gani ya kiislam. Maana historia tuliyofundishwa sisi tumeambiwa walikuwa wafanya matambiko wanapkwa madawa ya ili risaisi za mamluki (Kina syes na kanisa) zigeuke maji. Tumefunishwa vita vilingozwa na maono ya wezee wa kimila na jadi. ebu tufafanuie waislama waliongozaje hii vita.
kama Utakosa kupata mantiki ya maswali yangu sababu kuu ni kwa vile hoja yako ya kuwa Vita ya maji maji ilikuwa ni vita ya Uislam Vs Ukristo si tu haina mantiki. bali ni haina ukweli na sio history ni story.


 
Naama nina shauku kubwa zaidi sababu wewe mchangamanuo wa histori yako unagusa dimension ya dini. Huko ndiko nataka kujua zaidi Kwa hiyo napenda kusikia maoni yako hawa waislam walioshirikiana na majeshi ya waksrito wakijerumani kuwauwa na kuwanyanaysa mashujaa wa kiislama(Kina mkwawa) tuwaiteje au tuwaweke kundi gani. katika historia sahihi. Sasa kusoma seminar paper ya daiy sykes ina tofauti gani na kusoma historia unayokosoa kwamba ni ya nyerere Mimi napenda nisikie na nisome hapa JF maoni yako wewe unayetazama na kuchambua mambo kwa misingi ya dini.
Swali langu hawa waislam kina sykes walishirikiana na wa wakristu kuwanyanyasa mashujaa wa kiislam kina Mkwawa tuwaiteje na tuwaweke kundi gani katika historia ya ukweli dhidi ya uislam ?

Au mamuki wa kiislam walioshiriki kuwabonda waislam(Kina mkwawa) hawastahili lawama kama mamluki wa kanisa waliwapiga kina mkwawa.

Vile vile najua hata Nikisoma paper sitaona dimension ya dini ambayo wewe unaibua ibua hapa. Ndio maana nakuuliza wewe binafsi unilimishe hoja za Uislam Vs Ukiristo katika Vita ya maji maji. Ina ugumu gani kufafanua hoja uliyoanzisha mwenyewe?
MS naomba nifafnuilie kwa nini
  • inaitwa vita ya maji maji
  • wapiganaji mashujaa wa "kiislam " walipigana vita hii dhidi wa wakiristu wajeruani kwa kwa falsafa gani ya kiislam. Maana historia tuliyofundishwa sisi tumeambiwa walikuwa wafanya matambiko wanapkwa madawa ya ili risaisi za mamluki (Kina syes na kanisa) zigeuke maji. Tumefunishwa vita vilingozwa na maono ya wezee wa kimila na jadi. ebu tufafanuie waislama waliongozaje hii vita.
kama Utakosa kupata mantiki ya maswali yangu sababu kuu ni kwa vile hoja yako ya kuwa Vita ya maji maji ilikuwa ni vita ya Uislam Vs Ukristo si tu haina mantiki. bali ni haina ukweli na sio history ni story.



Fahari,

Umemaliza vizuri kuwa kitabu changu siyo "historia" ni "story."
Kwa kweli sina ugomvi na mawazo yako.

Kitabu kitaandikwa watu watasoma.
Kuna watakaokubali yaliyoandikwa na wengine watakataa baadhi na kukubali baadhi.

Kuna wengine watakataa yote.
Haya ni mambo ya kawaida sana katika duru za usomi na uandishi.

Mwandishi hakosi usingizi kwa nini fulani hataki kukubaliana na fikra zangu.

Kitabu cha Abdu Sykes kwa kweli ni ktabu maarufu sasa na hivi tusemavyo tunakwenda toleo la tatu.
Vyuo Vikuu vyote vinavyosomesha "African History" na "Islam and Politics" Ulaya na Marekani hiki ni kitabu cha rejea muhimu kwa wanafunzi.

Mimi binafsi nimelikwa kwingi kufanya mihadhara kwa ajili ya kitabu hiki na wanasema kimefungua mengi ambayo hayakuwa yanafahamika.


Mohamed
 
Mzee Mohamed,
Umekisoma bila shaka kitabu kinachoitwa "Wanawake wa TANU", kilichoandikwa na Marehemu Susan Geiger. Maoni ya Bibi Titi ni ya kupikwa hasa kuhusu elimu?
 
Sawa twende taratibu. Je ni itakuwa sawa waislam kumita huyu mamluki Syskes kuwa ni Msaliti . Hilo La kususiwa lina uhusiano sababu kuna uliowaita wasaliti ulionekana kufurahia na kuunga mkono kususiwa mazishi yao eti kwa kuwa tu walikuwa wasaliti wa waislam. Ndiyo maana nakuuliza katika mafundisho hawa waislam mamluki waliopigana vita sambamba wa akwristu kuwapiga mashujaa wa asilam tuwaiteje ?

Ukisha nieliisha hilo. nielimishe
  • kwa nini ilitwa vita ya maji maji,
  • Vita iliongozwaje n kw misingi gni
  • Kabla na baada ya kutoka wenye mapigano mshujaa waliswalishwa na sheikha ustadh gani?
  • Kama walitumia matmbiko, mila na desturi na dawa walitumia kifungu gani Qora
Nifundishe ni jinsi gan vita vya maji maji i hivi vilikuw ni vita vya waislm dhidi ya wakristo?

