HITIMISHO:Mbowe ni zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua.

HITIMISHO:Mbowe ni zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua.

Master Legendary

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
576
Reaction score
876
1.Mbowe ana uwezo wa kutumia mbinu tofautitofauti katika kupigania mabadiliko,Kwa kifupi hakuna kipya ambacho atafanya Lissu Mbowe hajakifanya,kama ni kugomea Uchaguzi Mbowe alifanya 2019,kama ni kuandamana Mbowe alishafanya,kama ni kuongea Mezani Mbowe alishafanya kwahiyo Mbinu nyingi zitakuwa ni marudio.Kwa kifupi Mbowe ni Kiongozi anayejua atumie Mbinu gani wakati gani.Ikumbukwe bila Mbowe kufanya Vikao vya kuongea na CCM huenda hata Uchaguzi wa CHADEMA usingefanyika wala Lissu asingerudi tusisahau hali iliyokuwepo hata Vikao vya ndani vilikuwa vinavamiwa na Polisi.

2.Mbowe anawajali Wanachama na Viongozi wake kuliko Lissu ndiyo maana alisema haandai Chama cha kigaidi cha kupeleka watu kwenye kifo,Hii hoja kuwa Mbowe hajali wanaouwawa niweke kumbukumbu sawa Maandamano ya Mwisho yalikuwa juu ya kuuwawa Mzee Kibao walijificha wote akabaki Mbowe mwenyewe Magomeni pale na Familia yake, leo wanasema hakufanya Ushawishi wao walikuwa Sehemu ya Uongozi kwanini wanajitenga walizuiwa kushawishi?
Mbowe alishafanya Press na Familia zilizopotelewa na watu wao na amekuwa akipigia kelele mambo hayo kwenye hotuba zake nyingi.

3.Mbowe anafanya Mikutano mingi ya kujenga Chama kuliko Lissu na ana mbinu nyingi kama kutumia Helikopta, kuvaa Magwanda ya Kikamanda yanayovutia nk,ndiyo maana Viongozi nchi nzima wanamfahamu kwa kazi aliyoifanya chini.

4.Mbowe ana uwezo wa kuibua Vipaji kuliko Lissu ndiyo maana katengeneza watu wengi sana kuwa wanasiasa wakubwa akiwemo Lissu,ila muulize Lissu ana wanasiasa wangapi ambao anaweza kujivunia na kuwaonyesha kwa Umma kuwa aliwatengeneza na kuwainua.

5.Mbowe ana uwezo Mkubwa wa kuongea na Umma akaeleweka kuliko Lissu kwasababu ana utulivu, busara hekima nyingi na anajua aongee nini,lini,wapi na kwa nani tofauti na Lissu.

6.Mbowe anaheshimiwa na Wadau na Viongozi mbalimbali wakiwemo Viongozi wa kisiasa,Viongozi wa Dini,Wafanyabiashara wakubwa wenzake nk kuliko Lissu ndiyo maana anaweza kuongea kitu kikapokelewa na kueleweka na wenye akili kubwa na anaweza kukusanya Rasilimali Fedha za kuendesha Chama kuliko Lissu.

7.Mbowe siyo njaa kali sana kama Lissu ambaye ukimuangalia kukitokea Mkwamo mkubwa wa kirasilimali utakuwa Mtihani kwa Chama.

8.Lissu ni Jasiri na Mwanaharakati kuliko Mbowe ndiyo maana kwa mbaali naona Mgomo na Maandamano na naona CCM na Dola vikikabiliana je nini kitatokea?
Namnukuu Mbowe Time will Tell.

9.Mbowe ni Mwanasiasa na Kiongozi mwenye uwezo wa kujenga Taasisi kwa maono kuliko Lissu.

Kwa hoja hizo nahitimisha kusema Mbowe ni Zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua,ila hii itaeleweka kwa wenye akili kubwa tu na wenye upeo mkubwa na uwezo wa kuona mambo kwa upana.

Naruhusu kuweka hoja nyingine na naruhusu kutoka povu.
 
