HIV crisis na uelewa mdogo wa Watanzania

HIV crisis na uelewa mdogo wa Watanzania

sergio 5

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2017
Posts
9,405
Reaction score
10,637
Wakuu habari za mda huu hili jambo nimelifiliria nikaona ni tatizo kubwa sana ambalo limetengenezwa kwenye jamii kwanini tunafundishwa kuogopa mgonjwa wa ukimwi ?

Yaani mtu akigundua unafukuzia mtu mwenye ukimwi utatishwa mno kuwa pale sio utaingua je wenye maambukizi hawapaswi kuoa au kuolewa au kushiriki kwenye tendo la NGONO ?

Kuwatenga ivyo hatuoni tuna wanyima haki za msingi sana

Na je kwanini nao wanakuwa hawako civilized kiasi Cha wakipata ukimwi Wana kata tamaa baadhi wanaamua kulipiza kwa kuusambaza ?

Nafikiri elimu ya guidance itolewe kwa nguvu kubwa pia counseling ufanye ipasavyo na wataalam kwa waliopata Hilo tatizo na jamii pia itoe izo negative mindset kuhusu watu wenye HIV+ sio wote waliupata kwa umalaya

POSITIVE IS NORMAL
 
Wakuu habari za mda huu hili jambo nimelifiliria nikaona ni tatizo kubwa sana ambalo limetengenezwa kwenye jamii kwanini tunafundishwa kuogopa mgonjwa wa ukimwi ?

Yaani mtu akigundua unafukuzia mtu mwenye ukimwi utatishwa mno kuwa pale sio utaingua je wenye maambukizi hawapaswi kuoa au kuolewa au kushiriki kwenye tendo la NGONO ?

Kuwatenga ivyo hatuoni tuna wanyima haki za msingi sana

Na je kwanini nao wanakuwa hawako civilized kiasi Cha wakipata ukimwi Wana kata tamaa baadhi wanaamua kulipiza kwa kuusambaza ?

Nafikiri elimu ya guidance itolewe kwa nguvu kubwa pia counseling ufanye ipasavyo na wataalam kwa waliopata Hilo tatizo na jamii pia itoe izo negative mindset kuhusu watu wenye HIV+ sio wote waliupata kwa umalaya

POSITIVE IS NORMAL
Ulichoeleza ni sahihi, elimu inatakiwa.

Lakini je, Ukishatambua mtu unaemfukuzia ameungua utaendelea kufukuzia?
 
Hii ni mada nzito na muhimu, na inahitaji mjadala wa kina. Ukweli ni kwamba, jamii nyingi zimekuwa na mitazamo potofu kuhusu watu wenye maambukizi ya virusi vya HIV. Mara nyingi, watu hawa hutengwa na kuhukumiwa kwa sababu ya maoni yasiyo sahihi kuhusu chanzo cha maambukizi yao, na hii inasababisha stigma kubwa ambayo inawaumiza sana.


Kwa upande wa swali lako kuhusu kutengwa, watu wenye HIV wanapaswa kuwa na haki ya kuishi maisha kamili kama wengine, ikiwa ni pamoja na haki ya kuoana, kushiriki kwenye tendo la ngono, na kuwa na familia. Kilicho muhimu ni kutoa elimu sahihi kuhusu jinsi ya kujikinga na kuzuia maambukizi, pamoja na kuhamasisha kuhusu matibabu na udhibiti wa virusi vya HIV. Hii ni sehemu ya kupambana na mitazamo hasi na kutokomeza ubaguzi.


Kuhusu watu wanaokata tamaa na kutaka kulipiza kisasi kwa kusambaza virusi, ni jambo lenye huzuni. Lakini ni muhimu kuelewa kwamba wengi wao wanahitaji msaada wa kisaikolojia na ushauri wa kitaalamu ili kuwasaidia kujenga upya maisha yao. Elimu ya kujitambua, ushauri wa kisaikolojia (counseling), na msaada wa jamii ni muhimu sana ili kupunguza hii hali ya kukata tamaa na pia kuhamasisha watu kuwa na mtazamo chanya kuhusu maisha.


Elimu ya afya na mabadiliko ya mtazamo katika jamii kuhusu watu wenye HIV ni mchakato mrefu, lakini ni muhimu kwa maendeleo ya jamii nzima. Hii inaweza kufanyika kupitia elimu shuleni, vyombo vya habari, na mikutano ya jamii ili kupigana na mitazamo potofu na kuongeza ufahamu kuhusu HIV/AIDS.


Ni kweli kwamba sio kila mtu aliye na HIV alipata kwa njia ya umalaya, na ni muhimu watu kuelewa hili ili kuepuka kuwalaumu na kuwafanyia ubaguzi.
 
