Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Historia ya Uhuru isimuliwavyo na Mohammed Said yakosolewa

Hawezi kuwa na jibu hata kidogo kwa sababu hajui yeye anataka nini isipokuwa kitu gani kiondoke. Yaani kwa madai yao mfumo Kristu uondoke na hawana cha ku replace kwa sababu kwa kila utakachokiweka ni mfumo kristu kwao, as a matter of fact hata demokrasia ni mfumo kristu.

Binafsi nisichokipenda kutoka kwa hawa jamaa zetu ni pale wanapoitumia dini kueneza siasa zao, nimeshamwambia Mohammed Said, Islaam ni dini inayosimama peke yake na kwa wanadamu wote, tunachogombea sote ni UTU wetu ambao uko well defined ktk kuran na mtu yeyote anatakiwa kupigania haki hizo kama binadamu. Lakini haiwezekani mtu ukapigania haki zako wewe kwa sababu ya jina lako la dini ama imani yako isipokuwa pale dini inapokatazwa...

Mfano mzuri wa Islaam ni kama demokrasia..Leo hii dunia nzima vita vinatokea kwa sababu ya kukosekana kwa demokrasia, hivyo wananchi wataidai demokrasia ilokosekana ili kurekebisha mapungufu yoyote yaliyopo ya kiutawala na sii kutazama makundi ya watu kujaribu kupendelea kundi moja ama kudhoofisha kundi jingine ili kufikia usawa wa kiutawala. Sijui kama nimeeleweka!

Wanachokiomba kina Mohammed Said, ni Udini yaani ktk siasa za kibaguzi ni kama vile kabila fulani linabaguliwa, hivyo ili nao wapate kutesa kwa zamu kama wenzao, wanataka wampate kiongozi ama viongozi wao ambao watawawezasha kubadilisha upepo wa kimfumo kutoka kabila moja kwenda lao, kama Kenya walivyokuwa wakidai Wajaluo miaka ya Kenyatta.

Kwa sura hii, Wajaluo hawakutaka hujenga Demokrasia isipokuwa ni ktk mfumo ule ule wa ukabila, yaani Wajaluo nao wanataka kushika nchi ili wawakandamize Wakikuyu wakati wao wakipanda kimaisha ili kufikia usawa...Na wala sii swala la kuwatazama wao kama wanaokandamizwa ili wawezeshwe, hapana wanachokitafuta ni kuanguka kwa Mkikuyu..Na huyo mkikuyu hawezi kukubali akielewa kwamba utawala ukiwa chini ya Mjaluo yeye ndiye atakuwa muathirika...Kinacholkiliwa hapa ni ule mfumo wa kupokezana yaani na sisi sasa ni ZAMU YETU.

Kwa hiyo, kwa mtu mwenye upeo mkubwa ataelewa kwamba kinacholiliwa hapa na waislaam njaa hawa ni kwamba ilikuwa zamu yao, pengine wakati wa Uhuru au kabla ya Uhuru na Nyerere akawanyang'anya tonge mdomoni. Na kila napowasoma Waislaam wenye siasa kali it's all about when is our turn?.. hakuna anayelilia demokrasia iliyopotea na wala hawataki kujihusisha na siasa kuhakikisha Ukabila au Udini ndio unapigwa vita na sii apendelewe nani na kwa zamu zipi..

Hili ni tatizo ambalo tunalo sii tu kwa dini zetu bali lipo hata ktk Muungano wetu na Zanzibar. Watu wanatazama hizi kutesa kwa zamu na ndio maana wanahesabu Wazanzibar wangapi, waislaam wangapi, wachagga wangapi yote haya ni matokeo ya imani mbovu za kibaguzi kinyume cha Uislaam au niseme demokrasia. Na ndio maana Maalim Seif Hamad, Bilal, Nahoda, Shamhuna wote hawa baada ya kupewa nafasi ya kutesa mashambulizi hakuna tena.. It's all about them ktk kutesa kwa zamu!

Hizi ndizo siasa za Waislaam wa Tanzania ambao wanataka sana kuitumia dini vibaya wakati wao wenyewe wanashindwa kuona kwamba demokrasia imepotea nchini na viongozi wao wa kiislaam ndio vipaza sauti na wanafiki wakubwa ktk uchochezi. Mwinyi ndiye aliyefungua mahusiano ya kitafa na Israel, Mwinyi ndiye aliua Balukta na kuwafunga ama kuua viongozi wake, Mwinyi ndiye aliyeweka mkataba wa MoU na misamaha ya kodi, Mwinyi ndiye aliyeruhusu Ma Casino na kadhalika lakini pembeni hudai ati kuna mfumo kristu wakati yeye ndiye mjenzi wa mfumo huo huo, lakini waulize watakwambia hakuna rais kama Mwinyi.

Mkuu hawa waislaam njaa ndio wanaifanya kazi yetu sisi tunaotoa Dawa iwe ngumu zaidi. Na kibaya zaidi wameingia hata ktk kazi zetu kiasi kwamba Uislaam leo unaonekana kama ni Ugaidi, ni imani inayotawaliwa na Udini kwa sababu wanashindwa kupigania haki zao hapo walipo isipokuwa kwa kutumia jina la dini ili wapate wanachama wengi wakipitia jina la dini..Lakini pamoja na yote haya, Islaam italindwa na Mwenyezi Mungu pale Waislaam wenyewe wameshindwa kuilinda...
Asante sana Mkandara kwa observation makini.
Naamini wewe ni muilamu safi na mwenye muelekeo wa kimaendeleo zaidi.
Na kama itikadi yetu watanzania ilivyo tumachangia sana misikiti, makanisa shule na zahanati zenye kuleta maendeleo bila kujali dini.
Ndo watanzania tulivyo.
Kama kuna tatizo la mizani ya kimaendeleo mtu makini anajiandaa , tena kimya kimya, kusoma na kujichangia ili afike kileleni.
Type ya Mohammed Said na wapambe wake sijawahi kusikia wamechangishana kumsomesha hata mtoto mmoja hadi kufikia kiwango cha Phd.
Hao anaowasifia kina Sykes hadi leo wapo, hawana hata shule za kusingiziwa.
Lazima watambue kuwa maendeleo yoyote ni juhudi na si maneno maneno.
Na mods mnajaza upupu bure wa watu wa siasa kali , ambao wala hauna uhusiano wowote na uhuru wa Tanganyika humu jamvini.
 
