Historia yawekwa: Mashabiki wa Yanga wakesha usiku mzima wakiangalia mechi ya kirafiki ya Simba

Historia yawekwa: Mashabiki wa Yanga wakesha usiku mzima wakiangalia mechi ya kirafiki ya Simba

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Mechi ya marudiano ya Simba vs Raja AC iliyochezwa jana mjini Casablanca ilitegemewa kuwa ni mechi yenye ushindani mkubwa pamoja na kwamba ilikuwa ni mechi ya kirafiki ya kukamilisha ratiba.

Pamoja na kwamba timu zote mbili zilicheza kwa tahadhari na kujaribu kutafuta ushindi lakini ile hali ya kupata ushindi kwa njia zote halali au haramu haikuwepo wala kutegemewa jana.

Ngoja nikwambie mambo kadhaa niliyoyaona inayofanya mechi hii kukidhi vigezo vya kuitwa ya kirafiki:

1. Simba toka wamefika Morocco wamekuwa wanatumia mabasi ya timu ya Raja.

2. Simba toka wamefika Morocco wametumia uwanja wa mazoezi na facilities za timu ya Raja.

3. Simba walivaa home kit na Raja walivaa away kit.

4. Kwenye mechi yenyewe timu zote mbili zilionekana kuepuka kutenda makosa yanayoweza kuleta majeraha kwa wachezaji wa timu pinzani na pale ilipotokea, wachezaji walikuwa na haraka kuomba radhi.

5. Mengine ya nyuma ya pazia.

Ushauri wangu ambao nakumbuka niliutoa pia baada ya game ya kwanza, Simba waendeleze mahusiano ya karibu na Raja AC. Nadhani kiroho safi wanaweza kuisaidia Simba mbinu za kujenga club bora na ya kisasa zaidi hasa yenye msingi wa football academy.

Simba sasa wamepata picha kamili ya level wanayotaka kufika na Raja AC ndiyo kioo chao.
 
Mechi ya marudiano ya Simba vs Raja AC iliyochezwa jana mjini Casablanca ilitegemewa kuwa ni mechi yenye ushindani mkubwa pamoja na kwamba ilikuwa ni mechi ya kirafiki ya kukamilisha ratiba.

Pamoja na kwamba timu zote mbili zilicheza kwa tahadhari na kujaribu kutafuta ushindi lakini ile hali ya kupata ushindi kwa njia zote halali au haramu haikuwepo wala kutegemewa jana.

Ngoja nikwambie mambo kadhaa niliyoyaona inayofanya mechi hii kukidhi vigezo vya kuitwa ya kirafiki:

1. Simba toka wamefika Morocco wamekuwa wanatumia mabasi ya timu ya Raja.

2. Simba toka wamefika Morocco wametumia uwanja wa mazoezi na facilities za timu ya Raja.

3. Simba walivaa home kit na Raja walivaa away kit.

4. Kwenye mechi yenyewe timu zote mbili zilionekana kuepuka kutenda makosa yanayoweza kuleta majeraha kwa wachezaji wa timu pinzani na pale ilipotokea, wachezaji walikuwa na haraka kuomba radhi.

5. Mengine ya nyuma ya pazia.

Ushauri wangu ambao nakumbuka niliutoa pia baada ya game ya kwanza, Simba waendeleze mahusiano ya karibu na Raja AC. Nadhani kiroho safi wanaweza kuisaidia Simba mbinu za kujenga club bora na ya kisasa zaidi hasa yenye msingi wa football academy.

Simba sasa wamepata picha kamili ya level wanayotaka kufika na Raja AC ndiyo kioo chao.
Ujinga mwingi sana kwenye huu uzi

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hivi huwa hamuoni aibu kujipendekeza pendekeza kwa warabu? Hivi hamjui warabu wanatabia za kifiraji?
 
Mechi ya marudiano ya Simba vs Raja AC iliyochezwa jana mjini Casablanca ilitegemewa kuwa ni mechi yenye ushindani mkubwa pamoja na kwamba ilikuwa ni mechi ya kirafiki ya kukamilisha ratiba.

Pamoja na kwamba timu zote mbili zilicheza kwa tahadhari na kujaribu kutafuta ushindi lakini ile hali ya kupata ushindi kwa njia zote halali au haramu haikuwepo wala kutegemewa jana.

Ngoja nikwambie mambo kadhaa niliyoyaona inayofanya mechi hii kukidhi vigezo vya kuitwa ya kirafiki:

1. Simba toka wamefika Morocco wamekuwa wanatumia mabasi ya timu ya Raja.

2. Simba toka wamefika Morocco wametumia uwanja wa mazoezi na facilities za timu ya Raja.

3. Simba walivaa home kit na Raja walivaa away kit.

4. Kwenye mechi yenyewe timu zote mbili zilionekana kuepuka kutenda makosa yanayoweza kuleta majeraha kwa wachezaji wa timu pinzani na pale ilipotokea, wachezaji walikuwa na haraka kuomba radhi.

5. Mengine ya nyuma ya pazia.

Ushauri wangu ambao nakumbuka niliutoa pia baada ya game ya kwanza, Simba waendeleze mahusiano ya karibu na Raja AC. Nadhani kiroho safi wanaweza kuisaidia Simba mbinu za kujenga club bora na ya kisasa zaidi hasa yenye msingi wa football academy.

Simba sasa wamepata picha kamili ya level wanayotaka kufika na Raja AC ndiyo kioo chao.
Unaidhakilisha timu yako kijinga ukidhani unaidifia?
 
Ikibidi wachunguzwe kuna uwezekano walilala pamoja kwenye vyumba vya hao waarabu kuna baadhi wameisha Left group kiumeni
 
Back
Top Bottom