Historia ya wanyaturu

Historia ya wanyaturu

Bwana wee sema unavyoweza hakuna mwenye shida ya kutaka kujua unatokea wapi humu.Anzisha basi uzi tujuitambulishe wote tulikotokea.Mambo hayo wanafanya watu wasiojielewa kama wewe.Ni kihelehele hicho na ulimbukeni kabisa..nyie ndio mnaotusumbua tusiendelee hii Africa.Kujitia tia vingereza hapa ..

Nina furaha mno maana kadri unavyokaa na watu tofauti unajua vingi.Nawapenda sana ndugu zangu Wanyaturu kikubwa tu wale walikuwa na mioyo ya majivuno na kutu kama wewe badilikeni kabisa, punguza jazba na matusi Wanyaturu walioendelea wameacha hizo siku hizi.😎😎😎
Hapa umefanya contradiction ya msimamo wako wa awali.
 
Hata ungetokea wapi tayari moja ya tabia kuu zenu watu ni kujaa upepo kama wewe hapo.watu wa Moshi hawana akili finyu kama zako.Huo mkoa wenu na ni kati ya mikoa duni kabisa kimaendeleo na sifa kubwa uchawi,wanga mwingi ..roho mbaya na hawachangii lolote kwenye hata maendeleo yao binafsi.Kila kitu mnataka bure.Ndio maana hata mbunge wenu yule ameweza kucheza na akili zenu kawaacha kama mlivyo.Badilikeni mpunguze kuwa watu wa ajabu ajabu.
Na moja kati ya sifa yenu kuwa ni kupaona Arusha na Moshi ni bora zaidi kama ulivyo fanya hapo mwisho maana ndio sehemu kuu mnazokimbilia namkirudi huku kwenu hamgusiki...

''Singida is one of the regions of Tanzania. The regional capital is the municipality of Singida. The region is bordered to the North by Shinyanga Region, Simiyu Region and Arusha Region, to the Northeast by Manyara Region, to the East by Dodoma Region, to the Southeast by Iringa Region, to the Southwest by Mbeya Region and to the West by Tabora Region. It is one of the poorest regions in Tanzania.''
Acha kukebehi ... Usukwa lau?
 
Hii elimu ya siku hizi ni majanga! Watakuwaje "Nilo-Hamites" halafu wawe "Wabantu" wakati huohuo?

Ama Wabantu ama Hamites.

Msitulishe ujinga mliojazwa nao mashule ya kufundishana ujinga.
Watu wanaenda shule kujifunza ujinga.
Hata Mimi nimeshangaa kuwa mbantu halafu nilotes wakati mmoja.
 
Again,yale yale!

Yale yale ya kuona ustaarabu fulani ni bora zaidi ya mwingine which is nonsense...

Unatumia skewed lens ya kabila lako ku-view kabila jengine lisilokuhusu!

Ndio shida hizi ya jitu moja kujiona eti jamii yake yeye ndio staarabu na yenye mila bora zaidi ya jamii ingine!

Kuhusu umasikini sijui unatumia vigezo gani vyako wewe ulivyojiamulia kupima jamii zengine?!

Tuseme jamii ya United States of America sababu imeendelea economically ndio watu zaidi ya watu wakiopo Tanzania sababu tu hawana maendeleo ya kiuchumi?

Mpumbavu sana wewe!

Huwezi tukana the entire population ya jamii fulani kwa kutumia vigezo vya jamii yako wewe binafsi!

Upumbavu ulioje!
Point
 
Again,yale yale!

Yale yale ya kuona ustaarabu fulani ni bora zaidi ya mwingine which is nonsense...

Unatumia skewed lens ya kabila lako ku-view kabila jengine lisilokuhusu!

Ndio shida hizi ya jitu moja kujiona eti jamii yake yeye ndio staarabu na yenye mila bora zaidi ya jamii ingine!

Kuhusu umasikini sijui unatumia vigezo gani vyako wewe ulivyojiamulia kupima jamii zengine?!

