Historia ya Yesu siyo halisi ilibuniwa na watu tofauti tofauti

Historia ya Yesu siyo halisi ilibuniwa na watu tofauti tofauti

Yesu au Jesus au Yeshua ni mhusika aliyepata kuishi wala sio hadithi za Fasihi.

Kuhusu Kutofautiana Kwa maandiko Hii inatokana na tabia ya Lugha za kiuandishi,
1. Waandishi tofauti wanaoelezea tukio moja.
Pia kuna Waandishi ambao walishuhudia matukio mubashara na wapo waliohadithiwa.

2. Udhaifu wa kusahau
Hata wewe ukiambiwa uandike tukio uliloliona sasa hivi, ukaambiwa uandike tena sehemu nyingine habari ileile kuna uwezekano wa asilimia kubwa kutoandika habari ileile kwenye andiko jipya.

3. Kuzaliwa kwa Yesu sio Jambo la kibilia, Ila ni utaratibu wa kanisa ili kuimarisha na kuboresha Huduma za kanisa na Dini.
Pumba na uongo.!!
 
Kwanini vizazi vya ukoo wa Yesu vinajipinga katika Mathayo na Luka.

Kwamfano tukisoma katika injili ya Mathayo, tunaona, mwandishi anaanza kueleza ukoo wa Yesu tangu Ibrahimu Mpaka Yusufu, lakini alipofika kwa Daudi, aliendelea na kusema Daudi akamzaa Sulemani, (Mathayo 1:6)..Lakini tukirudi tena kwenye Luka hapo hapo tunaona Daudi alimzaa Nadhani (Luka 3:31), Hiyo ni kuonyesha kuwa Yesu alipitia uzao wa Nathani na sio wa Sulemani, kulingana na Luka. Lakini Mathayo anasema alipitia kwenye uzao wa Sulemani, kwanini iwe hivyo?

Pia ukisoma tena mwishoni utaona kulingana na Injili ya Mathayo, baba yake Yusufu alikuwa ni Yakobo, lakini Luka anatuambia baba yake Yusufu alikuwa ni Eli (Luka 3:23).. Naomba ufafanuzi juu ya hili.

JIBU: Ni wazi kuwa ukisoma kitabu cha Mathayo na kile cha Luka utaona kuna tofauti kubwa kwenye vizazi vya ukoo wa Yesu. Luka anatuambia baba wa Yusufu alikuwa ni Eli, na Mathayo inasema babaye alikuwa ni Yakobo. Lakini je! Hilo linamaanisha biblia inajipinga?

Jibu ni la! Ikumbukwe kuwa zamani katika taifa la Israeli walikuwa na desturi ya mtu kumnyanyulia ndugu yake uzao, na mtoto huyo kuitwa kwa jina la marehemu ikiwa mtu huyo atakufa kabla hajapata mtoto.. Soma. Kumbukumbu 25:5-6,

Kwamfano, kama wewe ni mwanaume umezaliwa katika familia, na ukaoa, lakini kwa bahati mbaya ukafa bila kupata mtoto, basi anatafutwa ndugu yako wa karibu aidha katika familia au katika ukoo, Yule aliye karibu zaidi na wewe, kisha anakwenda kumuoa huyo mke wako uliyemwacha, kisha anamzalia mtoto, lakini huyo mtoto hataitwa kwa jina lake, bali ataitwa kwa jina lako wewe marehemu, haijalishi kuwa watoto huyo watakuwa wametoka katika viungo vya mtu mwingine. Na Wanafanya hivyo ili kulitunza jina lako lisipotee.

Na ndicho walichokifanya Israeli wakati ule, ndicho alichokifanya Boazi kwa Ruthu, (ukisoma Ruthu 4:6-9)

Sasa tukirudi katika Injili. Mathayo aliandika Uzao wa Yusufu (Babaye Yesu), akifuata ubaba wa kibaolojia, na Luka aliandika uzao wa Yusufu akifuata ubaba wa kijina.

Ikiwa na maana kuwa Eli pengine alikufa kabla ya kupata mtoto, hivyo Yakobo akamchukua mke wake, na kuzaa naye ili kumtunzia jina, ndipo akamzaa Yusufu. Hivyo kibaolojia Yusufu alikuwa ni mtoto wa Yakobo lakini kisheria alikuwa ni mtoto wa Eli.

Na ndio maana Yakobo hatajwi katika injili ya Luka, bali ni Eli.. Lakini Mathayo anamtaja Yakobo Kama baba wa Yusufu lakini kibaolojia. Hivyo maandiko yapo sawa.
Njooni mtupe ufafanuzi.
 
Andika vizuri halafu pangilia hoja zako vizuri ,tutakujibu kwa ufasaha

Nikionacho Ni kwanza huna elimu ya biblia kabla hujaongozwa na Roho mtakatifu

je una elimu ya Biblia kuanzia Lugha zilizotumika ,Mwandishi alilenga nini

Mfano Luka anapoelezea Ukoo wa Yesu, na Mathayo aapoelezea Ukoo wa Yesu

Je una elimu ya Lugha mbalimbali kabla hujakimbilia kwenye Biblia zilizotafsiriwa kwa Kisawahili kinachokosa misamiati mingi.



