Ndege John iz backNaiona tiktok wa south wanaikubali sana
Nilipoteza smart kwenye ulevi nimenunua juzi Kati hapaNdege John iz back
Ameondolewa waziri mwenye uwezo, tumeletewa mpambe asiyejiweza jst kujaza nafasiNimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.
Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.
Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.
Kilomanjaro katika wimbo huu ni dem wake anaemla topeNimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.
Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.
Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.
Pole sana mkuu drink responsible......Nilipoteza smart kwenye ulevi nimenunua juzi Kati hapa
Amefanya vyema sanaNimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.
Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.
Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.
Amefanya vyema sanaNimeshangazwa sana na Hit song ya PCee-Kilimanjaro inavyo pendwa na kuchezwa kwenye social media.
Kiukweli jamaa anastahili pongezi kwa kuitangaza Kilimanjaro ambapo wasanii wetu wa ndani wameshindwa kuwa wabunifu kama jamaa.
Kiukweli Pcee apewe credits zake, Kilimanjaro imepewa promo kubwa na sijui kama jamaa kalipwa.