Hit song ya Pcee- Kilimanjaro, Je wizara ya Utalii imeona mchango wake?

Hit song ya Pcee- Kilimanjaro, Je wizara ya Utalii imeona mchango wake?

mkushite

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2021
Posts
666
Reaction score
1,619
Nimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.

Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.

Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.

 
Hajawakilisha mlima Kilimanjaro Bali Kuna msouth mwnzie alikua anaitwa Kilimanjaro n marehem Sasa
We fuatilia vzur Mzee utakipata kisa chote
 
Nimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.

Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.

Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.

Ameondolewa waziri mwenye uwezo, tumeletewa mpambe asiyejiweza jst kujaza nafasi
 
Nimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.

Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.

Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.

Kilomanjaro katika wimbo huu ni dem wake anaemla tope
 
Wimbo haumaanishi mnachokisema , kizazi cha tik tok hiki shida sana
 
Nimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.

Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.

Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.

Amefanya vyema sana
Tutampa uraia wa ubalozi wa utalii
 
Nimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.

Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.

Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.

Amefanya vyema sana
Tutampa uraia wa ubalozi wa utalii
 
Back
Top Bottom