HItimisho: Hayati Magufuli alikuwa tatizo ila shida kuu ni CCM

HItimisho: Hayati Magufuli alikuwa tatizo ila shida kuu ni CCM

Baada ya kuendelea kwa vitendo vya utekaji na mauaji ya watu walio na mawazo mbadala kuhusu uongozi wa nchi na demokrasia kwa ujumla hata baada ya kifo cha Magufuli swali kuu ambalo wanajiuliza watu wenye akili ni kwa nini matukio haya yanaendelea?


Sote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa mtendaji mzuri ila kulikuwa na changamoto kubwa sana kwenye kichwa chake ( akili yake). Kwa lugha ta kawaida tunaweza sema alikuwa na ukichaa pia he was a sadist.

Magufuli alipenda kumkomoa mpinzani wake na haijalishi anamkomoaje. Ila magufuli aliweza fanya hayo kwa sababu tayari kwenye Chama cha Mapinduzi walishaanzisha ka mfumo kwa kufanya kazi hizo chafu. No wonder matukio yale hayajakoma hata baada ya Magufuli kuondoka madarakani.

Kupona kwa Tanzania dhidi ya vitendo hivi vichafu na mambo mengine kutafanikiwa kwa njia mbili tu nazo ni,

1. Katiba Mpya au
2. Kuondolewa kwa CCM madarakani

Lord denning
Qatar
Sio CCM Bali ni the state haijawa pro active Kwa wakati coz damage is done!!

Awamu ya tatu ya lodilofa ilipaswa kuwapa picha ya Hali ilivyo sasa wakachelewa!!

Kipindi Cha pili Cha mkapa kilipaswa kutupa katiba mpya ya warioba na mkapa angekubali Ili ajaye asiharibu!

Wakasubiri Sana Hadi jpm alipoharibu ndio wakaona umuhim wake!!Sasa hawana ujanja zaidi ya ku excute Elimination medhod kimedani coz wakubwa wamelewa katiba iliopo Hadi wanasema ni kijitabu tu!!
 
Baada ya kuendelea kwa vitendo vya utekaji na mauaji ya watu walio na mawazo mbadala kuhusu uongozi wa nchi na demokrasia kwa ujumla hata baada ya kifo cha Magufuli swali kuu ambalo wanajiuliza watu wenye akili ni kwa nini matukio haya yanaendelea?


Sote tunakubaliana kuwa Magufuli alikuwa mtendaji mzuri ila kulikuwa na changamoto kubwa sana kwenye kichwa chake ( akili yake). Kwa lugha ta kawaida tunaweza sema alikuwa na ukichaa pia he was a sadist.

Magufuli alipenda kumkomoa mpinzani wake na haijalishi anamkomoaje. Ila magufuli aliweza fanya hayo kwa sababu tayari kwenye Chama cha Mapinduzi walishaanzisha ka mfumo kwa kufanya kazi hizo chafu. No wonder matukio yale hayajakoma hata baada ya Magufuli kuondoka madarakani.

Kupona kwa Tanzania dhidi ya vitendo hivi vichafu na mambo mengine kutafanikiwa kwa njia mbili tu nazo ni,

1. Katiba Mpya au
2. Kuondolewa kwa CCM madarakani

Lord denning
Qatar
Mkuu kenya walipata katiba mpya mbona utekaji ni kama tz yetu.mi naona utu utangulie hasa kwetu wa africa.
 
Tatizo tunatumia hisia kujadili haya mambo badala ya kutafakari kwa kina. Wengi tunaishia tu kunyooshea kidole serikali au Samia ila wakati mwengine unajiuliza huyu aliyetekwa alikuwa na nini hasa hadi serikali ilazimike kumteka au kumuuwa maana wengine hata hawakuwa wakijulikana hadi pale unasikia katekwa.
 
Back
Top Bottom