Tuseme jamii ya United States of America sababu imeendelea economically ndio watu zaidi ya watu wakiopo Tanzania sababu tu hawana maendeleo ya kiuchumi?

Mpumbavu sana wewe!

Huwezi tukana the entire population ya jamii fulani kwa kutumia vigezo vya jamii yako wewe binafsi!

Upumbavu ulioje!
Well said
 
Hata ungetokea wapi tayari moja ya tabia kuu zenu watu ni kujaa upepo kama wewe hapo.watu wa Moshi hawana akili finyu kama zako.Huo mkoa wenu na ni kati ya mikoa duni kabisa kimaendeleo na sifa kubwa uchawi,wanga mwingi ..roho mbaya na hawachangii lolote kwenye hata maendeleo yao binafsi.Kila kitu mnataka bure.Ndio maana hata mbunge wenu yule ameweza kucheza na akili zenu kawaacha kama mlivyo.Badilikeni mpunguze kuwa watu wa ajabu ajabu.
Na moja kati ya sifa yenu kuwa ni kupaona Arusha na Moshi ni bora zaidi kama ulivyo fanya hapo mwisho maana ndio sehemu kuu mnazokimbilia namkirudi huku kwenu hamgusiki...

''Singida is one of the regions of Tanzania. The regional capital is the municipality of Singida. The region is bordered to the North by Shinyanga Region, Simiyu Region and Arusha Region, to the Northeast by Manyara Region, to the East by Dodoma Region, to the Southeast by Iringa Region, to the Southwest by Mbeya Region and to the West by Tabora Region. It is one of the poorest regions in Tanzania.''

Nimejaribu kufuatilia conversation na allegations zako dhidi ya hili kabila lililoletwa katika thread. Nimeisoma thread yenyewe, mleta mada hajaongelea saana tabia za wahusika unazowatuhumu nazo. Mategemeo yangu ilikuwa wengine tukijikite kujadili contents za thread, lakini mwenzetu umejikita kuwavua nguo (kuwaaibisha na kuwapaka matope) watanzania hawa. Katika hali ya kawaida nnavyojua mimi, dunia hii achilia mbali Tanzania hii, hakuna kabila lisilo na kasoro hata moja. Labda wewe utwambie umetokana na MALAIKA sio binadamu.
Simple analysis zangu zinanifanya nihisi wewe una Psychological Problems. Na unahitaji immediate counseling.
Please waone wanasaikolojia wakusaidie una shida
 
Nimejaribu kufuatilia conversation na allegations zako dhidi ya hili kabila lililoletwa katika thread. Nimeisoma thread yenyewe, mleta mada hajaongelea saana tabia za wahusika unazowatuhumu nazo. Mategemeo yangu ilikuwa wengine tukijikite kujadili contents za thread, lakini mwenzetu umejikita kuwavua nguo (kuwaaibisha na kuwapaka matope) watanzania hawa. Katika hali ya kawaida nnavyojua mimi, dunia hii achilia mbali Tanzania hii, hakuna kabila lisilo na kasoro hata moja. Labda wewe utwambie umetokana na MALAIKA sio binadamu.
Simple analysis zangu zinanifanya nihisi wewe una Psychological Problems. Na unahitaji immediate counseling.
Please waone wanasaikolojia wakusaidie una shida
Anza wewe pia una shida
 
Kumbe ndugu zetu hawa wanyaturu wametoka mbali hivi,BTW kwanini hawakuwa na Uchifu?au waliona machifu ni mzigo?
 
Kwanini historian za makabila. Makabila Mengi wanasema wametokea Kushi(Ethiopia)
Nafikiri Wamasai katika historia ndio waliotoka huko.

Ila Wabantu wooote asili yao ni Cameroon wakasambaa central Africa, kusini na wengine wakabaki huko magharibi.

Wa kusini ndio wakawaleta wangoni wa East Africa na wa Malawi wakawaleta wayao

Wamedi/wairaq wakawaleta wambulu

Waethiopia + wasudan wakawaleta Wamasai.
 
Back
Top Bottom