Sent using Jamii Forums mobile app
Njooni mtupe ufafanuzi.
 
Story ya Yesu

Mathayo anataja vizazi 26 Kati ya Yesu na Daudi, Luka hutaja vizazi 41. Mathayo anaanza kwa mtoto wa Daudi Solomon, wakati Luka anaanza kwa mtoto wa Daudi Nathan. Mathayo anasema Babu yake Yesu anaitwa Yakobo wakati Luka anasema babu yake Yesu Ni Heli. Cha kushangaza zaidi wamefuatilia vizazi vya Yosefu wakati Hana uhusiano na Yesu Kama kweli kazaliwa kwa bikira Mariam.

Mathayo 2:13-15 inasema Yesu alipelekwa Misri baada ya kuzaliwa. Luka 2:22-40 inasema walibaki Bethlehem, wakaenda Jerusalem na kurudi Nazareth, bila kutaja kwenda Misri.

Kifo Cha Yuda kinasemwa na Mathayo 27:5 kuwa alijinyonga Ila Matendo ya Mitume 1:18 inasema alianguka shambani na akafa.

Yohana 19:17 inatuambia alibeba msalaba wake, Marko 15:21-23 inasema Simoni alimbebea msalaba.
Kila kitabu Cha injili kinasema maneno ya Yesu ya mwisho tofauti Kila injili inachanganya tukio la kufufuka kwa Yesu. Marko 16:2 inasema ilikuwa asubuhi, Yohana 20:1 inasema ilikuwa usiku.

Mathayo 28:2 inasema alionekana malaika mmoja, Yohana 20:11-12 inasema malaika wawili. Marko 16:5 inasema mwanaume mmoja Luka 24:4 inasema wanaume wawili.

Hitimisho: Story ya Yesu inasemekana imeibiwa kutoka dini za kihindi, kipersia, kimisri, kigiriki na kirumi. Miungu yao mingi ilizaliwa December 25, ilizaliwa kutoka kwa Bikira, ilifanya miujiza, ilikufa na kufufuka.

Ina maanisha story ya Yesu sio original na iliundwa na watu tofauti tofauti ndo maana hata vitabu vya dini kuhusu yeye vinajichanganya kuhusu maisha yake yalivyokuwa. Kama ukristo mzima unategemea story hii na Ina makosa kihivi, je Biblia litakuwa neno halisi kutoka kwa Mungu au utunzi wa Binadamu?
Tumekuelewa.
 
Story ya Yesu

Mathayo anataja vizazi 26 Kati ya Yesu na Daudi, Luka hutaja vizazi 41. Mathayo anaanza kwa mtoto wa Daudi Solomon, wakati Luka anaanza kwa mtoto wa Daudi Nathan. Mathayo anasema Babu yake Yesu anaitwa Yakobo wakati Luka anasema babu yake Yesu Ni Heli. Cha kushangaza zaidi wamefuatilia vizazi vya Yosefu wakati Hana uhusiano na Yesu Kama kweli kazaliwa kwa bikira Mariam.

Mathayo 2:13-15 inasema Yesu alipelekwa Misri baada ya kuzaliwa. Luka 2:22-40 inasema walibaki Bethlehem, wakaenda Jerusalem na kurudi Nazareth, bila kutaja kwenda Misri.

Kifo Cha Yuda kinasemwa na Mathayo 27:5 kuwa alijinyonga Ila Matendo ya Mitume 1:18 inasema alianguka shambani na akafa.

Yohana 19:17 inatuambia alibeba msalaba wake, Marko 15:21-23 inasema Simoni alimbebea msalaba.
Kila kitabu Cha injili kinasema maneno ya Yesu ya mwisho tofauti Kila injili inachanganya tukio la kufufuka kwa Yesu. Marko 16:2 inasema ilikuwa asubuhi, Yohana 20:1 inasema ilikuwa usiku.

Mathayo 28:2 inasema alionekana malaika mmoja, Yohana 20:11-12 inasema malaika wawili. Marko 16:5 inasema mwanaume mmoja Luka 24:4 inasema wanaume wawili.

Hitimisho: Story ya Yesu inasemekana imeibiwa kutoka dini za kihindi, kipersia, kimisri, kigiriki na kirumi. Miungu yao mingi ilizaliwa December 25, ilizaliwa kutoka kwa Bikira, ilifanya miujiza, ilikufa na kufufuka.

Ina maanisha story ya Yesu sio original na iliundwa na watu tofauti tofauti ndo maana hata vitabu vya dini kuhusu yeye vinajichanganya kuhusu maisha yake yalivyokuwa. Kama ukristo mzima unategemea story hii na Ina makosa kihivi, je Biblia litakuwa neno halisi kutoka kwa Mungu au utunzi wa Binadamu?
Kitabu hicho kimefasiliwa zaidi ya lugha 6000 duniani kutoka lugha yake ya hasiri huwezi kuwa sawa
 
Story ya Yesu

Mathayo anataja vizazi 26 Kati ya Yesu na Daudi, Luka hutaja vizazi 41. Mathayo anaanza kwa mtoto wa Daudi Solomon, wakati Luka anaanza kwa mtoto wa Daudi Nathan. Mathayo anasema Babu yake Yesu anaitwa Yakobo wakati Luka anasema babu yake Yesu Ni Heli. Cha kushangaza zaidi wamefuatilia vizazi vya Yosefu wakati Hana uhusiano na Yesu Kama kweli kazaliwa kwa bikira Mariam.

