Historia ya wananchi kuvamia mabunge yanayopitisha sheria za ovyo

Historia ya wananchi kuvamia mabunge yanayopitisha sheria za ovyo

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Ukitaka orodha ya Mabunge yanayo pitisha sheria za hovyo basi Bunge la Tanzania hupaswi kuliacha kabisa.

Pale Dodoma Bunge limegeuka kuwa taasisi ya kupitisha kula kinacho pangwa na Serikali, haijawahi tokea wakakipinga hata ile ya kinafiki.

Kila kinachoplaniwa na Serikali lazima wakipitishe kwa asilimia zote hata kama baadae kinakuja kuonekana kilikuwa hakifai.

Kuna Historia ya nchi nyingi Mabunge yao kuvamiwa na hata kuchomwa moto kisa tu ni kupitisha sheria ambazo zinaonekana dhahiri kuwaasili wananchi.

Moja ya hizo nchi ni kama ifutavyo:

- Bunge la Macedonia mwaka 2017 lilivamiwa na wananchi walio kuwa na hasira.
  • 2013 Bunge la Misiri lilitiwa kiberiti na waandamanaji.
  • 2017 Bunge la Paraguaji pia lilichomwa moto na Waandamanaji.
  • 2016 Gabon pia Bunge lao lilichomwa moto.
Trend ni kubwa na ukiangalia yote haya ilikuwa ni Mabunge kupitisha sheria au kuunga mkono tawala dhalimu au kuwateta watawala na sheria za hovyo.

Ni kwa Bahati nzuri sisi ni kondoo na Watanzania hawataki fujo ila ukweli hatuna Bunge kwa ajili ya kutetea Maslahi ya Wananchi bali kutetea maslahi ya watawala.

Tujiulize kama Rais anaona kweli kuna tatizo kwenye tozo; je Wabunge kwa hio miezi mitatu kule Bungeni hawakuona hilo tatizo?
 
Hawana tofauti na nyumbu! Kukataliwa kwa sheria wanazotunga ni dhahiri kuwa wabunge ni wapumbafu na hawana uwezo wa kufikiri kwa kina! Kuna watz waliopo tayari kulipwa 2m bila posho na waifanye hyo kazi kwa ufanisi kuliko hawa mapopoma!
 
Hawana tofauti na nyumbu! Kukataliwa kwa sheria wanazotunga ni dhahiri kuwa wabunge ni wapumbafu na hawana uwezo wa kufikiri kwa kina!kuna watz waliopo tayari kulipwa 2m bila posho na waifanye hyo kazi kwa ufanisi kuliko hawa mapopoma!
Jiulize huwa wanafanya nini pale Bungeni? Sema tu wananchi nao ni wapole sana.
 
Mwenge wa uhuru unatufanya tuwe wapole na waoga wa kupinga hadharani uhujumu unaoratibiwa na CCM. Siku mwenge wa uhuru ukifutwa tutafumbua macho
 
Siku tukijaribu hilo ikatokea hata tukapigwa km mbwa koko lakini heshima itaanza kurudi, hatutajaribiwa tena!
 
Hawana tofauti na nyumbu! Kukataliwa kwa sheria wanazotunga ni dhahiri kuwa wabunge ni wapumbafu na hawana uwezo wa kufikiri kwa kina!kuna watz waliopo tayari kulipwa 2m bila posho na waifanye hyo kazi kwa ufanisi kuliko hawa mapopoma!
Tunasubiri watujie na majibu hapa
 
Hata Kenya wananchi wanajitambua sana,waliwahi kuvamia Bunge walienda na nguruwe wakawaachia kwenye viwanja vya Bunge.
 
Bunge la kina msukuma halafu utegemee utetezi kwa wananchi makubwa jamani kama akili kubwa kama za kina Msigwa Lissu Lema Sugu mpaka kina wenje kipindi hicho hawakusikilizwa itakua hii mipopoma ya ndiiiiiiiooooooooo?
 
Back
Top Bottom