Fahari,

Tatizo lako kubwa ni jazba na kuchanganya mambo. Masuala yako yanaweza kuwa mazuri sana kama utatulia na kutengeneza masuala hayo kimpangilia na kufuata mtiririko sio kunyofoa nyofoa vitu kidogo kidogo na kuumba suala.

Mfano. Unaposema watu waliosusiwa na waislam kuzikwa ni wale walioshiriki kuiuwa EAMWS kwa hila mbalimbali na kuundwa kwa Bakwata. hakika yao hao Mola anawaonyesha hapa hapa Duniyani kwa malipo ya kile walichofanya. Na ndio maana watu wanasusia kuzika maiti zao.

Sasa suala hili unaponasibisha na Vita vya majimaji ni lazima uonyeshe connection yake ipo wapi? Bila kuweka hilo swala lako litabaki kuelea angani pasipo mashiko.

Vile vile katika Uislam , kila mtu ni kiongozi kwa nafasi yake. Na linapokutana kundi yaani kuanzia watu wawili na kuendelea basi wanaweza kumchagua mtu yoyote miongoni mwao lakin swifa kuu ikiwa uadilifu na ucha Mungu na Elimu kuweza kuwaongoza sio tu katika Swala zao bali pia katika maamuzi yote ya kila siku.

Unapozungumzia vita hivyo vya Majimaji ni vizuri umsome vizuri sana Al Akhiy Mohamed Said namna alivyofafanua katika utafiti wake sio tu kwa kusikia kwa watu bali pia na kutembea maeneo hayo kuona na kisha kuweka habari zake hapo.

Nakushauri msome kwa nia ya kuelewa na Insh'Allah utaelewa na kuja na masuala mazuri sio hayo unayoweka ya Jazba na khasira.

Pole sana

 
Mzee Mohamed,
Umekisoma bila shaka kitabu kinachoitwa "Wanawake wa TANU", kilichoandikwa na Marehemu Susan Geiger. Maoni ya Bibi Titi ni ya kupikwa hasa kuhusu elimu?

Ungesoma post no 2683 kuna jibu muafaka toka kwa Mohamed said

Kitabu kitaandikwa watu watasoma.
Kuna watakaokubali yaliyoandikwa na wengine watakataa baadhi na kukubali baadhi.

Kuna wengine watakataa yote.
Haya ni mambo ya kawaida sana katika duru za usomi na uandishi.

Mwandishi hakosi usingizi kwa nini fulani hataki kukubaliana na fikra zangu.



Kila lenye kheir
 
Fahari,
Tatizo lako kubwa ni jazba na kuchanganya mambo. Masuala yako yanaweza kuwa mazuri sana kama utatulia na kutengeneza masuala hayo kimpangilia na kufuata mtiririko sio kunyofoa nyofoa vitu kidogo kidogo na kuumba suala.

Mfano. Unaposema watu waliosusiwa na waislam kuzikwa ni wale walioshiriki kuiuwa EAMWS kwa hila mbalimbali na kuundwa kwa Bakwata. hakika yao hao Mola anawaonyesha hapa hapa Duniyani kwa malipo ya kile walichofanya. Na ndio maana watu wanasusia kuzika maiti zao.

Tatizo ni kutosikia kauli yenu juu ya waislam waioshirikiana na wakristo na wajerumani kuwanyanaysa waislam wenzao(Kina mkwawa). nataka kujua kwenye historia "mpya" tuwawee upande upi?. Je huoni kama una waislam walishirikianna wakrsto dhana nzimaya dini wenye vita ya maji maji inaondoka?

Baru bari hapa tunaongelea historia .unaposema vitu vidogo vidgo unatumia mzani gani. Ndio huo nataka kujua Kama kwako ni kitu kidogo kwa sykes kushirikiana na wakristu na wajerumani kuua waislam na hapo hapo ni kitu kitu kikubwa kwa waislam walishiri
kuiuwa EAMWS. Kama ni hvyo basi naona huna principle ni bla bla za kupachika pachika mambo

Sasa suala hili unaponasibisha na Vita vya majimaji ni lazima uonyeshe connection yake ipo wapi? Bila kuweka hilo swala lako litabaki kuelea angani pasipo mashiko.
  • Swali nimemuuliza MS au hata wewe kama unajua nielimishe. kwa nini ilitwa vita ya maji maji i?
  • Swali nimeuliz vita ya maji maji waliyopigana waislam Vs wakristu (According to MS ) chanzo ilikuwa nini?, Viliongzwa kwa misingi gani?
  • tumefundishwa (maybe ni historia ya uwongo)wapiganaji walitumia matambiko na mila na njia mbalimbali za kijadi. Napenda kujua kama mafndisho ya uislam yanatambua hizo "tekniki"
NB
MS kaandika Vita ya maji maji ilikuwa baina ya waislam na wakristu. Ebu saidia kupambanua zaidi tuone religion side ya maji maji tuone.
Kwangu ni upotoshaji mtu anayejiita mwanahistoria kuhusishanisha maji maji na waislma Vs waristu badala ya kutaja makundi ama wahehe, wapogoro, etc Au Nyerere hakutaka waislam wajulikane ndi maana tulifundishwa wahehe badaa ya waislam...... Nipeni elimu.

Vile vile katika Uislam , kila mtu ni kiongozi kwa nafasi yake. Na linapokutana kundi yaani kuanzia watu wawili na kuendelea basi wanaweza kumchagua mtu yoyote miongoni mwao lakin swifa kuu ikiwa uadilifu na ucha Mungu na Elimu kuweza kuwaongoza sio tu katika Swala zao bali pia katika maamuzi yote ya kila siku.