Mbowe ana uwezo wa kutumia mbinu tofautitofauti katika kupigania mabadiliko,Kwa kifupi hakuna kipya ambacho atafanya Lissu Mbowe hajakifanya,kama ni kugomea Uchaguzi Mbowe alifanya 2019,kama ni kuandamana Mbowe alishafanya,kama ni kuongea Mezani Mbowe alishafanya kwahiyo Mbinu nyingi zitakuwa ni marudio.Kwa kifupi Mbowe ni Kiongozi anayejua atumie Mbinu gani wakati gani.Ikumbukwe bila Mbowe kufanya Vikao vya kuongea na CCM huenda hata Uchaguzi wa CHADEMA usingefanyika wala Lissu asingerudi tusisahau hali iliyokuwepo hata Vikao vya ndani vilikuwa vinavamiwa na Polisi.

Mbowe anawajali Wanachama na Viongozi wake kuliko Lissu ndiyo maana alisema haandai Chama cha kigaidi cha kupeleka watu kwenye kifo,Hii hoja kuwa Mbowe hajali wanaouwawa niweke kumbukumbu sawa Maandamano ya Mwisho yalikuwa juu ya kuuwawa Mzee Kibao walijificha wote akabaki Mbowe mwenyewe Magomeni pale na Familia yake, leo wanasema hakufanya Ushawishi wao walikuwa Sehemu ya Uongozi kwanini wanajitenga walizuiwa kushawishi?
Mbowe alishafanya Press na Familia zilizopotelewa na watu wao na amekuwa akipigia kelele mambo hayo kwenye hotuba zake nyingi.

Mbowe anafanya Mikutano mingi ya kujenga Chama kuliko Lissu na ana mbinu nyingi kama kutumia Helikopta, kuvaa Magwanda ya Kikamanda yanayovutia nk,ndiyo maana Viongozi nchi nzima wanamfahamu kwa kazi aliyoifanya chini.

Mbowe ana uwezo wa kuibua Vipaji kuliko Lissu ndiyo maana katengeneza watu wengi sana kuwa wanasiasa wakubwa akiwemo Lissu,ila muulize Lissu ana wanasiasa wangapi ambao anaweza kujivunia na kuwaonyesha kwa Umma kuwa aliwatengeneza na kuwainua.

Mbowe ana uwezo Mkubwa wa kuongea na Umma akaeleweka kuliko Lissu kwasababu ana utulivu, busara hekima nyingi na anajua aongee nini,lini,wapi na kwa nani tofauti na hao.

Mbowe anaheshimiwa na Wadau na Viongozi mbalimbali wakiwemo Viongozi wa kisiasa,Viongozi wa Dini,Wafanyabiashara wakubwa wenzake nk kuliko Lissu ndiyo maana anaweza kuongea kitu kikapokelewa na kueleweka na wenye akili kubwa na anaweza kukusanya Rasilimali Fedha za kuendesha Chama kuliko Lissu.

Mbowe siyo njaa kali sana kama Lissu ambaye ukimuangalia kukitokea Mkwamo mkubwa wa kirasilimali utakuwa Mtihani kwa Chama.

Lissu ni Jasiri na Mwanaharakati kuliko Mbowe ndiyo maana kwa mbaali naona Mgomo na Maandamano na naona CCM na Dola vikikabiliana je nini kitatokea?
Namnukuu Mbowe Time will Tell.

Mbowe ni Mwanasiasa na Kiongozi mwenye uwezo wa kujenga Taasisi kwa maono kuliko Lissu.

Kwa hoja hizo nahitimisha kusema Mbowe ni Zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua,ila hii itaeleweka kwa wenye akili kubwa tu na wenye upeo mkubwa na uwezo wa kuona mambo kwa upana.

Naruhusu kuweka hoja nyingine na naruhusu kutoka povu.
Ndo wamesha amua, kama vipi anzisheni chama kingine na Mbowe wako.
 
Lisu ni mzuri kwa mikiki mikiki n si mambo ambayo yanahitaji utulivu wa akili katika politics. The only logical conclusion ni kuwa Mbowe is far better than Lisu in this aspect!!
 
Lisu ni mzuri kwa mikiki mikiki n si mambo ambayo yanahitaji utulivu wa akili katika politics. The only logical conclusion ni kuwa Mbowe is far better than Lisu in this aspect!!
Tanzania ilishawahi kuwa na Rais mwehu.
 