Hawezi kuwa na jibu hata kidogo kwa sababu hajui yeye anataka nini isipokuwa kitu gani kiondoke. Yaani kwa madai yao mfumo Kristu uondoke na hawana cha ku replace kwa sababu kwa kila utakachokiweka ni mfumo kristu kwao, as a matter of fact hata demokrasia ni mfumo kristu.

Binafsi nisichokipenda kutoka kwa hawa jamaa zetu ni pale wanapoitumia dini kueneza siasa zao, nimeshamwambia Mohammed Said, Islaam ni dini inayosimama peke yake na kwa wanadamu wote, tunachogombea sote ni UTU wetu ambao uko well defined ktk kuran na mtu yeyote anatakiwa kupigania haki hizo kama binadamu. Lakini haiwezekani mtu ukapigania haki zako wewe kwa sababu ya jina lako la dini ama imani yako isipokuwa pale dini inapokatazwa...

Mfano mzuri wa Islaam ni kama demokrasia..Leo hii dunia nzima vita vinatokea kwa sababu ya kukosekana kwa demokrasia, hivyo wananchi wataidai demokrasia ilokosekana ili kurekebisha mapungufu yoyote yaliyopo ya kiutawala na sii kutazama makundi ya watu kujaribu kupendelea kundi moja ama kudhoofisha kundi jingine ili kufikia usawa wa kiutawala. Sijui kama nimeeleweka!

Wanachokiomba kina Mohammed Said, ni Udini yaani ktk siasa za kibaguzi ni kama vile kabila fulani linabaguliwa, hivyo ili nao wapate kutesa kwa zamu kama wenzao, wanataka wampate kiongozi ama viongozi wao ambao watawawezasha kubadilisha upepo wa kimfumo kutoka kabila moja kwenda lao, kama Kenya walivyokuwa wakidai Wajaluo miaka ya Kenyatta.

Kwa sura hii, Wajaluo hawakutaka hujenga Demokrasia isipokuwa ni ktk mfumo ule ule wa ukabila, yaani Wajaluo nao wanataka kushika nchi ili wawakandamize Wakikuyu wakati wao wakipanda kimaisha ili kufikia usawa...Na wala sii swala la kuwatazama wao kama wanaokandamizwa ili wawezeshwe, hapana wanachokitafuta ni kuanguka kwa Mkikuyu..Na huyo mkikuyu hawezi kukubali akielewa kwamba utawala ukiwa chini ya Mjaluo yeye ndiye atakuwa muathirika...Kinacholkiliwa hapa ni ule mfumo wa kupokezana yaani na sisi sasa ni ZAMU YETU.

Kwa hiyo, kwa mtu mwenye upeo mkubwa ataelewa kwamba kinacholiliwa hapa na waislaam njaa hawa ni kwamba ilikuwa zamu yao, pengine wakati wa Uhuru au kabla ya Uhuru na Nyerere akawanyang'anya tonge mdomoni. Na kila napowasoma Waislaam wenye siasa kali it's all about when is our turn?.. hakuna anayelilia demokrasia iliyopotea na wala hawataki kujihusisha na siasa kuhakikisha Ukabila au Udini ndio unapigwa vita na sii apendelewe nani na kwa zamu zipi..

Hili ni tatizo ambalo tunalo sii tu kwa dini zetu bali lipo hata ktk Muungano wetu na Zanzibar. Watu wanatazama hizi kutesa kwa zamu na ndio maana wanahesabu Wazanzibar wangapi, waislaam wangapi, wachagga wangapi yote haya ni matokeo ya imani mbovu za kibaguzi kinyume cha Uislaam au niseme demokrasia. Na ndio maana Maalim Seif Hamad, Bilal, Nahoda, Shamhuna wote hawa baada ya kupewa nafasi ya kutesa mashambulizi hakuna tena.. It's all about them ktk kutesa kwa zamu!

Hizi ndizo siasa za Waislaam wa Tanzania ambao wanataka sana kuitumia dini vibaya wakati wao wenyewe wanashindwa kuona kwamba demokrasia imepotea nchini na viongozi wao wa kiislaam ndio vipaza sauti na wanafiki wakubwa ktk uchochezi. Mwinyi ndiye aliyefungua mahusiano ya kitafa na Israel, Mwinyi ndiye aliua Balukta na kuwafunga ama kuua viongozi wake, Mwinyi ndiye aliyeweka mkataba wa MoU na misamaha ya kodi, Mwinyi ndiye aliyeruhusu Ma Casino na kadhalika lakini pembeni hudai ati kuna mfumo kristu wakati yeye ndiye mjenzi wa mfumo huo huo, lakini waulize watakwambia hakuna rais kama Mwinyi.