Kwa hiyo hata mganga wa kienyeji kwa utartibu wake binafsi anaweza kuwa kiongozi wa 2kiislam" as long as aanitwa Ali au Juma . As long as huyo Muaguzi anawasidia waislam hata kama mbinu anazotumia hazimo kweye mafundisho ya uislam basi huyo ni muislam na kiongozi wa uislam???!!!!!. ebu fafanua.

Haya maswali nataka kuona kwa nn Vita ya maji wa mujibu wa MS ni vita ya waislam Vs wakristu. Saidia kujibu

Unapozungumzia vita hivyo vya Majimaji ni vizuri umsome vizuri sana Al Akhiy Mohamed Said namna alivyofafanua katika utafiti wake sio tu kwa kusikia kwa watu bali pia na kutembea maeneo hayo kuona na kisha kuweka habari zake hapo.
Hajafafanua utafiti wowote nimetoa maswali ana ni refer kwenda chuo Kikuu . Huko anaponirefer hakuna dimension ya dini katika vita ya maji maji . Hiyo Dimension ya dini yeye ndiyo mtafiti wake so afafunue.

  • kivipi vita ya maji maji iliuwa ni waksritu Vs waislam. Na sio sio wahehe Vs Wajerumani. ?
  • waislam walioshirikiana na wakristu kuwapiga waislam wenzao histria ya kiislam iwaweke wapi?
Nakushauri msome kwa nia ya kuelewa na Insh'Allah utaelewa na kuja na masuala mazuri sio hayo unayoweka ya Jazba na khasira.
Huwezi kumuelewa mtu amabye akishindwa kujibu utafiti wake badala ya kufafanua anakimbilia kurefer makbarasha amya UDSM amabayo hayana kitu anachoeleza . Yeye(Aliyetafiti) au wewe mnaofahamu deep historia tupeni elimu zaidi.

baadhi ya Maswali yangu ni haya i:

  • Kivipi vita ya maji maji ilikuwa ni vita ya "Waislam" Vs "Wakristu"
  • kama upande wa wakristu kulikuwa na mamluki wa kiislama(Sykes) je upande wa waislam hakukuwa na mamluki wa kikristu au kipagani? Je ama walikuwepo bado ilikuwa ni vita ya 2dini"
  • Je "wahehe" na wapgoro waliuwa upande wa dini gani kwenye vita hiyo.
nb
maswali nimeyarudia rudia ili yapate majibu.



 

Tatizo ni kutosikia kauli yenu juu ya waislam waioshirikiana na wakristo na wajerumani kuwanyanaysa waislam wenzao(Kina mkwawa). nataka kujua kwenye historia "mpya" tuwawee upande upi?. Je huoni kama una waislam walishirikianna wakrsto dhana nzimaya dini wenye vita ya maji maji inaondoka?

Baru bari hapa tunaongelea historia .unaposema vitu vidogo vidgo unatumia mzani gani. Ndio huo nataka kujua Kama kwako ni kitu kidogo kwa sykes kushirikiana na wakristu na wajerumani kuua waislam na hapo hapo ni kitu kitu kikubwa kwa waislam walishiri
kuiuwa EAMWS. Kama ni hvyo
  • basi naona huna principle ni bla bla za kupachika pachika mambo

    NB
    MS kaandika Vita ya maji maji ilikuwa baina ya waislam na wakristu. Ebu saidia kupambanua zaidi tuone religion side ya maji maji tuone.
    Kwangu ni upotoshaji mtu anayejiita mwanahistoria kuhusishanisha maji maji na waislma Vs waristu badala ya kutaja makundi ama wahehe, wapogoro, etc Au Nyerere hakutaka waislam wajulikane ndi maana tulifundishwa wahehe badaa ya waislam...... Nipeni elimu.



    Kwa hiyo hata mganga wa kienyeji kwa utartibu wake binafsi anaweza kuwa kiongozi wa 2kiislam" as long as aanitwa Ali au Juma . As long as huyo Muaguzi anawasidia waislam hata kama mbinu anazotumia hazimo kweye mafundisho ya uislam basi huyo ni muislam na kiongozi wa uislam???!!!!!. ebu fafanua.

    Haya maswali nataka kuona kwa nn Vita ya maji wa mujibu wa MS ni vita ya waislam Vs wakristu. Saidia kujibu


    Hajafafanua utafiti wowote nimetoa maswali ana ni refer kwenda chuo Kikuu . Huko anaponirefer hakuna dimension ya dini katika vita ya maji maji . Hiyo Dimension ya dini yeye ndiyo mtafiti wake so afafunue.

    Huwezi kumuelewa mtu amabye akishindwa kujibu utafiti wake badala ya kufafanua anakimbilia kurefer makbarasha amya UDSM amabayo hayana kitu anachoeleza . Yeye(Aliyetafiti) au wewe mnaofahamu deep historia tupeni elimu zaidi.