1.Mbowe ana uwezo wa kutumia mbinu tofautitofauti katika kupigania mabadiliko,Kwa kifupi hakuna kipya ambacho atafanya Lissu Mbowe hajakifanya,kama ni kugomea Uchaguzi Mbowe alifanya 2019,kama ni kuandamana Mbowe alishafanya,kama ni kuongea Mezani Mbowe alishafanya kwahiyo Mbinu nyingi zitakuwa ni marudio.Kwa kifupi Mbowe ni Kiongozi anayejua atumie Mbinu gani wakati gani.Ikumbukwe bila Mbowe kufanya Vikao vya kuongea na CCM huenda hata Uchaguzi wa CHADEMA usingefanyika wala Lissu asingerudi tusisahau hali iliyokuwepo hata Vikao vya ndani vilikuwa vinavamiwa na Polisi.

2.Mbowe anawajali Wanachama na Viongozi wake kuliko Lissu ndiyo maana alisema haandai Chama cha kigaidi cha kupeleka watu kwenye kifo,Hii hoja kuwa Mbowe hajali wanaouwawa niweke kumbukumbu sawa Maandamano ya Mwisho yalikuwa juu ya kuuwawa Mzee Kibao walijificha wote akabaki Mbowe mwenyewe Magomeni pale na Familia yake, leo wanasema hakufanya Ushawishi wao walikuwa Sehemu ya Uongozi kwanini wanajitenga walizuiwa kushawishi?
Mbowe alishafanya Press na Familia zilizopotelewa na watu wao na amekuwa akipigia kelele mambo hayo kwenye hotuba zake nyingi.

3.Mbowe anafanya Mikutano mingi ya kujenga Chama kuliko Lissu na ana mbinu nyingi kama kutumia Helikopta, kuvaa Magwanda ya Kikamanda yanayovutia nk,ndiyo maana Viongozi nchi nzima wanamfahamu kwa kazi aliyoifanya chini.

4.Mbowe ana uwezo wa kuibua Vipaji kuliko Lissu ndiyo maana katengeneza watu wengi sana kuwa wanasiasa wakubwa akiwemo Lissu,ila muulize Lissu ana wanasiasa wangapi ambao anaweza kujivunia na kuwaonyesha kwa Umma kuwa aliwatengeneza na kuwainua.

5.Mbowe ana uwezo Mkubwa wa kuongea na Umma akaeleweka kuliko Lissu kwasababu ana utulivu, busara hekima nyingi na anajua aongee nini,lini,wapi na kwa nani tofauti na hao.

6.Mbowe anaheshimiwa na Wadau na Viongozi mbalimbali wakiwemo Viongozi wa kisiasa,Viongozi wa Dini,Wafanyabiashara wakubwa wenzake nk kuliko Lissu ndiyo maana anaweza kuongea kitu kikapokelewa na kueleweka na wenye akili kubwa na anaweza kukusanya Rasilimali Fedha za kuendesha Chama kuliko Lissu.

7.Mbowe siyo njaa kali sana kama Lissu ambaye ukimuangalia kukitokea Mkwamo mkubwa wa kirasilimali utakuwa Mtihani kwa Chama.

8.Lissu ni Jasiri na Mwanaharakati kuliko Mbowe ndiyo maana kwa mbaali naona Mgomo na Maandamano na naona CCM na Dola vikikabiliana je nini kitatokea?
Namnukuu Mbowe Time will Tell.

9.Mbowe ni Mwanasiasa na Kiongozi mwenye uwezo wa kujenga Taasisi kwa maono kuliko Lissu.

Kwa hoja hizo nahitimisha kusema Mbowe ni Zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua,ila hii itaeleweka kwa wenye akili kubwa tu na wenye upeo mkubwa na uwezo wa kuona mambo kwa upana.

Naruhusu kuweka hoja nyingine na naruhusu kutoka povu.
Apumzike tu
 
Huwa nafurahishwa sana na mtu anayepinga hoja kwa hoja! That's is maturity

Ila mtoto wa kiume kutoa povu! Ni aibu.

Ngoja tumpe muda Lissu tuone kazi yake! Pengine anaweza kuwa chaguo sahihi kwa sababu ya NYAKATI.
 