Mkuu hawa waislaam njaa ndio wanaifanya kazi yetu sisi tunaotoa Dawa iwe ngumu zaidi. Na kibaya zaidi wameingia hata ktk kazi zetu kiasi kwamba Uislaam leo unaonekana kama ni Ugaidi, ni imani inayotawaliwa na Udini kwa sababu wanashindwa kupigania haki zao hapo walipo isipokuwa kwa kutumia jina la dini ili wapate wanachama wengi wakipitia jina la dini..Lakini pamoja na yote haya, Islaam italindwa na Mwenyezi Mungu pale Waislaam wenyewe wameshindwa kuilinda...

Bwana "muisilam asiye njaa" Mkandara,

Umesema mengi sana mkuu na yanaweza kuakweli kwa ufahamu wa wa "uisilam"
Mimi nilikua natafuta waisilam Kumi tu wa namna yako wasio njaa ili tusaidiane. Katika ujenzi wa shule ya kiisilam ya msingi na sekondari lengo nikatika kuitikia wito wa Mushemiwa raisi kwamba,muslims should build new school"mimi nafamilia yangu tumebaba hili jukumu na infact tumeshaanza sasa tafadhali ni PM uje uone sight na maendelee ya ujenzi utusaidie waisilam njaa katika hili
 
Bwana "muisilam asiye njaa" Mkandara,

Umesema mengi sana mkuu na yanaweza kuakweli kwa ufahamu wa wa "uisilam"
Mimi nilikua natafuta waisilam Kumi tu wa namna yako wasio njaa ili tusaidiane. Katika ujenzi wa shule ya kiisilam ya msingi na sekondari lengo nikatika kuitikia wito wa Mushemiwa raisi kwamba,muslims should build new school"mimi nafamilia yangu tumebaba hili jukumu na infact tumeshaanza sasa tafadhali ni PM uje uone sight na maendelee ya ujenzi utusaidie waisilam njaa katika hili
Now you guys are talking , na wala msijibague.Mkiwa na mabo ya maendeleo hata mimi nitaweka shilingi yangu hapo najua itasaidia kuondoa umasikini na ujinga!
 
Now you guys are talking , na wala msijibague.Mkiwa na mabo ya maendeleo hata mimi nitaweka shilingi yangu hapo najua itasaidia kuondoa umasikini na ujinga!

Acha ushamba wewe

Mambo ya maendeleo yanayofanywa na waislam huyaoni au unajibaragua tu hapa...

Ukitaka kuchangia moja njia nzuri ni "Kuondoa dhulma" ...

Waislam wanafanya mambo ya maendeleo enzi na enzi..shule, misikiti, hospitals etc..zinajengwa pamoja na kwamba hatupewi pesa za umma kama wakristo through MoU..ok

Tuondoe dhulma na tuweke haki kwanza mengine ni mteremko ..
 
Acha ushamba wewe

Mambo ya maendeleo yanayofanywa na waislam huyaoni au unajibaragua tu hapa...

Ukitaka kuchangia moja njia nzuri ni "Kuondoa dhulma" ...

Waislam wanafanya mambo ya maendeleo enzi na enzi..shule, misikiti, hospitals etc..zinajengwa pamoja na kwamba hatupewi pesa za umma kama wakristo through MoU..ok

Tuondoe dhulma na tuweke haki kwanza mengine ni mteremko ..

Mkuu T,

Hilo wao hawalioni
 
Kwa hiyo mkuu wewe unataka mfumo kristo uendelee kwakuwa hakuna mfumo wa ku-replace

Kwa hiyo wewe unasema hela za serikali (umma) zipelekwa kanisani through MoU kwakuwa hatuna namna ya ku-replace

Kwa hiyo mkuu UTU kwako ni waislamu kubaguliwa kwasababu ya dini yao ...lakini wakidai haki iwe usaliti

Nilifkiri ulisema wewe ni Muislam ..na unasema waislam wameshindwa wewe umefanya nini kuu-linda uislamu?

Nini maana ya uislam?
Mkuu nisome vizuri hapo juu utaelewa nilichoandika.
1. Huwezi kudai mfumo Kristu kuondoka wakati huna cha ku-replace, itakuwa ujinga mkubwa maana wanaondolewa Madikteta kwa sababu wananchi wanataka mfumo wa Demokrasia. Na hayo maswala mengine yote ulozungumzia hapo chini ni matokeo ya kuwepo mfumo usioukubali na unataka uondolewe. Je, wewe una mfumo gani unatakiwa kuchukua nafasi hiyo? Kama huna mfumo wowote in hand, utaweza vipi kurekebisha ya chini uloyaandika ambayo ni matunda na mfumo uliopo madarakani..sasa ili yasitokee tena ama yaondoke unataka tuwe na mfumo gani...kwa sababu hatari niyoisoma hapa JF ni kwamba Waislaam wanachotaka ni Kutesa kwa zamu..

- Uislaam hauko hatarini Tanzania hata kidogo na haujawa. kinachofanyika ni kwamba Uislaam unapigwa vita na watu wanaojiita Waislaam hali Islaam dini imesha waonyesha njia za maisha. Kama vile watu wanapigania demokrasia for the wrong reason huitwa magaidi. Ni wao ndio wenye matatizo na sii demokrasia.

Kinachofanyika nchini ni kwamba pamoja na kuchukua demokrasia kama mfumo wa utawala wetu, ukweli bado ni kwamba hatuna demokrasia hiyo. Ni sawa na mtu anayejiita Muislaam wakati ibada zote zinapiga chenga. Kusimamisha tu nguzo za Uislaam ni adhabu kubwa kwake, sasa unategemea nini atayafanya mtu huyu kwa binadamu wengine hali akidai yeye ni Muislaam?. Ama yawezekana pia wapo waislaam wanaokwenda kusali na kufunga hata Ramadhan kwa kufuata mkumbo maadam nduigu na marafiki zake ni Waislaam na wanasali basi naye anajiunga ktk mkumbo huo...