    baadhi ya Maswali yangu ni haya i:
    nbmaswali nimeyarudia rudia ili yapate majibu.
    • Swali nimemuuliza MS au hata wewe kama unajua nielimishe. kwa nini ilitwa vita ya maji maji i?
    • Swali nimeuliz vita ya maji maji waliyopigana waislam Vs wakristu (According to MS ) chanzo ilikuwa nini?, Viliongzwa kwa misingi gani?
    • tumefundishwa (maybe ni historia ya uwongo)wapiganaji walitumia matambiko na mila na njia mbalimbali za kijadi. Napenda kujua kama mafndisho ya uislam yanatambua hizo "tekniki"
    • kivipi vita ya maji maji iliuwa ni waksritu Vs waislam. Na sio sio wahehe Vs Wajerumani. ?
    • waislam walioshirikiana na wakristu kuwapiga waislam wenzao histria ya kiislam iwaweke wapi?
    • Kivipi vita ya maji maji ilikuwa ni vita ya "Waislam" Vs "Wakristu"
    • kama upande wa wakristu kulikuwa na mamluki wa kiislama(Sykes) je upande wa waislam hakukuwa na mamluki wa kikristu au kipagani? Je ama walikuwepo bado ilikuwa ni vita ya 2dini"
    • Je "wahehe" na wapgoro waliuwa upande wa dini gani kwenye vita hiyo.
Fahari,

Nakumbuka wakti nasoma skuli darsa la tatu au nne hivi tulikuwa tunafundishwa kusoma habari ndefu sana na kisha kuambiwa kuiandika kwa ufupi sana labda kwa kutumia maneno mia moja au hata hamsini. Hiyo ilikuwa intusaidia sana kufupisha habari.

Sasa na wewe kwanza kabisa nakushauri
1. Soma habari au maandiko vizuri sana kwa nia ya kuelewa kusudio la mwandishi.
2. Punguza jaza unaposoma habari
3. Underline kila unapoona una mush'kira wa kuelewa.
4. Andaa suala lako pale ulipoona kuwa hapakukujilia vizuri.
5. Andika suala hlo pasi na jazba wala kujirudia.
6. Hakikisha masuala yako una list down moja baada ya ji.ngine
7. Kama una comment zozote kuhusu maelezo a mtu, jipanga kabla kuandika.


Huo ni ushauri wangu kwako. Kwani unaandika mambo meeeeeeengi kiasi cha kujiridia rudia na kuondoa hamu ya kusoma.
 
Barubaru said:
1. Soma habari au maandiko vizuri sana kwa nia ya kuelewa kusudio la mwandishi.
Nimekuleza hapa hatuko kanisani uau msikitini. Maji maji (According to MS) si vita vya wahehe,waapogro etc kama tulivyofundishwa bali ni vita ya waislamVs Wakristu .
Mohamed said said:
i. Vita vya Maji Maji havikuwa ni vitavya kizalendo, kwamba wazalendo walikuwa wakipigania nchi yao. La. Vilikuwa nivita vya Waislaam wakipigana na Wakristo wa Kijerumani waliovamia maeneo asiliaya Waislaam kwa lengo la kuuwa Uislam

MOhamed Said said:
Kuna upotoshaji mkubwa sana wahistoria ya vita vya Maji Maji. Vinaoneshwa kama ni vita vya wazalendo wakipigana na wakoloni wa Kijerumani, wakati ukweli si hivyo.Ukweli ni kwambavita vya Maji Maji vilikuwa ni vita baina ya Waislaam na Wakrito ,Waafrika Wakristo wa Songea walijiunga na Wakristo wenzao wa Kijerumani dhidiya Waafrika wenzao wa Kiislam. iii. Wakristo wameitafiti hakika hii nawakaijua kisha wameificha kwa maslahi yao.

Wewe muelewa ebu fafanua kama havikuwa vita ya kiazalendo na ilikuwa ya kidini vipi kuhusu waislam waliowasaidia wakristu. Je michango ya wahehe unapotelea wapi. mchango wa watu wasiokuwa na dini haukuwepo?. Mafundisho au uwezo wa risasi kuwa maji yalifanywa na muislam gani kwa kutumi aya gani ya Qoran?

Sijaelewa kusudio la MS kufuta historiaa ya wazee wa makabila kama wahehe na kuiteka majimaji kuwa historia ya dini.

barubaru said:
2. Punguza jaza unaposoma habari
  • Ina maana mtu akikuuiza swali amabalo umekosa jibu ndio anakuwa na jazba.. kuthibitisha kuwa nina jazba fafanua kipengele cha Juu kivipi vita ya maji maji ilikuwa ni ya dini?
  • Mamluki sykes aliyekuwa upande wa wakristo na kuwapiga waislama yuko upande gani wa historia mpya?
  • Kama kuna mamluki waislam walikuwa upande wa wakristu je hakukuwa na mamluki wa kipagani na mammluki wa kikiristo walikuwa upande wa so called waislam(kina mkwawa)?
Mohamed Said said:
Majimaji sisi tunaisomesha vingine kama tunavyosomesha harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika.
Sasa MS anasema maji maji " wao" wanaisomesha vingine hoja zikija anasema twende kwenye artcles za UDSM amabzo hazisomeshi hiyo maji maji vingine.
@ barubaru kwa kuwa wewe unaoenakana kuelewa fafanua na bainisha dimension ya dini( waislam Vs wakristo) katika vita ya maji maji ikoje.
 
Nimekuleza hapa hatuko kanisani uau msikitini. Maji maji (According to MS) si vita vya wahehe,waapogro etc kama tulivyofundishwa bali ni vita ya waislamVs Wakristu .


Wewe muelewa ebu fafanua kama havikuwa vita ya kiazalendo na ilikuwa ya kidini vipi kuhusu waislam waliowasaidia wakristu. Je michango ya wahehe unapotelea wapi. mchango wa watu wasiokuwa na dini haukuwepo?. Mafundisho au uwezo wa risasi kuwa maji yalifanywa na muislam gani kwa kutumi aya gani ya Qoran?

