Nimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.
Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.
Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.
Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.
Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.