Hii ni mada nzito na muhimu, na inahitaji mjadala wa kina. Ukweli ni kwamba, jamii nyingi zimekuwa na mitazamo potofu kuhusu watu wenye maambukizi ya virusi vya HIV. Mara nyingi, watu hawa hutengwa na kuhukumiwa kwa sababu ya maoni yasiyo sahihi kuhusu chanzo cha maambukizi yao, na hii inasababisha stigma kubwa ambayo inawaumiza sana.


Kwa upande wa swali lako kuhusu kutengwa, watu wenye HIV wanapaswa kuwa na haki ya kuishi maisha kamili kama wengine, ikiwa ni pamoja na haki ya kuoana, kushiriki kwenye tendo la ngono, na kuwa na familia. Kilicho muhimu ni kutoa elimu sahihi kuhusu jinsi ya kujikinga na kuzuia maambukizi, pamoja na kuhamasisha kuhusu matibabu na udhibiti wa virusi vya HIV. Hii ni sehemu ya kupambana na mitazamo hasi na kutokomeza ubaguzi.


Kuhusu watu wanaokata tamaa na kutaka kulipiza kisasi kwa kusambaza virusi, ni jambo lenye huzuni. Lakini ni muhimu kuelewa kwamba wengi wao wanahitaji msaada wa kisaikolojia na ushauri wa kitaalamu ili kuwasaidia kujenga upya maisha yao. Elimu ya kujitambua, ushauri wa kisaikolojia (counseling), na msaada wa jamii ni muhimu sana ili kupunguza hii hali ya kukata tamaa na pia kuhamasisha watu kuwa na mtazamo chanya kuhusu maisha.


Elimu ya afya na mabadiliko ya mtazamo katika jamii kuhusu watu wenye HIV ni mchakato mrefu, lakini ni muhimu kwa maendeleo ya jamii nzima. Hii inaweza kufanyika kupitia elimu shuleni, vyombo vya habari, na mikutano ya jamii ili kupigana na mitazamo potofu na kuongeza ufahamu kuhusu HIV/AIDS.


Ni kweli kwamba sio kila mtu aliye na HIV alipata kwa njia ya umalaya, na ni muhimu watu kuelewa hili ili kuepuka kuwalaumu na kuwafanyia ubaguzi.
Shida serikali na wizara inafundisha tuogope ukimwi na watu wenye ukimwi kwa pamoja hilo ni tatizo kubwa sana
 
Shida serikali na wizara inafundisha tuogope ukimwi na watu wenye ukimwi kwa pamoja hilo ni tatizo kubwa sana
Ndio, ni kweli kwamba wakati mwingine serikali na wizara zinazohusika na afya zimekuwa na mtindo wa kutoa elimu inayolenga zaidi kuogopa HIV na watu wenye HIV badala ya kuhamasisha kuhusu jinsi ya kujikinga na jinsi ya kuwasaidia watu hawa kwa njia yenye heshima na haki. Hii inapelekea kuendelea kwa mitazamo hasi na ubaguzi dhidi ya watu wenye maambukizi ya HIV, badala ya kusaidia jamii kuelewa kwamba ni muhimu kuwa na msimamo wa kupambana na ugonjwa huu kwa usawa na elimu sahihi.
 
Wakuu habari za mda huu hili jambo nimelifiliria nikaona ni tatizo kubwa sana ambalo limetengenezwa kwenye jamii kwanini tunafundishwa kuogopa mgonjwa wa ukimwi ?

Yaani mtu akigundua unafukuzia mtu mwenye ukimwi utatishwa mno kuwa pale sio utaingua je wenye maambukizi hawapaswi kuoa au kuolewa au kushiriki kwenye tendo la NGONO ?

Kuwatenga ivyo hatuoni tuna wanyima haki za msingi sana

Na je kwanini nao wanakuwa hawako civilized kiasi Cha wakipata ukimwi Wana kata tamaa baadhi wanaamua kulipiza kwa kuusambaza ?

Nafikiri elimu ya guidance itolewe kwa nguvu kubwa pia counseling ufanye ipasavyo na wataalam kwa waliopata Hilo tatizo na jamii pia itoe izo negative mindset kuhusu watu wenye HIV+ sio wote waliupata kwa umalaya

POSITIVE IS NORMAL
Hakuna ukimwi kama upo thibitisha
 
Wakuu habari za mda huu hili jambo nimelifiliria nikaona ni tatizo kubwa sana ambalo limetengenezwa kwenye jamii kwanini tunafundishwa kuogopa mgonjwa wa ukimwi ?