Sijaelewa kusudio la MS kufuta historiaa ya wazee wa makabila kama wahehe na kuiteka majimaji kuwa historia ya dini.

  • Ina maana mtu akikuuiza swali amabalo umekosa jibu ndio anakuwa na jazba.. kuthibitisha kuwa nina jazba fafanua kipengele cha Juu kivipi vita ya maji maji ilikuwa ni ya dini?
  • Mamluki sykes aliyekuwa upande wa wakristo na kuwapiga waislama yuko upande gani wa historia mpya?
  • Kama kuna mamluki waislam walikuwa upande wa wakristu je hakukuwa na mamluki wa kipagani na mammluki wa kikiristo walikuwa upande wa so called waislam(kina mkwawa)?
Sasa MS anasema maji maji " wao" wanaisomesha vingine hoja zikija anasema twende kwenye artcles za UDSM amabzo hazisomeshi hiyo maji maji vingine.
@ barubaru kwa kuwa wewe unaoenakana kuelewa fafanua na bainisha dimension ya dini( waislam Vs wakristo) katika vita ya maji maji ikoje.

Fahari,

Mie siko katika kubishana na wewe.

Ninapokuelekeza katika rejea nyingine nia yangu ni kukusaidia wewe kupata mwelekeo mpana zaidi kwa watu ambao mimi nimewasoma na nikikusudia kukusaidia wewe nawe uwasome ujue wamesema nini kuhusu hicho ambacho wewe unauliza maswali.

Mie niingie katika ubishi na wewe natafuta kitu gani?

Prof. James Giblin wa Iowa University na rafiki yangu yeye kaandika kitabu kizima kuhusu Majimaji na nimempinga uso kwa macho tena katika chuo chake mbele ya wanafunzi wake na bado tu marafiki.

Kama kuandika kitabu ndiyo hicho kinasomwa na kinafanyiwa rejea katika tasnifu chungu nzima.

Ikiwa huwezi kusoma kazi za wasomi wengine unashikilia ubishi basi hiyo ni bahati mbaya sana kwako.

Usomi (scholarship) si miliki ya yeyote yule ndiyo maana nikakueleza kuwa mimi sina tatizo na mtu ambar hakubaliani na yale niliyoandika kwa kuwa hilo ni jambo la kawaida sana katika duru za uandishi.

Mimi sikubaliani na wasomi mabingwa katika historia ya Afrika na Uislam kama huyo Prof Giblin, James Brenan, John Iliffe, Jonathan Glassman na haijawa neno.

Mohamed
 

Fahari, Mie siko katika kubishana na wewe.


]Ninapokuelekeza katika rejea nyingine nia yangu ni kukusaidia wewe kupata mwelekeo mpana zaidi kwa watu ambao mimi nimewasoma na nikikusudia kukusaidia wewe nawe uwasome ujue wamesema nini kuhusu hicho ambacho wewe unauliza maswali.

Hakun rejea UDSM inayeolezea vita ya maji maji kuwa ilikuwa vita ya wakristu VS waisam ndiyo maana tunaomba utuelimishe. Waliotupotsha(Kwa mujibu wako) kwenye historia tuliyosoma ndio wamenadika vita ya maji maji ilikuwa ya kizalendo. Msomi na mtaalam wewe unasema i vita ya majimaji ilikuwa kidini . Sasa si ufafanuie utafiti wako. kivipi iliuwa vita ya dini.? Iianza baaa ya kuchoma misikiti? Ilianza baada ya watu kuzuiwa kwenda kuswali?. Dawa ya kubadilisha risasi kuwa maji ilitolewa na ustadh gani?

Mie niingie katika ubishi na wewe natafuta kitu gani?

Prof. James Giblin wa Iowa University na rafiki yangu yeye kaandika kitabu kizima kuhusu Majimaji na nimempinga uso kwa macho tena katika chuo chake mbele ya wanafunzi wake na bado tu marafiki.
Kwa hiyo wewe ni faraja kwako kubishana na Prof james Giblin wa USA kuliko Mzee makanyaga wa mehenge. Udhaifu wako mwingine ndio unaonekana bado unatawaliwa na ukoloni.Basi nikupe hongera kupingana Pfrof wa USA. Mie hapa ni mtanzania niliishia la saba lakini kumbuka naifahamu historia ya kuhadithiwa kama amabvyo unaifahamu wewe

Kama kuandika kitabu ndiyo hicho kinasomwa na kinafanyiwa rejea katika tasnifu chungu nzima.
MS mbona unajichanganya Si ndiohivyo hayo maandiko ya wenzako unaowaita maprof wanaokuzidi elimu unawapinga. Kama wewe umeweza kupinga yaliyoandikwa na Prof Jamames Giblin ni vipi na wewe usipingwe na fahari aliyezaliwa na na kulelewa na kuhadithiwa historia.............

Ikiwa huwezi kusoma kazi za wasomi wengine unashikilia ubishi basi hiyo ni bahati mbaya sana kwako.
Kazi za wasomi nasoma lakini msomi wewe ndiyo umeleta hoja ya vita ya maji maji kuwa vita ya waislam Vs wakristu. Nakuuliza maswali unanipeleka kwa maandiko wasomi amabao hawataji hoja ya vita ya maji maji kwamtazamo wa kidini .KifupiReferemce unazotaja( Amabazo sio zako) hazielezei maji maji hivyo.

