Historia ya Vita ya Kagera 1978-1979

Historia ya Vita ya Kagera 1978-1979

Nimepiga kambi apa nasubili sehemu inayofata kwa hamu.

Japo kufikia apa nmegundua askari wa JWTZ walokufa vitani ni wachache saaana , lakini mboona kambi ya KABOYA wilaya ya MULEEBA ambapo kumbukumbu ya mashujaa imeifadhiwa kuna makaburi ya askari weeeengi saaaana takrbani mia 4.
Nakufikia apa inaonekana walokufa hawafiki ata 50.
Hesebu vzr.
 
Kesho naendelea na sehemu inayofuata
 
Askari wrote waliokufa vitani ni 614 ikiwa nipamoja na askari wa kigeni waliokuka kutupa msaada angalalia vizuri mnara wa mashujaa wa vita ya Uganda kaboya uliopo mkoani kagera
shukran saaana bwaaana NDIKUMANGENGE.
 
Back
Top Bottom