Hiii ndio hali halisi ya Tanzania, tunadai kuwa na demokrasia lakini hatufuati nguzo za demokrasia aidha tunakwenda kwa kufuata mkumbo au kutumia jina la demokasia kwa manufaa yao. Demokrasia haiwezi kufanya kazi ama sisi wenyewe tunaitumia kwa malengo kinyume cha demokrasia, kama vile mtu anaweza kuwa Muislaam na akatumia Uislaam wake kufanya mambo kinyume cha Uislaam..Kosa sio dini bali kosa lipo within ourselves maana Kuran imesha define IUislaam ni kitu gani..

Hivyo basi, kama hatuna demokrasia, utawala uliopo haufuati mfumo wa demokrasia na ndio maana tunapata matokeo kama hayo hakuna mtu ana own democracy, we all fight for democracy ili kuondoa tabaka za utawala dhalimu usiofuata demokrasia na kuwapa wananchi wote haki sawa. Kwa hiyo maadam CCM ndiye mtawala na hafuati demokrasia ipaswavyo, ni swala la kupinga utawala huu ufuate demokrasia ya kweli na sii kupendelea au kutafuta mtu au watu watakao geuza kibao na kupendelea upande mwingine.

Yes, mimi ni Muislaam..si own Uislaam wala dini hainihitaji mimi bali mimi ndiye naihitaji dini ktk kuhakikisha haki na UTU wangu unaheshimika lakini sii kwa gharama ya mkristu hata kama. Natambua nina viongozi wabovu toka utawala wa serikali hadi Bakwata kwa hiyo nachoweza kupigania mimi ni kuhakikisha watu kama wewe unatumia vizuri dini pale haki yako inapokosekana..Nachofanya mimi ni kuutangaza Uislaam na mzuri yake tofauti na wengi wanavyofikiria kama vile hao wana siasa wanavyotangaza demokrasia dhidi ya Udikteta. Lakini kama Uislaam utakuwa hatarini Tanzania, basi nitakuwa na sababu ari na uwezo wa kupigania kama mnavyopigania demokrasia mkitumia jina la dini.
 
Acha ushamba wewe

Mambo ya maendeleo yanayofanywa na waislam huyaoni au unajibaragua tu hapa...

Ukitaka kuchangia moja njia nzuri ni "Kuondoa dhulma" ...

Waislam wanafanya mambo ya maendeleo enzi na enzi..shule, misikiti, hospitals etc..zinajengwa pamoja na kwamba hatupewi pesa za umma kama wakristo through MoU..ok

Tuondoe dhulma na tuweke haki kwanza mengine ni mteremko ..

T,

Muislam ni yule ambae Muislam mwenzake amsesalimika na shari ya mkono wake na mdomo wake. Hapana haja ya kushambuliana kati ya "Waislam wenye shibe na wale wenye njaa."

Naona pameingia fedhuli na hamaki hii si bishara njema.

Sisi tujikite katika kuuelimisha umma. Hapo ndipo penye tija.

Mohamed
 
Mkuu nisome vizuri hapo juu utaelewa nilichoandika.
1. Huwezi kudai mfumo Kristu kuondoka wakati huna cha ku-replace, wanaondolewa Madikteta kwa sababu wananchi wanataka demokrasia. Maswala mengine yote ulozungumzia hapo chini ni matokeo ya kuwepo mfumo usioukubali.. Je, wewe una mfumo gani unatakiwa kuchukua nafasi hiyo? Kama huna mfumo wowote in hand, utaweza vipi kurekebisha ya chini uloyaandika ili yasitokee ama yaondoke kwa sababu hatari niloisoma hapa JF ni kwamba Waislaam wanataka iwe zamu yao kutesa.

- Uislaam hauko hatarini hata kidogo. kinachofanyika ni kwamba Uislaam unapigwa vita na watu wanajiita Waislaam hali Islaam imesha waonyesha njia za maisha. Kama vile watu wanapigania demokrasia for the wrong cause huitwa magaidi.

Kinachofanyika nchini ni kwamba pamoja na kuchukua demokrasia kama mfumo wa utawala wetu, ukweli bado ni kwamba hatuna demokrasia hiyo. Ni sawa na mtu anayejiita Muislaam wakati ibada zote zinapiga chenga. Kusimamisha tu nguzo za Uislaam ni adhabu kubwa kwake, sasa unategemea nini atayafanya mtu huyu kwa binadamu wengine hali akidai yeye ni Muislaam?. Ama yawezekana pia wapo waislaam wanaokwenda kusali na kufunga hata Ramadhan kwa kufuata mkumbo maadam nduigu na marafiki zake ni Waislaam na wanasali basi naye anajiunga ktk mkumbo huo...

Hiii ndio hali halisi ya Tanzania, tunadai kuwa na demokrasia lakini hatufuati nguzo za demokrasia aidha tunakwenda kwa kufuata mkumbo au kutumia jina la demokasia kwa manufaa yao. Demokrasia haiwezi kufanya kazi ama sisi wenyewe tunaitumia kwa malengo kinyume cha demokrasia, kama vile mtu anaweza kuwa Muislaam na akatumia Uislaam wake kufanya mambo kinyume cha Uislaam..Kosa sio dini bali kosa lipo within ourselves maana Kuran imesha define IUislaam ni kitu gani..