Usomi (scholarship) si miliki ya yeyote yule ndiyo maana nikakueleza kuwa mimi sina tatizo na mtu ambar hakubaliani na yale niliyoandika kwa kuwa hilo ni jambo la kawaida sana katika duru za uandishi.
Sawa MS lakini kwanini iwe ngumu wewe uliyefanya utafiti kuonyesha vipi vita ya maji maji ilikuwa si ya kizalendo. Kwanini ni ngumu kuwaonyesha watu vipi vita ya maji maji ilikuwa ni vit ya waislam Vs wakristu. Kwa nini vita ya maji maji sio ya wahehe wapogororona makabila.

Mimi sikubaliani na wasomi mabingwa katika historia ya Afrika na Uislam kama huyo Prof Giblin, James Brenan, John Iliffe, Jonathan Glassman na haijawa neno.
haitakiwi kuwa neno ndio maana hata hapa msomi fahari nisiyekuwa bingwa napingana na hoja yao ya kuiteka vita ya maji maji na kuimilikisha kuwa ni vita ya dini kati ya waksristu na waislam.
 
Sheikh Mohamed, Fahari,

..mimi nadhani Sheikh Mohamed amefanya haraka kuvi-brand vita vya maji-maji kama vita baina ya Waislamu na Wakristo.

..katika pitapita yangu kwenye makala za kihistoria naweza kusema kwamba kulikuwepo na watu walioamini matambiko ya asili, na wengine walioamini ktk Uislamu ambao walishiriki ktk kupambana na Mjerumani.

..pia historia inaelekeza kwamba chanzo kikubwa cha vita hiyo kilikuwa ukatili wa Wajerumani ktk kulazimisha wazalendo kulima PAMBA. sijakutana na sababu za kidini kama Wajerumani kukataza wazalendo kuabudu kwa namna hii au ile.

..kuna kundi la Kinjeketile Ngware, wakati mwingine wakimuita bokero, ambalo nadhani liliamini ktk matambiko. kundi hilo inaelekea ndiyo waasisi wa vita ya maji-maji. halafu kuna kundi lingine, nadhani la Wangoni walioamini ktk Uislamu, ambalo lilikuja kuwapa nguvu waanzilishi wa vita hiyo pale walipoonekana kuzidiwa.

..jambo lingine ni kwamba Wajerumani walipoingia hapa kwetu walianzisha system ya direct rule. katika system hiyo walichukua watu wa Pwani, ambao Sheikh Mohamed anapenda kuwaita Waislamu, na kuwasimika ktk nafasi za utawala kwa niaba ya Wajerumani.

..sasa ktk mazingira hayo Sheikh Mohamed Said ana uhakika gani kwamba hakuna watu wa Pwani, au Waislamu, waliokuwa kwenye safu za askari wa Mjerumani?

..pia Sheikh Mohamed amekuwa na haraka ktk ku-conclude kwamba Waafrika Wakristo, walishirikiana na Wajerumani, ktk kuwauwa Waafrika Waislamu.

NB:

..kwa mtizamo wangu Waafrika tumetumiwa sana ktk karne hizo zilizopita kufanikisha unyama na udhalimu wa mtu mweupe ktk bara letu. sidhani kama tutakuwa tunazitendea haki imani zetu za Kiislamu na Kikristo ikiwa tutaamua kuzihusisha na matendo na mienendo ya Waafrika wa zama zile.
 
Sheikh Mohamed, Fahari,

..mimi nadhani Sheikh Mohamed amefanya haraka kuvi-brand vita vya maji-maji kama vita baina ya Waislamu na Wakristo.

..katika pitapita yangu kwenye makala za kihistoria naweza kusema kwamba kulikuwepo na watu walioamini matambiko ya asili, na wengine walioamini ktk Uislamu ambao walishiriki ktk kupambana na Mjerumani.

..pia historia inaelekeza kwamba chanzo kikubwa cha vita hiyo kilikuwa ukatili wa Wajerumani ktk kulazimisha wazalendo kulima PAMBA. sijakutana na sababu za kidini kama Wajerumani kukataza wazalendo kuabudu kwa namna hii au ile.

..kuna kundi la Kinjeketile Ngware, wakati mwingine wakimuita bokero, ambalo nadhani liliamini ktk matambiko. kundi hilo inaelekea ndiyo waasisi wa vita ya maji-maji. halafu kuna kundi lingine, nadhani la Wangoni walioamini ktk Uislamu, ambalo lilikuja kuwapa nguvu waanzilishi wa vita hiyo pale walipoonekana kuzidiwa.

..jambo lingine ni kwamba Wajerumani walipoingia hapa kwetu walianzisha system ya direct rule. katika system hiyo walichukua watu wa Pwani, ambao Sheikh Mohamed anapenda kuwaita Waislamu, na kuwasimika ktk nafasi za utawala kwa niaba ya Wajerumani.

..sasa ktk mazingira hayo Sheikh Mohamed Said ana uhakika gani kwamba hakuna watu wa Pwani, au Waislamu, waliokuwa kwenye safu za askari wa Mjerumani?

..pia Sheikh Mohamed amekuwa na haraka ktk ku-conclude kwamba Waafrika Wakristo, walishirikiana na Wajerumani, ktk kuwauwa Waafrika Waislamu.

NB:

..kwa mtizamo wangu Waafrika tumetumiwa sana ktk karne hizo zilizopita kufanikisha unyama na udhalimu wa mtu mweupe ktk bara letu. sidhani kama tutakuwa tunazitendea haki imani zetu za Kiislamu na Kikristo ikiwa tutaamua kuzihusisha na matendo na mienendo ya Waafrika wa zama zile.