Hilo lipo wazi ila ni mbinu chafu tu zimetumika kwa Lissu kupata ushindi. Baada ya uchaguzi wa Bawacha timu Mbowe ikijisahau kidogo kutafuta kura.
 
1.Mbowe ana uwezo wa kutumia mbinu tofautitofauti katika kupigania mabadiliko,Kwa kifupi hakuna kipya ambacho atafanya Lissu Mbowe hajakifanya,kama ni kugomea Uchaguzi Mbowe alifanya 2019,kama ni kuandamana Mbowe alishafanya,kama ni kuongea Mezani Mbowe alishafanya kwahiyo Mbinu nyingi zitakuwa ni marudio.Kwa kifupi Mbowe ni Kiongozi anayejua atumie Mbinu gani wakati gani.Ikumbukwe bila Mbowe kufanya Vikao vya kuongea na CCM huenda hata Uchaguzi wa CHADEMA usingefanyika wala Lissu asingerudi tusisahau hali iliyokuwepo hata Vikao vya ndani vilikuwa vinavamiwa na Polisi.

2.Mbowe anawajali Wanachama na Viongozi wake kuliko Lissu ndiyo maana alisema haandai Chama cha kigaidi cha kupeleka watu kwenye kifo,Hii hoja kuwa Mbowe hajali wanaouwawa niweke kumbukumbu sawa Maandamano ya Mwisho yalikuwa juu ya kuuwawa Mzee Kibao walijificha wote akabaki Mbowe mwenyewe Magomeni pale na Familia yake, leo wanasema hakufanya Ushawishi wao walikuwa Sehemu ya Uongozi kwanini wanajitenga walizuiwa kushawishi?
Mbowe alishafanya Press na Familia zilizopotelewa na watu wao na amekuwa akipigia kelele mambo hayo kwenye hotuba zake nyingi.

3.Mbowe anafanya Mikutano mingi ya kujenga Chama kuliko Lissu na ana mbinu nyingi kama kutumia Helikopta, kuvaa Magwanda ya Kikamanda yanayovutia nk,ndiyo maana Viongozi nchi nzima wanamfahamu kwa kazi aliyoifanya chini.

4.Mbowe ana uwezo wa kuibua Vipaji kuliko Lissu ndiyo maana katengeneza watu wengi sana kuwa wanasiasa wakubwa akiwemo Lissu,ila muulize Lissu ana wanasiasa wangapi ambao anaweza kujivunia na kuwaonyesha kwa Umma kuwa aliwatengeneza na kuwainua.

5.Mbowe ana uwezo Mkubwa wa kuongea na Umma akaeleweka kuliko Lissu kwasababu ana utulivu, busara hekima nyingi na anajua aongee nini,lini,wapi na kwa nani tofauti na Lissu.

6.Mbowe anaheshimiwa na Wadau na Viongozi mbalimbali wakiwemo Viongozi wa kisiasa,Viongozi wa Dini,Wafanyabiashara wakubwa wenzake nk kuliko Lissu ndiyo maana anaweza kuongea kitu kikapokelewa na kueleweka na wenye akili kubwa na anaweza kukusanya Rasilimali Fedha za kuendesha Chama kuliko Lissu.

7.Mbowe siyo njaa kali sana kama Lissu ambaye ukimuangalia kukitokea Mkwamo mkubwa wa kirasilimali utakuwa Mtihani kwa Chama.

8.Lissu ni Jasiri na Mwanaharakati kuliko Mbowe ndiyo maana kwa mbaali naona Mgomo na Maandamano na naona CCM na Dola vikikabiliana je nini kitatokea?
Namnukuu Mbowe Time will Tell.

9.Mbowe ni Mwanasiasa na Kiongozi mwenye uwezo wa kujenga Taasisi kwa maono kuliko Lissu.

Kwa hoja hizo nahitimisha kusema Mbowe ni Zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua,ila hii itaeleweka kwa wenye akili kubwa tu na wenye upeo mkubwa na uwezo wa kuona mambo kwa upana.