Hivyo basi, kama hatuna demokrasia, utawala uliopo haufuati mfumo wa demokrasia na ndio maana tunapata matokeo kama hayo hakuna mtu ana own democracy, we all fight for democracy ili kuondoa tabaka za utawala dhalimu usiofuata demokrasia na kuwapa wananchi wote haki sawa. Kwa hiyo maadam CCM ndiye mtawala na hafuati demokrasia ipaswavyo, ni swala la kupinga utawala huu ufuate demokrasia ya kweli na sii kupendelea au kutafuta mtu au watu watakao geuza kibao na kupendelea upande mwingine.

Yes, mimi ni Muislaam..si own Uislaam wala dini hainihitaji mimi bali mimi ndiye naihitaji dini ktk kuhakikisha haki na UTU wangu unaheshimika lakini sii kwa gharama ya mkristu hata kama. Natambua nina viongozi wabovu toka utawala wa serikali hadi Bakwata kwa hiyo nachoweza kupigania mimi ni kuhakikisha watu kama wewe unatumia vizuri dini pale haki yako inapokosekana..Nachofanya mimi ni kuutangaza Uislaam na mzuri yake tofauti na wengi wanavyofikiria kama vile hao wana siasa wanavyotangaza demokrasia dhidi ya Udikteta. Lakini kama Uislaam utakuwa hatarini Tanzania, basi nitakuwa na sababu ari na uwezo wa kupigania kama mnavyopigania demokrasia mkitumia jina la dini.

Yap unataka demokrasia na utawala bora kama ambavyo mim na kila mtu anataka...

Yap utawala bora ni pamoja na kukataa mali umma kutumika kwa faida ya kanisa tu (MoU) ..mgawanyo wa kibaguzi wa rasilimali zetu..

Yap demokrasia na utawala imepotezwa na mfumo kristo (mfumo wa ubaguzi ulioasisiwa na Nyerere) lazima tupambane nao..

Yap Uislam hauko hatarini wala hakuna atakayewezi kuuhatarisha kwasababu kwanza Allah ataulinda, pili sisi waislamu hatutakubali dhulma hata kama tutabaki wawili

Yap wewe endelea kuwalamba miguu wakristo wanaotetea upendeleo na ubaguzi unaofanywa..

Yap watu kama nyinyi walikuwepo, watakuwepo hadi mwisho wa dunia..period
 
T,

Muislam ni yule ambae Muislam mwenzake amsesalimika na shari ya mkono wake na mdomo wake. Hapana haja ya kushambuliana kati ya "Waislam wenye shibe na wale wenye njaa."

Naona pameingia fedhuli na hamaki hii si bishara njema.

Sisi tujikite katika kuuelimisha umma. Hapo ndipo penye tija.

Mohamed

Shukran sheikh

InshAllah ntajitahidi
 
Acha ushamba wewe

Mambo ya maendeleo yanayofanywa na waislam huyaoni au unajibaragua tu hapa...

Ukitaka kuchangia moja njia nzuri ni "Kuondoa dhulma" ...

Waislam wanafanya mambo ya maendeleo enzi na enzi..shule, misikiti, hospitals etc..zinajengwa pamoja na kwamba hatupewi pesa za umma kama wakristo through MoU..ok

Tuondoe dhulma na tuweke haki kwanza mengine ni mteremko ..
Ni kweli kuwa tofauti kati ya mjinga na mpumbavu huwa dhahiri katika jinsi mtu anavyo interact na mazingara yake.
Kwa bahati mbaya sana wewe ndugu yangu unaingia kundi hili la pili.
Kama imani yako inakutuma kuwa huwezi kijiendeleza hadi wengine wakupigie magoti wakati mtu kama wewe binafsi ni hohehahe wa kutupwa, basi haingii akilini kwa nini kushirikiana na mtu ambaye hawezi kufikiri zaidi ya kujifikiria yuko chini na ni duni.
Unayenifikiria kuwa mshamba nina uhakika nina maisha mazuri zaidi kuliko wewe ambaye hujastaarabika na elimu ambayo ingekuondoa si ujinga tu,bali na kaupumbavu dhahiri uliko nako.
 
Ni kweli kuwa tofauti kati ya mjinga na mpumbavu huwa dhahiri katika jinsi mtu anavyo interact na mazingara yake.
Kwa bahati mbaya sana wewe ndugu yangu unaingia kundi hili la pili.
Kama imani yako inakutuma kuwa huwezi kijiendeleza hadi wengine wakupigie magoti wakati mtu kama wewe binafsi ni hohehahe wa kutupwa, basi haingii akilini kwa nini kushirikiana na mtu ambaye hawezi kufikiri zaidi ya kujifikiria yuko chini na ni duni.
Unayenifikiria kuwa mshamba nina uhakika nina maisha mazuri zaidi kuliko wewe ambaye hujastaarabika na elimu ambayo ingekuondoa si ujinga tu,bali na kaupumbavu dhahiri uliko nako.

Shakespeare anasema, "Gold begets more gold." Sasa haya matusi yataleta matusi zaidi. Kweli hili ndilo tulitakalo?
Tutulie tuupe heshima ukumbi.

Mohamed
 
Ni kweli kuwa tofauti kati ya mjinga na mpumbavu huwa dhahiri katika jinsi mtu anavyo interact na mazingara yake.
Kwa bahati mbaya sana wewe ndugu yangu unaingia kundi hili la pili.
Kama imani yako inakutuma kuwa huwezi kijiendeleza hadi wengine wakupigie magoti wakati mtu kama wewe binafsi ni hohehahe wa kutupwa, basi haingii akilini kwa nini kushirikiana na mtu ambaye hawezi kufikiri zaidi ya kujifikiria yuko chini na ni duni.
Unayenifikiria kuwa mshamba nina uhakika nina maisha mazuri zaidi kuliko wewe ambaye hujastaarabika na elimu ambayo ingekuondoa si ujinga tu,bali na kaupumbavu dhahiri uliko nako.

