HItimisho: Hayati Magufuli alikuwa tatizo ila shida kuu ni CCM

HItimisho: Hayati Magufuli alikuwa tatizo ila shida kuu ni CCM

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Baada ya kuendelea kwa vitendo vya utekaji na mauaji ya watu walio na mawazo mbadala kuhusu uongozi wa nchi na demokrasia kwa ujumla hata baada ya kifo cha Magufuli swali kuu ambalo wanajiuliza watu wenye akili ni kwa nini matukio haya yanaendelea?


Sote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa mtendaji mzuri ila kulikuwa na changamoto kubwa sana kwenye kichwa chake ( akili yake). Kwa lugha ta kawaida tunaweza sema alikuwa na ukichaa pia he was a sadist.

Magufuli alipenda kumkomoa mpinzani wake na haijalishi anamkomoaje. Ila magufuli aliweza fanya hayo kwa sababu tayari kwenye Chama cha Mapinduzi walishaanzisha ka mfumo kwa kufanya kazi hizo chafu. No wonder matukio yale hayajakoma hata baada ya Magufuli kuondoka madarakani.

Kupona kwa Tanzania dhidi ya vitendo hivi vichafu na mambo mengine kutafanikiwa kwa njia mbili tu nazo ni,

1. Katiba Mpya au
2. Kuondolewa kwa CCM madarakani

Lord denning
Qatar
 
1. Katiba mpya
2. muungano
Maadui wakubwa wawili Tanganyika
Muungano inaweza kuwa shida ndogo sana compared to Katiba.

Viongozi wa nchi hii wanaweza kukufanyia chochote na wasichukuliwe hatua yeyote kwa sababu Katiba yetu hii haijaweka namna yeyote ile tunaweza kuwabana na kuwawajibisha viongozi hawa!
 
Baada ya kuendelea kwa vitendo vya utekaji na mauaji ya watu walio na mawazo mbadala kuhusu uongozi wa nchi na demokrasia kwa ujumla hata baada ya kifo cha Magufuli swali kuu ambalo wanajiuliza watu wenye akili ni kwa nini matukio haya yanaendelea?


Sote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa mtendaji mzuri ila kulikuwa na changamoto kubwa sana kwenye kichwa chake ( akili yake). Kwa lugha ta kawaida tunaweza sema alikuwa na ukichaa pia he was a sadist.

Magufuli alipenda kumkomoa mpinzani wake na haijalishi anamkomoaje. Ila magufuli aliweza fanya hayo kwa sababu tayari kwenye Chama cha Mapinduzi walishaanzisha ka mfumo kwa kufanya kazi hizo chafu. No wonder matukio yale hayajakoma hata baada ya Magufuli kuondoka madarakani.

Kupona kwa Tanzania dhidi ya vitendo hivi vichafu na mambo mengine kutafanikiwa kwa njia mbili tu nazo ni,

1. Katiba Mpya au
2. Kuondolewa kwa CCM madarakani

Lord denning
Qatar
Mwasisi wa utekaji Tanzania ni Kikwete.
 
Muungano inaweza kuwa shida ndogo sana compared to Katiba.

Viongozi wa nchi hii wanaweza kukufanyia chochote na wasichukuliwe hatua yeyote kwa sababu Katiba yetu hii haijaweka namna yeyote ile tunaweza kuwabana na kuwawajibisha viongozi hawa!
Saa100 ametokea wapi kama sio Hilo limuungano😭
 
Muungano inaweza kuwa shida ndogo sana compared to Katiba.

Viongozi wa nchi hii wanaweza kukufanyia chochote na wasichukuliwe hatua yeyote kwa sababu Katiba yetu hii haijaweka namna yeyote ile tunaweza kuwabana na kuwawajibisha viongozi hawa!
Kule kumekuwa Dubai
 

Attachments

  • VID-20250110-WA0040.mp4
    6.6 MB
Huo huo ukichaa wake na usadist wake ndiyo ulifanya kuwepo na improvement kubwa kwenye baadhi ya huduma za kijamii ila kuhusu sijui kutekwa sijui kufanyaje sisi tunajua zilikuwa plan zenu za kumchafua....
 
😂 😂 😂 Wapumbavu wakubwa!
.
Mlikuwa mnakata viuno eti huyo mamaenu anaupiga mwingi, mnapumua, uchumi juu, mihela kila kona!

Ona sasa kinachotokea hadi aibu.

Hakuna bidhaa ambayo haijapanda bei tangu chura kiziwi awe rais.

Matakataka yake ndio yanampa kichwa anajiona yuko smart kweli kweli.
 
Huo huo ukichaa wake na usadist wake ndiyo ulifanya kuwepo na improvement kubwa kwenye baadhi ya huduma za kijamii ila kuhusu sijui kutekwa sijui kufanyaje sisi tunajua zilikuwa plan zenu za kumchafua....
Kuteka au kuua watu haijawahi kuwa njia ya maendeleo
 
Magufuli alikuwa mzalendo sana sema msaidizi wake(makamu)alimsaliti Kwa kuunda magenge ya utekaji ndiyo maana yameendelea kuwepo.Maana kama asingeyaasisi yeye yangukuwa Kwa Sasa hayapo maana magufuli amezhafariki
 
Magufuli alikuwa mzalendo sana sema msaidizi wake(makamu)alimsaliti Kwa kuunda magenge ya utekaji ndiyo maana yameendelea kuwepo.Maana kama asingeyaasisi yeye yangukuwa Kwa Sasa hayapo maana magufuli amezhafariki
Kuhusu makamu wake hapana. Dkt Ulimboka alitekwa na kuteswa kipindi cha JK
 
😂 😂 😂 Wapumbavu wakubwa!
.
Mlikuwa mnakata viuno eti huyo mamaenu anaupiga mwingi, mnapumua, uchumi juu, mihela kila kona!

Ona sasa kinachotokea hadi aibu.

Hakuna bidhaa ambayo haijapanda bei tangu chura kiziwi awe rais.

Matakataka yake ndio yanampa kichwa anajiona yuko smart kweli kweli.
Pamoja na mapungufu kadhaa ila still kati ya hao wawili I will go for Samia kuliko Magufuli! Shida kuu nchi hii ni CCM!
 
umesahau umafia wa awamu zilizopita? nani alimteka na kumtesa yule daktari ambaye kosa lake lilikuwa tu kupigania maslahi ya madakatari wenzake? oh vp khs yule aliyelipuliwa utumbo nje na polisi wa awamu zilizopita ? sijagusia kufukuzwa kwa wenyeji kwenye ardhi zao za urithi …
 
Back
Top Bottom