Naruhusu kuweka hoja nyingine na naruhusu kutoka povu.
Shikamoni wajumbe
 
1.Mbowe ana uwezo wa kutumia mbinu tofautitofauti katika kupigania, Kwa kifupi hakuna kipya ambacho atafanya Lissu Mbowe hajakifanya,kama ni kugomea Uchaguzi Mbowe 2019, kama ni kuandamana Mbowe alishafanya,kama ni kuongea Mezani Mbowe alishafanya kwahiyo Mbinu nyingi zitakuwa ni marudio. Kwa kifupi Mbowe ni Kiongozi anayejua atumie Mbinu gani wakati gani.Ikumbukwe bila Mbowe kufanya Vikao vya kuongea na CCM. huenda hata Uchaguzi wa CHADEMA uusefanyika wala Lissu asingerudi tusisahau hali iliyokuwepo hata Vikao vya ndani vilikuwa vinavamiwa na Polisi.

2.Mbowe anawajali Wanachama na Viongozi wake kuliko Lissu ndiyo maana alisema haandai Chama cha kigaidi cha kupeleka watu kifo,Hii hoja ya kuwa Mbowe hajali wanaouwawa niweke kumbukumbu sawa na Maandamano ya Mwisho yalifanyika juu ya kuuwawa Mzee Kibao walijificha wote akabaki Mbowe mwenyewe Magomeni pale na Familia. yake, leo wanasema hakufanya Ushawishi wao walikuwa Sehemu ya Uongozi kwanini wanajitenga walizuiwa kushawishi?
Mbo alishafanya Press na Familia zilizopotelewa na watu wao na amekuwa akipigia kelele mambo hayo kwenye hotuba zake nyingi.

3.Mbowe anafanya Mikutano mingi ya kujenga Chama kuliko Lissu na ana mbinu nyingi kama kutumia Helikopta, kuvaa Magwanda ya Kikamanda yanayovutia nk,ndiyo maana Viongozi nchi nzima wanamfahamu kwa kazi aliyoifanya.

4.Mbowe ana uwezo wa kuibua Vipaji kuliko Lissu ndiyo maana katengeneza watu wengi sana kuwa wanasiasa wakubwa wakiwemo Lissu,ila muulize Lissu ana wanasiasa wanaweza wanaweza kujivunia na kuwaonyesha Umma kuwa aliwainua na kuwainua.

5.Mbowe ana uwezo Mkubwa wa kuongea na Umma akaeleweka kuliko Lissu kwa matumizi, busara hekima nyingi na anajua aongee nini,lini,wapi na kwa nani tofauti na Lissu.

6.Mbowe anaheshimiwa na Wadau na viongozi mbalimbali wa viongozi wa kisiasa,Viongozi wa Dini,Wafanyabiashara wakubwa wenzake nk kuliko Lissu ndiyo maana anaweza kuongea kitu kilichopokelewa na kueleweka na wenye akili kubwa na anaweza kukusanya Rasilimali Fedha za Chama kuliko Lissu.

7.Mbowe siyo njaa kali sana kama Lissu ambaye ukiangalia kukitokea Mkwamo mkubwa wa kirasilimali utakuwa Mtihani kwa Chama.

8.Lissu ni Jasiri na Mwanaharakati kuliko Mbowe ndiyo maana kwa mbaali naona Mgomo na Maandamano na naona CCM na Dola vikikabiliana je nini kitatokea?
Namnukuu Mbowe Time will Tell.

9.Mbowe ni Mwanasiasa na Kiongozi mwenye uwezo wa kujenga Taasisi kwa maono kuliko Lissu.

Kwa hoja hizo nahitimisha kusema Mbowe ni Zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua,ila hii itaeleweka kwa wenye akili kubwa tu na wenye upeo mkubwa na uwezo wa kuona mambo kwa upana.

Naruhusu kuweka hoja nyingine na kuruhusu kutoka povu.
Bodo maumivu hayajaisha?
 
Usijali master ni muda wa kufanya mengine achana nao hata kama unajua hayakuhusu
 
Mnaacha kuungana kuimarisha chama bado mnapigana madongo ya nani zaidi.
Ninyi watu ndio maana ni rahisi chama tawala kuwatumia kwa maslahi yake, hapo kisa Mbowe kashindwa wewe ungekua/kama una wadhfa wowote chadema ni rahisi kununulika kuponya maumivu yako.

Uchaguzi umeisha, nani ni zaidi haina msaada kwa sasa.
 
Back
Top Bottom