Pole mkuu..

Hayo maisha mazuri nini? (very subjective term)

Nasisitiza waislam hawafundishwi na mtu kama wewe wala hawasubiri michango yako ili waendelee..far from that..

Kinachoitakiwa na kuondolewa Dhulma wanayofanyiwa waislam Tanzania

Na kuondoa upendeleo unaofanywa na serikali (kutumia pesa za umma) ku-finance shughuli za kanisa..

Hayo ya maisha mazuri ni misifa isiyo na tija kwenye mjadala huu..kwani hunifahamu sikufahamu
 
@Topical
Umewshambulia wachaga

Nimekuuliza je wachga walio waislam unawambiaje?

Kutokana na mtazamo wako na aoni yako uliouchambua makabila alafu ukauganisha na dini . Tuambie ni makabila gani ya Tanzania yanfaa kuwa waislam.

Maana unachofikiria wewe ni moja ya sumu iliyomo wenye tasisis za kiislam .Wale wa waislam wa pwani ndio wanajiona wasilam "safi" na "original " zaidi .Hawawapi nafasi baadi ya waisam wasomi wa dini na elimu dunia kutoka bara kuongoza taasisi zenu .Thats another ugly truth. swallow it.
 
@Topical
Umewshambulia wachaga

Nimekuuliza je wachga walio waislam unawambiaje?

Kutokana na mtazamo wako na aoni yako uliouchambua makabila alafu ukauganisha na dini . Tuambie ni makabila gani ya Tanzania yanfaa kuwa waislam.

Mkuu nimekujibu..

Narudia sijashambuli kabila..lolote

Nimesema jifunze lugha za mfano..
 
Wanaukumbi,

Mimi nakulaumuni kitu kimoja.
Kuna watu watakuja na maswali ambayo wenyewe wanaona magumu sana nami nitamwaga data.
Kimyaaaaaaa!

Mwanaukumbi hata mmoja hanipi mji wala nafasi ya kutoa salam.

Kuna mtu juzi au jana kanambia mie ninasema haya ninayosema baada ya Baba wa Taifa kuwa hayupo.
Nikamwaga historia yangu hapa nzima.
Kimyaaaaa!

Basi si angalau hawa jamaa wanaonifanya mimi "punching bag" wakarudi na kusema, "Mkuu nimekusoma."

Vibaya hivyo ndugu zangu.

Mohamed
 
OPPORTUNITY COST ya hii kitu ni ELIMU ambayo wanafilosopia wanasema ni ufunguo wa maisha
Bao_players_in_stone_town_zanzibar.jpg

Jee, si kweli?

Nyerere_bao_butiama.jpg
 
Bw. Mohammed Said je unafikiri vitendo vya ufisadi au mfumo wa utawala wa kifisadi nchini vina mchango gani katika kudunisha maisha ya Waislamu au kuendeleza dhulma mbalimbali ambazo umezitaja?
 
Yap unataka demokrasia na utawala bora kama ambavyo mim na kila mtu anataka...

Yap utawala bora ni pamoja na kukataa mali umma kutumika kwa faida ya kanisa tu (MoU) ..mgawanyo wa kibaguzi wa rasilimali zetu..

Yap demokrasia na utawala imepotezwa na mfumo kristo (mfumo wa ubaguzi ulioasisiwa na Nyerere) lazima tupambane nao..

Yap Uislam hauko hatarini wala hakuna atakayewezi kuuhatarisha kwasababu kwanza Allah ataulinda, pili sisi waislamu hatutakubali dhulma hata kama tutabaki wawili

Yap wewe endelea kuwalamba miguu wakristo wanaotetea upendeleo na ubaguzi unaofanywa..

Yap watu kama nyinyi walikuwepo, watakuwepo hadi mwisho wa dunia..period
Nashukuru sana umekuja na maelezo ya kina na nafaka ktk bongo zetu..
Sasa labda nikukumbushe nini maana ya MFUMO KRISTU! haswa na madhara yake.


Tanzania ilikuwa imetawaliwa na Muingereza, na toka Mjarumani hakuwepo na haki sawa kwa Watanzania kiasi kwamba huduma kama za Afya elimu, usafiri na hata access ya nafasi za kazi ziliytolewa kwa matabaka. Wakoloni walitumia njia za kututenganisha ili tupate kugawanyika na wapate kututawala.. Huu ndio mfumo kristu..

Nyerere alioingia madarakani, alivunja mfumo huu kwa kuundwa Azimio la Arusha. Azimio hili likiwa na lengo la kuondoa kabisa mfumo kristu lakini kwa matakwa ya viongozi wa kiislaam walio wengi ilikuwa zamu yetu kutesa wakati hawana mfumo wa ku replace isipokuwa walitaka tu mageuzi ya kuwapa wao kipaumbele. wakati waislaam wakichukuliwa shule zao sijui zilikuwa 20, wakristu walichukuliwa shule zao zaidi ya 200, hospital zao zilichukuliwa nyingi kuliko sisi kwa mara 200, na hata makazini waislaam walipewa nafasi za juu ktk uongozi..Mimi binafsi nimesema sana hapa kwamba nilikuwa mmoja kati ya waislaam walionufaika na Azimio la Arusha kwa sababu niliweza kusoma shule za wakristu wakati ktk kijiji changu ama niseme mkoa mzima hatukuwa na shule ya kiislaam isipokuwa madrasa..Leo waislaam mnamwita Nyerere alikuwa ndiye mchawi wenu akifanya Uislaam unavyotakiwa.

