History: Tanzania troops in Seychelles

Hivi kuna linchi lenye ufisadi na uwizi kama linchi lenu
 
We jamaa kweli ni kuku, weka evidence hapaaa

Umepita mikoa ya TZ ukaona jinsi tulivyovuna saivi.... nyanda za juu kusini, kaskazini mashariki kooote kumefurika nafaka
 
And who recognizes danganyikan security guards anywhere.Waoga kama bush babies

Hahahahaha, TPDF is like Kenyan marathoners, they must get gold medals wherever they participate, watch from 5:16 minutes.
 
Bora JW alikabiliana na ADF masaa zaidi ya kumi na Vifo vikawa 14 kuliko KDF walioshambuliwa kwa nusu saa wakapoteza battalion nzima kibaya zaidi waka..........mpaka Google wakawaonea huruma
sema vijana wa mapanga...bwahahaaaa...masaa kumi na manne mnapambana na vijana wa mapanga..alafu tena hapo hapo mkapoteza wanajeshi 14...alafu unakuja jisifu hapa...

je wakipigwa RPG km tano hv kambini ghafla..si watazirai tu wote hao jamaa
 
sema vijana wa mapanga...bwahahaaaa...masaa kumi na manne mnapambana na vijana wa mapanga..alafu tena hapo hapo mkapoteza wanajeshi 14...alafu unakuja jisifu hapa...

je wakipigwa RPG km tano hv kambini ghafla..si watazirai tu wote hao jamaa
Unaona sasa kumbe jwtz wakipigwa RPG tano watazirai tu lkn KDF wakipigwa RPG tano wanakufa mamia na wengine wanalawitiwa kabisa dah
 
Ndio hiki kiherehere chenu cha kuingilia nchi za watu kimesababisha mumekua maskini hadi leo, na mtaendelea kulipia gharama hadi vizazi vijavyo.
Watoto wa wakoloni hadi leo Kila kitu wazungu. Amjianj, Watanzania ni wakombozi wa AFRICA na wewe Kenya pia. Kabla ya Uhuru wa Kenya. UK aliishi na Mwalimu Nyerere ukulu Dar
 
Watoto wa wakoloni hadi leo Kila kitu wazungu. Amjianj, Watanzania ni wakombozi wa AFRICA na wewe Kenya pia. Kabla ya Uhuru wa Kenya. UK aliishi na Mwalimu Nyerere ukulu Dar

Pumba za kukomboa Afrika ni kiherehere chenu, mnaingilia ugomvi baina ya ndugu kwenye nchi zao.
 
Unaona sasa kumbe jwtz wakipigwa RPG tano watazirai tu lkn KDF wakipigwa RPG tano wanakufa mamia na wengine wanalawitiwa kabisa dah

hapo vp...habari kutoka raisi wa wanyonge...ccm hoyeeerais wa wanyonge..
sources pia anataka atoe yeye..dah...kweli kuna nchi ni vipofu na wanaongozwa na bubu
 
Unaona sasa kumbe jwtz wakipigwa RPG tano watazirai tu lkn KDF wakipigwa RPG tano wanakufa mamia na wengine wanalawitiwa kabisa dah
kisha wacha kutuongopea hapa...jwtz kwanza wanajua RPG ni nn..wacha masihara wewe..tenaupo serious bana...

wale hawana wajuaolo zaidi ya manati na mapanga vitani...bwahahaaa..

JAMAA ETI JWTZ WANAJUWA RPG NI NN??WUHUHUUU
 
kisha wacha kutuongopea hapa...jwtz kwanza wanajua RPG ni nn..wacha masihara wewe..tenaupo serious bana...

wale hawana wajuaolo zaidi ya manati na mapanga vitani...bwahahaaa..

JAMAA ETI JWTZ WANAJUWA RPG NI NN??WUHUHUUU
Nimegundua akili yako ni sawa na akili ya kumbikumbi au GUGWE
 
Within 34hrs Mombasa na miji yote ya coast ya Kenya itakua mikononi mwa JWTZ. Tanzania enjoys air and Marine military superiority.
At times it's good to day dream.😂😂
The Kenya Navy is the biggest Navy along the Eastern Coast of Africa from Cape to Cairo.
 
Hatutaki source uchwara zenu
alaaa..we na nani...mbna siku zote hukuyasema hayo....kumbeee...
ooo!!!sorry..nasahau km nlikuwa najadili mada na dondocha...yeye ni fuata upepo tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…