JK,

Sijafanya haraka kwa kitu chochote.
Tembelea Makumbusho ya Majimaji Mahenge, Songea ujionee mwenyewe jinsi athari za Uislam zilivyotumika katika vita vile kiasi kuwa njama zipo za kubadili ukweli huu.

Ila napenda kufanya sahihisho kidogo.

Ukisema Waislam katika Majimaji walikuwa wakipigana na Wakristo unaleta fikra nyingine.

Waislam wakipigana na Wajerumani waliokuwa Wakristo na Waislam wakitumia dini yao kama "ideology of resistance" kama walivyoitumia tena katika harakati za kudai uhuru dhidi ya Waingereza.

Na hapa vilevile njama zinaendelea kufifilisha ukweli huu.
Ndiyo maana kuna Waislam wengi katika wazalendo waliopigania uhuru hawatajwi na hadi leo hawajapewa heshima yoyote.


Mohamed
 
Sheikh Mohamed, Fahari,

..mimi nadhani Sheikh Mohamed amefanya haraka kuvi-brand vita vya maji-maji kama vita baina ya Waislamu na Wakristo.

..katika pitapita yangu kwenye makala za kihistoria naweza kusema kwamba kulikuwepo na watu walioamini matambiko ya asili, na wengine walioamini ktk Uislamu ambao walishiriki ktk kupambana na Mjerumani.

..pia historia inaelekeza kwamba chanzo kikubwa cha vita hiyo kilikuwa ukatili wa Wajerumani ktk kulazimisha wazalendo kulima PAMBA. sijakutana na sababu za kidini kama Wajerumani kukataza wazalendo kuabudu kwa namna hii au ile.

..kuna kundi la Kinjeketile Ngware, wakati mwingine wakimuita bokero, ambalo nadhani liliamini ktk matambiko. kundi hilo inaelekea ndiyo waasisi wa vita ya maji-maji. halafu kuna kundi lingine, nadhani la Wangoni walioamini ktk Uislamu, ambalo lilikuja kuwapa nguvu waanzilishi wa vita hiyo pale walipoonekana kuzidiwa.

..jambo lingine ni kwamba Wajerumani walipoingia hapa kwetu walianzisha system ya direct rule. katika system hiyo walichukua watu wa Pwani, ambao Sheikh Mohamed anapenda kuwaita Waislamu, na kuwasimika ktk nafasi za utawala kwa niaba ya Wajerumani.

..sasa ktk mazingira hayo Sheikh Mohamed Said ana uhakika gani kwamba hakuna watu wa Pwani, au Waislamu, waliokuwa kwenye safu za askari wa Mjerumani?

..pia Sheikh Mohamed amekuwa na haraka ktk ku-conclude kwamba Waafrika Wakristo, walishirikiana na Wajerumani, ktk kuwauwa Waafrika Waislamu.

NB:

..kwa mtizamo wangu Waafrika tumetumiwa sana ktk karne hizo zilizopita kufanikisha unyama na udhalimu wa mtu mweupe ktk bara letu. sidhani kama tutakuwa tunazitendea haki imani zetu za Kiislamu na Kikristo ikiwa tutaamua kuzihusisha na matendo na mienendo ya Waafrika wa zama zile.

JK,

Sijafanya haraka kwa kitu chochote.
Tembelea Makumbusho ya Majimaji Mahenge, Songea ujionee mwenyewe jinsi athari za Uislam zilivyotumika katika vita vile kiasi kuwa njama zipo za kubadili ukweli huu.

Ila napenda kufanya sahihisho kidogo.

Ukisema Waislam katika Majimaji walikuwa wakipigana na Wakristo unaleta fikra nyingine.

Waislam wakipigana na Wajerumani waliokuwa Wakristo na Waislam wakitumia dini yao kama "ideology of resistance" kama walivyoitumia tena katika harakati za kudai uhuru dhidi ya Waingereza.

Na hapa vilevile njama zinaendelea kufifilisha ukweli huu.
Ndiyo maana kuna Waislam wengi katika wazalendo waliopigania uhuru hawatajwi na hadi leo hawajapewa heshima yoyote.


Mohamed
 

Hakun rejea UDSM inayeolezea vita ya maji maji kuwa ilikuwa vita ya wakristu VS waisam ndiyo maana tunaomba utuelimishe. Waliotupotsha(Kwa mujibu wako) kwenye historia tuliyosoma ndio wamenadika vita ya maji maji ilikuwa ya kizalendo. Msomi na mtaalam wewe unasema i vita ya majimaji ilikuwa kidini . Sasa si ufafanuie utafiti wako. kivipi iliuwa vita ya dini.? Iianza baaa ya kuchoma misikiti? Ilianza baada ya watu kuzuiwa kwenda kuswali?. Dawa ya kubadilisha risasi kuwa maji ilitolewa na ustadh gani?


Kwa hiyo wewe ni faraja kwako kubishana na Prof james Giblin wa USA kuliko Mzee makanyaga wa mehenge. Udhaifu wako mwingine ndio unaonekana bado unatawaliwa na ukoloni.Basi nikupe hongera kupingana Pfrof wa USA. Mie hapa ni mtanzania niliishia la saba lakini kumbuka naifahamu historia ya kuhadithiwa kama amabvyo unaifahamu wewe


MS mbona unajichanganya Si ndiohivyo hayo maandiko ya wenzako unaowaita maprof wanaokuzidi elimu unawapinga. Kama wewe umeweza kupinga yaliyoandikwa na Prof Jamames Giblin ni vipi na wewe usipingwe na fahari aliyezaliwa na na kulelewa na kuhadithiwa historia.............