Kwa hiyo sii kweli Nyerere ndiye alokuja na mfumo Kristu isipokuwa yeye aliuondoa na nyie na Mwinyi wenu mkaurudisha. Madai yako yote hapo juu yameletwa na Mwinyi under his watch..Na haya tunayoyaona leo ni matunda ya mfumo kristu yaani kutugawa wananchi ktk makundi ya dini kabila Ubara na Uzanzibar hii ndio maana ya mfumo kristu tumerudi kama ilivyokuwa wakati wa mkoloni...

Sasa nambie nani hapa mwenye advantage? obvious atakuwa Mkristu kwa sababu tayari walikuwa na mashule, hospital na huduma nyinginezo nyingi kuliko waislaam na Wapagan..Wakristu wako organised kupitia vyombo vyao kuliko sisi sote na mfumo wao wa kiutawala ambao ni wakijamii zaidi ya kiimani..Kwa hiyo, haya yote unayoyaona na uloyaandika yametokana na kurudi kwa mfumo kristu ambao katiba yetu imeubeba..Na yamekuwa yakiombwa sana na wananchi wenyewe bila kuelewa athari zake.

Leo hii waislaam wamerudi ktk hali ile ile waliyokuwa nayo wakati wa Ukoloni, na kwa bahati mbaya wananshindwa kuelewa kwamba matatizo haya yametokana na CCM na hasa Mwinyi kukubali kuvunja Azimio la Arusha, kurudisha mali na mashule kwa wale waliofaidika wakati wa ukoloni kwa dhana ya kwamba Azimio la Arusha lilikuwa dhulma kwa wananchi.

Kwa upande wa waislaam wanapiga makelele na kupinga Azimio la Arusha walikuwa watu walioathirika directly, walikuwa matajiri na watu wenye asili ya kirabu zaidi.. samahani mkuu this is a fact..Na wengine ni wale viongozi ambao walifikiria kwamba Uhuru wetu uliwaletea zamu yao kujichanua..Hii kitu Muslim inatumiwa tu kisiasa hakuna mwenye kuutetea Uislaam ama waislaam kwa sababu waislaam hawana shida isipokuwa kwa kutokana na mfumo unaowagawa wananchi ktk makundi ya dini.

- Dawa yake ni demokrasia ya kweli, vyama ndivyo vitumike kudai haki ya wananchi. Katiba mpya uindwe na kama ikiwezekana maswala ya shule, Afya na huduma zote za kitaifa iwe ni jukumu la serikali na private School au Hospital ziwe mikononi mwa private people hivyo watalipa kodi na hakuna misamaha kama ilivyokuwa wakati wa Nyerere shule kama Mzizima, Shaaban Robert, Lake ya Mwanza na kadhalika. Na zile za Jumuiya sijihusishe ktk maswala ya dini tu..Panga pangua mkuu wangu ktk mfumo huu na katiba hii, Waislaam hamuwezi kufaidika kwa lolote zaidi ya kuwatumikia baadhi ya matajiri wachache wanaotaka kutumia dini kama sababu ya kujinufaisha wao.

Kwa hiyo, ili kukamilisha yote hayo, Katiba mpya inatakiwa na ndio hoja kubwa ya Chadema, ni hoja ya wasomi na hata maprofesa wetu ktk matatizo yote yanayojenga matabaka toka umaskini, ukabila na hata udini. Azimio la Arusha ni msingi mzuri ulojengwa na Nyerere ktk utawala bora na mahusiano ya wananchi na umependekezwa na watu kama Profesa Shivji.. Yapo mazuri mengi ya Azimio la Arusha, tukiacha siasa za kiuchumi (Socialist) kwani hiii ni dhamana ya vyama vya kisiasa. Tukiweza kurekebisha haya, tukaijenga katiba yetu dhidi ya mabaya yote ya utawala wa mkoloni dhidi ya wananchi wetu mchezo umekwisha.. Kama maneno haya ni kuwalamba miguu wakristu, basi na iwe hivyo kwa sababu madai yako hayakuandikwa ktk kuran wala hadithi za mtume. Ni mawazo yako binafsi yaliyojaa Ubinafsi kwa sababu tu unataka upewe zamu yako kujichana.

Ohhh! na nyongeza tu kaa Nyerere akifufuka leo hii, atafurahi sana na kusema Alhamdulilaaah niliwambia hawa watu hawakunisikiliza..Ama atacheka sana, ataanguka mbavu kwa sababu alituasa hatukumsikiliza leo yakowapi?.Tulimwona kilaza sasa leo yametukuta yale yale alotuasa na yanakuja tena kwa kasi kubwa sana..
 
Nashukuru sana umekuja na maelezo ya kina na nafaka ktk bongo zetu..
Sasa labda nikukumbushe nini maana ya MFUMO KRISTU! haswa na madhara yake.


Tanzania ilikuwa imetawaliwa na Muingereza, na toka Mjarumani hakuwepo na haki sawa kwa Watanzania kiasi kwamba huduma kama za Afya elimu, usafiri na hata access ya nafasi za kazi ziliytolewa kwa matabaka. Wakoloni walitumia njia za kututenganisha ili tupate kugawanyika na wapate kututawala.. Huu ndio mfumo kristu..

