Historia ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania na mtunzi wake

Sio kweli..wimbo wa Taifa asa zile beti za Tanzania ulitokana na wimbo wa Bukoba Buhaya Union ..waliotaka kua na Taifa lao rasmi.
OMUKAMA ATUBELE EIHANGA LYAITU
OBELE ABANTU BAWE NA ABATWAZI BABO ...
Mtafute Bashiru Kakulwa
 
Tanzania nakupenda kwa moyo wote ni wimbo ambao una hisia kukiko wimbo wa taifa,wimbo huu wa TZ nakupenda ndiyo ulipaswa kua wimbo wetu wa Taifa,yamkini tuje tuusemee kwa nguvu
 
Tanzania ,Tanzania ulitungwa na babake Nape Brigedia Mosses Nnauye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…