Kazi za wasomi nasoma lakini msomi wewe ndiyo umeleta hoja ya vita ya maji maji kuwa vita ya waislam Vs wakristu. Nakuuliza maswali unanipeleka kwa maandiko wasomi amabao hawataji hoja ya vita ya maji maji kwamtazamo wa kidini .KifupiReferemce unazotaja( Amabazo sio zako) hazielezei maji maji hivyo.


Sawa MS lakini kwanini iwe ngumu wewe uliyefanya utafiti kuonyesha vipi vita ya maji maji ilikuwa si ya kizalendo. Kwanini ni ngumu kuwaonyesha watu vipi vita ya maji maji ilikuwa ni vit ya waislam Vs wakristu. Kwa nini vita ya maji maji sio ya wahehe wapogororona makabila.


haitakiwi kuwa neno ndio maana hata hapa msomi fahari nisiyekuwa bingwa napingana na hoja yao ya kuiteka vita ya maji maji na kuimilikisha kuwa ni vita ya dini kati ya waksristu na waislam.

Fahari,

Kwa kweli sina tatizo na fikra zako kuhusu Majimaji.
Ni haki yako kutoa tafsiri unayoona wewe ina mantiki na ukweli ndani yake kama mimi nilivyotoa tafsiri yangu.

Watu wanasoma na wana haki vilevile ya kuamini wanachoona kimewakalia sawa.

Mohamed
 
Sheikh Mohamed, Fahari,

..mimi nadhani Sheikh Mohamed amefanya haraka kuvi-brand vita vya maji-maji kama vita baina ya Waislamu na Wakristo.

..katika pitapita yangu kwenye makala za kihistoria naweza kusema kwamba kulikuwepo na watu walioamini matambiko ya asili, na wengine walioamini ktk Uislamu ambao walishiriki ktk kupambana na Mjerumani.

..pia historia inaelekeza kwamba chanzo kikubwa cha vita hiyo kilikuwa ukatili wa Wajerumani ktk kulazimisha wazalendo kulima PAMBA. sijakutana na sababu za kidini kama Wajerumani kukataza wazalendo kuabudu kwa namna hii au ile.

..kuna kundi la Kinjeketile Ngware, wakati mwingine wakimuita bokero, ambalo nadhani liliamini ktk matambiko. kundi hilo inaelekea ndiyo waasisi wa vita ya maji-maji. halafu kuna kundi lingine, nadhani la Wangoni walioamini ktk Uislamu, ambalo lilikuja kuwapa nguvu waanzilishi wa vita hiyo pale walipoonekana kuzidiwa.

..jambo lingine ni kwamba Wajerumani walipoingia hapa kwetu walianzisha system ya direct rule. katika system hiyo walichukua watu wa Pwani, ambao Sheikh Mohamed anapenda kuwaita Waislamu, na kuwasimika ktk nafasi za utawala kwa niaba ya Wajerumani.

..sasa ktk mazingira hayo Sheikh Mohamed Said ana uhakika gani kwamba hakuna watu wa Pwani, au Waislamu, waliokuwa kwenye safu za askari wa Mjerumani?

..pia Sheikh Mohamed amekuwa na haraka ktk ku-conclude kwamba Waafrika Wakristo, walishirikiana na Wajerumani, ktk kuwauwa Waafrika Waislamu.

NB:

..kwa mtizamo wangu Waafrika tumetumiwa sana ktk karne hizo zilizopita kufanikisha unyama na udhalimu wa mtu mweupe ktk bara letu. sidhani kama tutakuwa tunazitendea haki imani zetu za Kiislamu na Kikristo ikiwa tutaamua kuzihusisha na matendo na mienendo ya Waafrika wa zama zile.
jokaKuu.
Mohamed hajafanya haraka kubrand vita vya Maji maji kuwa vita ya Waislamu dhidi ya Ukristo. Hiyo ni strategy. They don't care about the historical validity of their claims as long as it is believable among Muslims "who did not know that their predicament as far as development is concerned is caused by Christians." Ndio maana umewaona akina Barubaru wanakuja hapa na uwongo au Faiza Foxy kupindisha ukweli ili theme yao ionekane believable. Mohamed ameshindwa kujibu ilikuwaje baba yake Sykes ashirikiane na Wajerumani kupambana na Waislamu na wakati huo huo mwanae awe shujaa wa Waislamu walioleta uhuru. Hawawezi kujibu.
 
jokaKuu.
Mohamed hajafanya haraka kubrand vita vya Maji maji kuwa vita ya Waislamu dhidi ya Ukristo. Hiyo ni strategy. They don't care about the historical validity of their claims as long as it is believable among Muslims "who did not know that their predicament as far as development is concerned is caused by Christians." Ndio maana umewaona akina Barubaru wanakuja hapa na uwongo au Faiza Foxy kupindisha ukweli ili theme yao ionekane believable. Mohamed ameshindwa kujibu ilikuwaje baba yake Sykes ashirikiane na Wajerumani kupambana na Waislamu na wakati huo huo mwanae awe shujaa wa Waislamu walioleta uhuru. Hawawezi kujibu.

Kwa kuwa umenitaja, tafadhali niwekee huo "uongo" niliokuja nao, ukishindwa ina maana wewe ndiye muongo.
 
Back
Top Bottom