Hitimisho langu. Ni ishara nzuri ya kuongezeka kwa confidence kwa Wawekezaji ila kwetu tuzidi kupambana na ujinga na chuki hawa ni maadui wakubwa sana

Hitimisho langu. Ni ishara nzuri ya kuongezeka kwa confidence kwa Wawekezaji ila kwetu tuzidi kupambana na ujinga na chuki hawa ni maadui wakubwa sana

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Hongera Bunge kwa kuridhia makubaliano ya Ushirikiano baina ya nchi yetu na Falme ya Dubai! Kwa michango ya leo hili litaongeza sana confidence kwa wawekezaji wakubwa na kuleta uwekezaji mkubwa zaidi nchini mwetu.

Ila kwa sisi tuliobaki tuzidi sana kupambana na adui ujinga na chuki. Nimegundua wengi walikuwa wanapinga huu mkataba wakiwa hata hawauelewi na hawaelewi wanachopinga na wengine wanapinga kwa chuki zao tu kwa sababu anayefanya siye wanaempenda na wanaemtaka hivyo wanamuonea wivu na chuki.

Mwisho, hongera Rais Samia. Wewe ni professa kweli wa siasa. Joto limepoa
 
Hongera Bunge kwa kuridhia makubaliano ya Ushirikiano baina ya nchi yetu na Falme ya Dubai! Kwa michango ya leo hili litaongeza sana confidence kwa wawekezaji wakubwa na kuleta uwekezaji mkubwa zaidi nchini mwetu.

Ila kwa sisi tuliobaki tuzidi sana kupambana na adui ujinga na chuki. Nimegundua wengi walikuwa wanapinga huu mkataba wakiwa hata hawauelewi na hawaelewi wanachopinga na wengine wanapinga kwa chuki zao tu kwa sababu anayefanya siye wanaempenda na wanaemtaka hivyo wanamuonea wivu na chuki.

Mwisho, hongera Rais Samia. Wewe ni professa kweli wa siasa. Joto limepoa
Nimekuelewa mkuu. Sasa naomba jambo moja hapa.. maadam watanzania wanaoelewa kimombo ni wachache san. Sasa kupitia wewe hapa Lord denning.. wawekee watanzania hao ambao umewaita wajinga na wenye chuki mkataba huo kwa kiswahili hasa vifungu ambavyo vinaelezea kama Taifa litafaidika kwa asilimia ngap ya mapato!! Ahsnt
 
Nimekuelewa mkuu. Sasa naomba jambo moja hapa.. maadam watanzania wanaoelewa kimombo ni wachache san. Sasa kupitia wewe hapa Lord denning.. wawekee watanzania hao ambao umewaita wajinga na wenye chuki mkataba huo kwa kiswahili hasa vifungu ambavyo vinaelezea kama Taifa litafaidika kwa asilimia ngap ya mapato!! Ahsnt
Kwanza kuna nakala ya mkataba kwa tafsiri ya kiswahili?
Umeelewa pia kuwa huu sio mkataba wa mwisho ? Yaani baada ya hapa sasa pande zote zinaenda kukaa na kukubaliana kuhusu maeneo specific na terms zake?
 
Kwanza kuna nakala ya mkataba kwa tafsiri ya kiswahili?
Umeelewa pia kuwa huu sio mkataba wa mwisho ? Yaani baada ya hapa sasa pande zote zinaenda kukaa na kukubaliana kuhusu maeneo specific na terms zake?
So kama final stage bado je unadhan mamb yaliyoanishwa hayatakua kweny utekelezaji? Na kwann yaainishwe? Na mpaka yapelekwe bungeni ili bunge liridhie yaliyoanishwa?
 
So kama final stage bado je unadhan mamb yaliyoanishwa hayatakua kweny utekelezaji? Na kwann yaainishwe? Na mpaka yapelekwe bungeni ili bunge liridhie yaliyoanishwa?
Haya ni makubaliano ya mwanzo baina ya nchi na nchi then itafuata HGA yaani hiyo ndo wataingia serikali na DP World on specific issues
 
Hongera Bunge kwa kuridhia makubaliano ya Ushirikiano baina ya nchi yetu na Falme ya Dubai! Kwa michango ya leo hili litaongeza sana confidence kwa wawekezaji wakubwa na kuleta uwekezaji mkubwa zaidi nchini mwetu.

Ila kwa sisi tuliobaki tuzidi sana kupambana na adui ujinga na chuki. Nimegundua wengi walikuwa wanapinga huu mkataba wakiwa hata hawauelewi na hawaelewi wanachopinga na wengine wanapinga kwa chuki zao tu kwa sababu anayefanya siye wanaempenda na wanaemtaka hivyo wanamuonea wivu na chuki.

Mwisho, hongera Rais Samia. Wewe ni professa kweli wa siasa. Joto limepoa
Well said mkuu.

Kuna watu humu ni "mizimu" ya waliokufa, wanasubiri kufeli au anguko la Dr Samia.
Halipo kwa Sasa. Waache kujisumbua.

Huyu Mama yuko smart sana, Hana ujiwe wala udhaifu kichwani, Mambo yake ni kwa Uwazi kila aje na hoja ya kujenga.

Mambo mangapi yalifanyika Nchi hii? Mliiona hiyo mikataba?

Mwacheni Mama apige kazi.
 
Hayo majangili kutoka uarabuni yatatamba kwa muda tu

Bandari itarudi kwenye mikono ya watanzania

Acha mafisadi wale pesa za waarabu
Mbona mgodi wa Barrick Tulawaka umerudi kwenye mikono ya Watanzania na unafilisika.
 
Hizi chuki huwa najiuliza labda zinasababishwa na ile biashara ya utumwa lakini tena najisemeaga mbona hata Wazungu walifanya biashara ya watumwa hii chuki inatoka wapi? yarabi.
 
Well said mkuu.

Kuna watu humu ni "mizimu" ya waliokufa, wanasubiri kufeli au anguko la Dr Samia.
Halipo kwa Sasa. Waache kujisumbua.

Huyu Mama yuko smart sana, Hana ujiwe wala udhaifu kichwani, Mambo yake ni kwa Uwazi kila aje na hoja ya kujenga.

Mambo mangapi yalifanyika Nchi hii? Mliiona hiyo mikataba?

Mwacheni Mama apige kazi.
Hawawezi kukwambia
 
Back
Top Bottom