Historia ya Yesu siyo halisi ilibuniwa na watu tofauti tofauti

Pumba na uongo.!!
 
Njooni mtupe ufafanuzi.
 
Njooni mtupe ufafanuzi.
 
Tumekuelewa.
 
Kitabu hicho kimefasiliwa zaidi ya lugha 6000 duniani kutoka lugha yake ya hasiri huwezi kuwa sawa
 
Mnataka muwe Wakristo motoni aende nani bakini huko huko kwanza huku nafasi zimejaa.
 
Hivi inaingia akilini "Mungu kumtoa mwanae kafara?" Binadamu anatoa kafara na Mungu pia? Basi huyo Mungu sio wa kweli. Haya sasa, tumtafute Mungu wa kweli ambae hawezi kuwa na nafsi tatu.
 
Mimi nilishampata, nilitonywa na mababu zangu (mizimu). Mungu wa kweli ametulia na hana mtoto aliyemtoa kafara.
 
Dini za maboti (Judaism, Christianity na Islam) zote ni artificial, zimetungwa na watu, hazina ualisia wowote zaidi ya uwongo na propaganda tu huku zikitishia watu/waumini wake. Wewe jiulize tu, wanasema kuua na kutamani mke asiye wako ni dhambi lakini hapo hapo Mohammed alikuwa anaua na alikuwa anabaka wake za watu baada ya kuua waume zao kwenye vamizi/crusades. Mohammed huyu huyu anajulikana kuwa ni Messenger wa Mungu, are we really serious kweli? Waafrika yabidi tujiangalie sana na hizi dini za watu kwani hazina mantiki yeyote kwetu hata kidogo.
 
Dini ya ukweli ni ipi?
 
Huyo Mungu ni roho, anakaa popote hata hapo ulipo yupo ila shida wewe una roho ambayo ipo ndani ya mwili. Ikisepa (kufa) utamuona. Na utashangaa utaishia kusema "kumbe!! dini za hii Dunia ni mchongo".
 
Huyo Mungu ni roho, anakaa popote hata hapo ulipo yupo ila shida wewe una roho ambayo ipo ndani ya mwili. Ikisepa (kufa) utamuona. Na utashangaa utaishia kusema "kumbe!! dini za hii Dunia ni mchongo".
Ndo dini zinavyoendesha watu, wamechagua kifo coz hamna mtu Ashawahi kurudi kuhadithia na watu waoga so mnakubali tu. Nikifa story yangu imeisha hamna Cha roho Wala Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…