Nyerer alioingia madarakani, alivunja mfumo huu kwa kuundwa Azimio la Arusha. Azimio hili likiwa na lengo la kuondoa kabisa mfumo kristu lakini kwa matakwa ya viongozi wa kiislaam walio wengi ilikuwa zamu yetu kutesa wakati hawana mfumo wa ku replace isipokuwa walitaka tu mageuzi ya kuwapa wao kipaumbele. wakati waislaam wakichukuliwa shule zao sijui zilikuwa 20, wakristu walichukuliwa shule zao zaidi ya 200, hospital na hata makazini waislaam walipewa nafasi za juu ktk uongozi..Mimi binafsi nimesema sana hapa kwamba nilikuwa mmoja kati ya waislaam walionufaika na Azimio la Arusha kwa sababu niliweza kusoma shule za wakristu wakati ktk kijiji changu ama niseme mkoa mzima hatukuwa na shule ya kiislaam isipokuwa madrasa..

Kwa hiyo sii kweli Nyerere ndiye alokuja na mfumo Kristu isipokuwa yeye aliuondoa na nyie na Mwinyi wenu mkaurudisha. haya tunayoyaona leo ni matunda ya mfumo kristu yaani kutugawa wananchi ktk makundi ya dini zetu kama ilivyokuwa wakati wa mkoloni. Nani hapa mwenye advantage? obvious atakuwa Mkristu kwa sababu tayari walikuwa na mashule, hospital na huduma nyinginezo nyingi kuliko waislaam na Wapagan..Wakristu wako organised kupitia vyombo na mfumo wao wa kiutawala ambao ni wakichama zaidi ya kiimani..Kwa hiyo, haya yote unayoyaona na uloyaandika yametokana na kurudi kwa mfumo kristu ambao katiba yetu imeubeba..Na yamekuwa yakiombwa sana na wananchi wenyewe bila kuelewa athari zake.

Leo hii waislaam wamerudi ktk hali ile ile waliyokuwa nayo wakati wa Ukoloni, na kwa bahati mbaya wananshindwa kuelewa kwamba matatizo haya yametokana na CCM na hasa Mwinyi kukubali kuvunja Azimio la Arusha, kurudisha mali na mashule kwa wale waliofaidika wakati wa ukoloni kwa dhana ya kwamba Azimio la Arusha lilikuwa dhulma kwa wananchi.

Kwa upande wa waislaam wanapiga makelele na kupinga Azimio la Arusha walikuwa watu walioathirika directly, walikuwa matajiri na watu wenye asili ya kirabu zaidi.. samahani mkuu this is a fact..Na wengine ni wale viongozi ambao walifikiria kwamba Uhuru wetu uliwaletea zamu yao kujichanua..Hii kitu Muslim inatumiwa tu kisiasa hakuna mwenye kuutetea Uislaam ama waislaam kwa sababu waislaam hawana shida isipokuwa kwa kutokana na mfumo unaowagawa wananchi ktk makundi ya dini.

- Dawa yake ni demokrasia ya kweli, vyama ndivyo vitumike kudai haki ya wananchi. Katiba mpya uindwe na kama ikiwezekana maswala ya shule, Afya na huduma zote za kitaifa iwe ni jukumu la serikali na private School au Hospital ziwe mikononi mwa private people hivyo watalipa kodi na hakuna misamaha kama ilivyokuwa wakati wa Nyerere shule kama Mzizima, Shaaban Robert, Lake ya Mwanza na kadhalika. Na zile za Jumuiya sijihusishe ktk maswala ya dini tu..Panga pangua mkuu wangu ktk mfumo huu na katiba hii, Waislaam hamuwezi kufaidika kwa lolote zaidi ya kuwatumikia baadhi ya matajiri wachache wanaotaka kutumia dini kama sababu ya kujinufaisha wao.

Kwa hiyo, ili kukamilisha yote hayo, Katiba mpya inatakiwa na ndio hoja kubwa ya Chadema, ni hoja ya wasomi na hata maprofesa wetu ktk matatizo yote yanayojenga matabaka toka umaskini, ukabila na hata udini. Azimio la Arusha ni msingi mzuri ulojengwa na Nyerere ktk utawala bora na mahusiano ya wananchi na umependekezwa na watu kama Profesa Shivji.. Yapo mazuri mengi ya Azimio la Arusha, tukiacha siasa za kiuchumi (Socialist) kwani hiii ni dhamana ya vyama vya kisiasa. Tukiweza kurekebisha haya, tukaijenga katiba yetu dhidi ya mabaya yote ya utawala wa mkoloni dhidi ya wananchi wetu mchezo umekwisha..


Hongera sana kwa kufaidika na mfumo Nyerere.
 
Wanaukumbi,

Mimi nakulaumuni kitu kimoja.
Kuna watu watakuja na maswali ambayo wenyewe wanaona magumu sana nami nitamwaga data.
Kimyaaaaaaa!

Mwanaukumbi hata mmoja hanipi mji wala nafasi ya kutoa salam.

Kuna mtu juzi au jana kanambia mie ninasema haya ninayosema baada ya Baba wa Taifa kuwa hayupo.
Nikamwaga historia yangu hapa nzima.
Kimyaaaaa!

Basi si angalau hawa jamaa wanaonifanya mimi "punching bag" wakarudi na kusema, "Mkuu nimekusoma."

Vibaya hivyo ndugu zangu.

Mohamed

Hakuna Hata swali moja la maana ulilojibu, unarukaruka tu,

Uzuri ulianza kwa kujificha lakini mwisho wa siku umekuwa dhahiri (rangi yako imeonekana), na baada ya kueleweka watu walikuwa kimya wakifatilia huu mjadala kwa muda mrefu (Mkandara), akaamua kuja kukuelewesha wewe na wenzio wenye dhamira moja

lakini tatizo Halitaishia kwenye Dini tu, bali litakuja swala la Mwislamu wa kweli ni Mmanyema tu
 
Back
Top Bottom