BlietzKrieg
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 2,882
- 2,263
Wachagaa,wameru Na Pare pia Taita kuna tofauti kweli?Ukiwauliza watakwambia ni wachaga? Hamna hiyo kitu mkuu, wachaga origin yao ni around slopes za mlima kilimanjaro tu. Nje ya hapo utakutana na wameru, kaskazini na mashariki, wapare kusini, wakahe magharibi, hata hatujapakana nao Na ni wakulima na wafugaji, chakula cha asili ni ndizi, nyama na mbege.
Before taking over mt kilimanjaro, we came from bantu tribes of west Tz and east congo.
Acha upuuzi wako Wakurya hawajahi kulipa ushuru kwa mtu yeyote Waarabu walishindwa, wajerumani wakashindwa wakaamua kuweka military reserve Northmara. Waingereza walifanikiwa kwa indirect rule. Hizo fantansy za kwenye changaa usizileta humoUzushi tu, hujasikia kuhusu ufalme wa Wanga Kingdom na mfalme Nabongo Wa Mumias ambaye ulikuwa unatawala na kuokota ushuru hadi huko Tz kwa wapare na wakurya na Ethiopia kwa wa Oromo??? Koitalel Arap Samoei naye, Mekatili Wa Menza je, mwanamke ambaye aliwatawala wamijikenda kimabavu?
nilitaka kushangaa, eti mluhya amlipishe mura ushuru?Acha upuuzi wako Wakurya hawajahi kulipa ushuru kwa mtu yeyote Waarabu walishindwa, wajerumani wakashindwa wakaamua kuweka military reserve Northmara. Waingereza walifanikiwa kwa indirect rule. Hizo fantansy za kwenye changaa usizileta humo
Ipo hivi boss, wachaga wa moshi wenyewe lugha zao zinatofautiana, wamarangu, old moshi, rombo wanaelewana zaidi ya wachaga wa machame, siha na kibosho. Na hawa wa machame, siha na kibosho, lugha yao inafanania na wameru.Wachagaa,wameru Na Pare pia Taita kuna tofauti kweli?
Wazanani? Au you meant zanakihivi niulize wameru wa TZ na wale wa Kenya kuna uwiano wowote wa culture lugha ama jinsi wanaendeleza tamaduni zao.mimi kama mkurya wa kenya nikienda tz huwa naona tofauti zipi katika maneno kadhaa pia mwenyeji wangu alikua anasema naongea haraka.na huwa napata habari kuwa koo ya ngurueme huwa wanakana kuwa wakurya.je wazanani ni kabila kivyake au ni sehemu ya larger kurya.
Ukiwauliza watakwambia ni wachaga? Hamna hiyo kitu mkuu, wachaga origin yao. Nje ya hapo utakutana wakahe magharibi, hata hatujapakana nao Na ni wakulima na wafugaji, chakula cha asili ni ndizi, nyama na mbege.
Before taking over mt kilimanjaro, we came from bantu tribes of west Tz and east congo.
Mna ubishi mwingi sana, mgefanya karisechi kidogo tu mngedhibitisha virahisi uhalisia wa ninachokisema. Kwanza kabisa sijasema waparakuyo ni wachagga ila huwa wanajihusisha nao. La pili ni kwamba najua wamaasai sio wabantu, ni nilotes, tunao nilotes wengi sana huku Kenya. Tatu, jifunze mengi kuhusu waparakuyo ambao ni wamaasai lakini walikuwa ni wakulima na wanaishi Kitumbi, kusini mwa Tanzania. Someni jibu hili la huyu mwanahistoria hapa. http://orvillejenkins.com/peoples/kwavibaraguyomaasai.htmlDuh, jamaa abafananisha wamasai na wachaga? Quite different. masai sio wabantu.
Nimekuelewa..Ipo hivi boss, wachaga wa moshi wenyewe lugha zao zinatofautiana, wamarangu, old moshi, rombo wanaelewana zaidi ya wachaga wa machame, siha na kibosho. Na hawa wa machame, siha na kibosho, lugha yao inafanania na wameru.
Wapare ndio og settlers, tuliwafukuza from slopes of kilimanjaro, wakakimbilia slopes za milima ya ugweno, huko karibu na tanga. Neno pare lenyewe in ancient chaga, meant kicking, yani tuliwatembezea kichapo ikabidi wahame,walikuwa wanasema pare, yaani piga. Nasikia kuna wameru kenya, wapo wapi? Na wapare pia wapo?
wazanakiWazanani? Au you meant zanaki