HIV crisis na uelewa mdogo wa Watanzania

HIV crisis na uelewa mdogo wa Watanzania

Yaani Kuna utamaduni ni wa kijinga kabisa na Wala hauna maana na watu wame normalize
Kwenye mambo ya public health mambo ni magumu, ni delicate na ni sensitive.

Mimi napinga institutional marginalization of people with HIV/ AIDS. Kuwatenga kimfumo, kufundisha kuwatenga etc.

Lakini pia, kwa mtu binafsi, mtu binafsi ana haki na uhuru wa kuamua awe na nani na asiwe na nani, kwa sababu yoyote au bila sababu.
 
Ndiyo nitaendelea mkuu na akinikubalia nitamueleza wazi kuwa inatakiwa tupime na nitamwambia awe huru sana
Ndiyo nitaendelea mkuu na akinikubalia nitamueleza wazi kuwa inatakiwa tupime na nitamwambia awe huru sanat
Ndiyo nitaendelea mkuu na akinikubalia nitamueleza wazi kuwa inatakiwa tupime na nitamwambia awe huru sana
Sasa mtaenda kupima ili iweje wakati unaelewa kabisa anaishi na miwaya???
Hivi unaujua Ukimwi??????

Binafsi nahisi unasumbuliwa na bange.

Yaani mtu kagawa uroda wake bila tahadhari matokeo yake kaunasa Ukimwi halafu utwambie tumpende asiyejipenda mwenyewe???
You must be crazy 😧😧😧
 
Sasa mtaenda kupima ili iweje wakati unaelewa kabisa anaishi na miwaya???
Hivi unaujua Ukimwi??????

Binafsi nahisi unasumbuliwa na bange.

Yaani mtu kagawa uroda wake bila tahadhari matokeo yake kaunasa Ukimwi halafu utwambie tumpende asiyejipenda mwenyewe???
You must be crazy 😧😧😧
Akili yako ni ndogo sana mkuu
 
Back
Top Bottom