Hiv Dagaa mchele zina kazi na umuhimu gani mwilini?

Hiv Dagaa mchele zina kazi na umuhimu gani mwilini?

Brojust

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
349
Reaction score
1,024
Wazaramo habari zenu.

Sisi wa bara Tulivyokuja huku pwani ya Dar-es-salaam ndio tukajua hii mboga inaitwa dagaa mchele.

Sawa tunajua kwenye utafutaji kigetogeto lazima ushawahi kula sana Dagaa mchele, mixer tembele na ugali.

Sasa leo nimewaza na nimeumia sana juu ya aina ya ulaji wetu sisi wasaka nyoka aka watu wa hali ya chini.

Naomba kuuliza, Dagaa mchele zina kirutubisho gani mwilini, je ni vile vile virutubisho vya sato au sangara au aina ya samaki yoyote au kuna ziada ambayo mimi siijui.

Lakini nasikia pia dagaa mchele huwa wanachemshwa mixer viazi na inakuwa mboga nzuri tu, sasa nataka kujua ina virutubisho gani.

Habari bila picha ni umbea.

Nawasilisha

.
Screenshot_20241113_123452_Google.jpg
 
Wazaramo habari zenu.

Sisi wa bara Tulivyokuja huku pwani ya Dar-es-salaam ndio tukajua hii mboga inaitwa dagaa mchele.

Sawa tunajua kwenye utafutaji kigetogeto lazima ushawahi kula sana Dagaa mchele, mixer tembele na ugali.

Sasa leo nimewaza na nimeumia sana juu ya aina ya ulaji wetu sisi wasaka nyoka aka watu wa hali ya chini.

Naomba kuuliza, Dagaa mchele zina kirutubisho gani mwilini, je ni vile vile virutubisho vya sato au sangara au aina ya samaki yoyote au kuna ziada ambayo mimi siijui.

Lakini nasikia pia dagaa mchele huwa wanachemshwa mixer viazi na inakuwa mboga nzuri tu, sasa nataka kujua ina virutubisho gani.

Habari bila picha ni umbea.

Nawasilisha

.View attachment 3151321
Yasalaam
 
Wazaramo habari zenu.

Sisi wa bara Tulivyokuja huku pwani ya Dar-es-salaam ndio tukajua hii mboga inaitwa dagaa mchele.

Sawa tunajua kwenye utafutaji kigetogeto lazima ushawahi kula sana Dagaa mchele, mixer tembele na ugali.

Sasa leo nimewaza na nimeumia sana juu ya aina ya ulaji wetu sisi wasaka nyoka aka watu wa hali ya chini.

Naomba kuuliza, Dagaa mchele zina kirutubisho gani mwilini, je ni vile vile virutubisho vya sato au sangara au aina ya samaki yoyote au kuna ziada ambayo mimi siijui.

Lakini nasikia pia dagaa mchele huwa wanachemshwa mixer viazi na inakuwa mboga nzuri tu, sasa nataka kujua ina virutubisho gani.

Habari bila picha ni umbea.

Nawasilisha

.View attachment 3151321
Waagizie na mihogo yenye kachumbar nyingi.. Tanga wanaitwaga uono! Yani ni unyama mtupu mzee 😋
 
Dagaa wa Victoria wana protein kwa wingi. Dagaa chumvi wa baharini huwenda wakawa na madini chumvi kwa wingi
 
Virutubisho vya kutoshaa, usiwachukulie poa mkuu
 
Back
Top Bottom