Yaani mtu akigundua unafukuzia mtu mwenye ukimwi utatishwa mno kuwa pale sio utaingua je wenye maambukizi hawapaswi kuoa au kuolewa au kushiriki kwenye tendo la NGONO ?

Kuwatenga ivyo hatuoni tuna wanyima haki za msingi sana

Na je kwanini nao wanakuwa hawako civilized kiasi Cha wakipata ukimwi Wana kata tamaa baadhi wanaamua kulipiza kwa kuusambaza ?

Nafikiri elimu ya guidance itolewe kwa nguvu kubwa pia counseling ufanye ipasavyo na wataalam kwa waliopata Hilo tatizo na jamii pia itoe izo negative mindset kuhusu watu wenye HIV+ sio wote waliupata kwa umalaya

POSITIVE IS NORMAL
Kila mtu ana haki ya kuamua anataka kuwa na nani na hataki kuwa na nani.

Si UKIMWI tu, hata watu wenye pua kubwa kama mtu hataki kuwa nao ana haki ya kukataa kuwa nao.
 
Ndio, ni kweli kwamba wakati mwingine serikali na wizara zinazohusika na afya zimekuwa na mtindo wa kutoa elimu inayolenga zaidi kuogopa HIV na watu wenye HIV badala ya kuhamasisha kuhusu jinsi ya kujikinga na jinsi ya kuwasaidia watu hawa kwa njia yenye heshima na haki. Hii inapelekea kuendelea kwa mitazamo hasi na ubaguzi dhidi ya watu wenye maambukizi ya HIV, badala ya kusaidia jamii kuelewa kwamba ni muhimu kuwa na msimamo wa kupambana na ugonjwa huu kwa usawa na elimu sahihi.
Tunaongozwa na watu wakutilia mashaka sana uwezo wao
 
Kila mtu ana haki ya kuamua anataka kuwa na nani na hataki kuwa na nani.

Si UKIMWI tu, hata watu wenye pua kubwa kama mtu hataki kuwa nao ana haki ya kukataa kuwa nao.
Ila NCHI kwetu hakuna haki ni ubaguzi
 
Ila NCHI kwetu hakuna haki ni ubaguzi
Hapana. Mtu mwenye HIV/AIDS ana haki ya kufanya kazi kama wengine bila kubaguliwa kwa sababu ya HIV/AIDS. Hii ni haki.

Ana haki ya kupata huduma za kijamii sawa na wengine. Hii ni haki.

Lakini hana haki ya kupendwa na kila mtu. Haki hiyo haipo. Si kwamba haipo kwake tu, haipo kwa mtu yeyote, mwenye HIV/AIDS na asiye na HIV/AIDS.

Na kwa sababu haki hiyo haipo kwa yeyote, hii si habari ya ubaguzi.

Ubaguzi lazima u target watu wa kundi fulani. Weusi. Weupe.Wanawake. Wanaume, etc.

Kama hii haki ya kupendwa na watu wote haipo kwa mtu yeyote, hapo suala la ubaguzi halipo.
 
Hapana. Mtu mwenye HIV/AIDS ana haki ya kufanya kazi kama wengine bila kubaguliwa kwa sababu ya HIV/AIDS. Hii ni haki.

Ana haki ya kupata huduma za kijamii sawa na wengine. Hii ni haki.

Lakini hana haki ya kupendwa na kila mtu. Haki hiyo haipo. Si kwamba haipo kwake tu, haipo kwa mtu yeyote, mwenye HIV/AIDS na asiye na HIV/AIDS.

Na kwa sababu haki hiyo haipo kwa yeyote, hii si habari ya ubaguzi.

Ubaguzi lazima u target watu wa kundi fulani. Weusi. Weupe.Wanawake. Wanaume, etc.

Kama hii haki ya kupendwa na watu wote haipo kwa mtu yeyote, hapo suala la ubaguzi halipo.
Huku wanabaguliwa yaani unaonywa kama vile kuwa na uhusiano nao ni kujuana na magaidi
 
Huku wanabaguliwa yaani unaonywa kama vile kuwa na uhusiano nao ni kujuana na magaidi
Tanzania bila kuongeza elimu na kubadili utamaduni matatizo haya yatabaki mengi sana tu.

Watu wana groupthink mpaka kwenye msiba, unategemea nini?
 
Tanzania bila kuongeza elimu na kubadili utamaduni matatizo haya yatabaki mengi sana tu.

Watu wana groupthink mpaka kwenye msiba, unategemea nini?
Yaani Kuna utamaduni ni wa kijinga kabisa na Wala hauna maana na watu wame normalize
 
Back
Top Bottom