Mathayo 2:13-15 inasema Yesu alipelekwa Misri baada ya kuzaliwa. Luka 2:22-40 inasema walibaki Bethlehem, wakaenda Jerusalem na kurudi Nazareth, bila kutaja kwenda Misri.

Kifo Cha Yuda kinasemwa na Mathayo 27:5 kuwa alijinyonga Ila Matendo ya Mitume 1:18 inasema alianguka shambani na akafa.

Yohana 19:17 inatuambia alibeba msalaba wake, Marko 15:21-23 inasema Simoni alimbebea msalaba.
Kila kitabu Cha injili kinasema maneno ya Yesu ya mwisho tofauti Kila injili inachanganya tukio la kufufuka kwa Yesu. Marko 16:2 inasema ilikuwa asubuhi, Yohana 20:1 inasema ilikuwa usiku.

Mathayo 28:2 inasema alionekana malaika mmoja, Yohana 20:11-12 inasema malaika wawili. Marko 16:5 inasema mwanaume mmoja Luka 24:4 inasema wanaume wawili.

Hitimisho: Story ya Yesu inasemekana imeibiwa kutoka dini za kihindi, kipersia, kimisri, kigiriki na kirumi. Miungu yao mingi ilizaliwa December 25, ilizaliwa kutoka kwa Bikira, ilifanya miujiza, ilikufa na kufufuka.

Ina maanisha story ya Yesu sio original na iliundwa na watu tofauti tofauti ndo maana hata vitabu vya dini kuhusu yeye vinajichanganya kuhusu maisha yake yalivyokuwa. Kama ukristo mzima unategemea story hii na Ina makosa kihivi, je Biblia litakuwa neno halisi kutoka kwa Mungu au utunzi wa Binadamu?
Mnataka muwe Wakristo motoni aende nani bakini huko huko kwanza huku nafasi zimejaa.
 
Hivi inaingia akilini "Mungu kumtoa mwanae kafara?" Binadamu anatoa kafara na Mungu pia? Basi huyo Mungu sio wa kweli. Haya sasa, tumtafute Mungu wa kweli ambae hawezi kuwa na nafsi tatu.
 
Mimi nilishampata, nilitonywa na mababu zangu (mizimu). Mungu wa kweli ametulia na hana mtoto aliyemtoa kafara.
 
Dini za maboti (Judaism, Christianity na Islam) zote ni artificial, zimetungwa na watu, hazina ualisia wowote zaidi ya uwongo na propaganda tu huku zikitishia watu/waumini wake. Wewe jiulize tu, wanasema kuua na kutamani mke asiye wako ni dhambi lakini hapo hapo Mohammed alikuwa anaua na alikuwa anabaka wake za watu baada ya kuua waume zao kwenye vamizi/crusades. Mohammed huyu huyu anajulikana kuwa ni Messenger wa Mungu, are we really serious kweli? Waafrika yabidi tujiangalie sana na hizi dini za watu kwani hazina mantiki yeyote kwetu hata kidogo.
 
Dini za maboti (Judaism, Christianity na Islam) zote ni artificial, zimetungwa na watu, hazina ualisia wowote zaidi ya uwongo na propaganda tu huku zikitishia watu/waumini wake. Wewe jiulize tu, wanasema kuua na kutamani mke asiye wako ni dhambi lakini hapo hapo Mohammed alikuwa anaua na alikuwa anabaka wake za watu baada ya kuua waume zao kwenye vamizi/crusades. Mohammed huyu huyu anajulikana kuwa ni Messenger wa Mungu, are we really serious kweli? Waafrika yabidi tujiangalie sana na hizi dini za watu kwani hazina mantiki yeyote kwetu hata kidogo.
Dini ya ukweli ni ipi?
 
Huyo Mungu ni roho, anakaa popote hata hapo ulipo yupo ila shida wewe una roho ambayo ipo ndani ya mwili. Ikisepa (kufa) utamuona. Na utashangaa utaishia kusema "kumbe!! dini za hii Dunia ni mchongo".
 
Huyo Mungu ni roho, anakaa popote hata hapo ulipo yupo ila shida wewe una roho ambayo ipo ndani ya mwili. Ikisepa (kufa) utamuona. Na utashangaa utaishia kusema "kumbe!! dini za hii Dunia ni mchongo".
Ndo dini zinavyoendesha watu, wamechagua kifo coz hamna mtu Ashawahi kurudi kuhadithia na watu waoga so mnakubali tu. Nikifa story yangu imeisha hamna Cha roho Wala Mungu
 
Back
Top Bottom