Historia yangu ya kupenda na kupendwa na Mabinti Waislam

Kwa uandishi wako tu wa singeli na uhakika wewe sio mkristo..ila umejivika ukristo feki uje upondee wadada wa kikristo ambao ni decent na wenye kujielewa..kuliko hao wanaovaa majuba ila ni ma**ya wakutupwa.

Kingine suala la tabia sio imani au kabila ni mtu na malezi yake tu..mana kote kote kuna decent na malaya.

So mleta mana acha upumbafu...mana hata sisi tumedate hadi na mabinti wakibudha.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza wew sio mkristo unge kuwa mkristo usinge waita visokolo kwinyo wakristo

. Jambo muhimu usipende kudharau dini za wengine, ukifanya hivyo ndiipo utakapo jua kwanini wengine Wanadharau dini yako pia
 
Kwanza wew sio mkristo unge kuwa mkristo usinge waita visokolo kwinyo wakristo

. Jambo muhimu usipende kudharau dini za wengine, ukifanya hivyo ndiipo utakapo jua kwanini wengine Wanadharau dini yako pia
hio ni a. k. a micharuko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…