Hiv Dagaa mchele zina kazi na umuhimu gani mwilini?

Hiv Dagaa mchele zina kazi na umuhimu gani mwilini?

Mkuu naona mwenzetu umejipata,

Sisi bado tunakomaa na utumbo wa Kuku na Miguu yake.
Miguu ya kuku hasa broiller ni starehe yangu hiyo.

Sili kutafuta shibe hapana ninakula kwa ajili starehe.

Vikaagwe kwa mafuta halisi ya mboga, vikauke visiungue, chumvi wastani, kwa idadi yoyote itakayoandaliwa navimaliza swee!
 
Wa baharini wana Iron kwa wingi.

Iron ??
Au Calcium ??

Muwe na uhakika na mnayoandika ili kuepusha upotoshaji.

Kwa hiyo mtu mwenye upungufu wa damu akila hizo dagaa mara kwa mara atapona na kiwango cha damu kumrejea. ??
 
Duh! Any way wana madini chuma ambayo husaidia kuimarisha mifupa kama unadhani inaongeza nguvu za kiume imekula kwako ukitaka kuwa na nguvu za kiume kula samaki aina ya sato basi.

Wana madini ya chuma au Calcium ?

Muwe mnajiridhisha kwa usahihi ili kuepuka upotoshaji.
 
Iron ??
Au Calcium ??

Muwe na uhakika na mnayoandika ili kuepusha upotoshaji.

Kwa hiyo mtu mwenye upungufu wa damu akila hizo dagaa mara kwa mara atapona na kiwango cha damu kumrejea. ??
Sasa mbona huwa tunaambiwa mtu anaepungukiwa damu supu ya dagaa yafaa kwake
 
Sasa mbona huwa tunaambiwa mtu anaepungukiwa damu supu ya dagaa yafaa kwake
Dagaa husaidia kutengeneza Red blood cells coz Dagaa zina Vitamin B12 husaidia kusafirisha damu kuzunguka mwili ''Blood circulation''

Dagaa zina Calcium,jukumu la Calcium ni kusaidia afya ya mifupa,Dagaa zinaweza kua mbadala wa maziwa kama mtu hapendi kutumia maziwa,

Dagaa zina kiwango kikubwa cha protini,protini ni nzuri kwa ujenzi wa misuli ya mwili,Dagaa humpunguzia mtu hamu ya kutamani kutumia sukari,Dagaa zina vitamini na madini pia,

Dagaa ni chanzo kizuri cha mafuta ya Omega-3 ambayo husaidia kinga ya moyo dhidi ya Shinikizo la damu,Atherosclerosis na thrombosis.
 
Dagaa husaidia kutengeneza Red blood cells coz Dagaa zina Vitamin B12 husaidia kusafirisha damu kuzunguka mwili ''Blood circulation''

Dagaa zina Calcium,jukumu la Calcium ni kusaidia afya ya mifupa,Dagaa zinaweza kua mbadala wa maziwa kama mtu hapendi kutumia maziwa,

Dagaa zina kiwango kikubwa cha protini,protini ni nzuri kwa ujenzi wa misuli ya mwili,Dagaa humpunguzia mtu hamu ya kutamani kutumia sukari,Dagaa zina vitamini na madini pia,

Dagaa ni chanzo kizuri cha mafuta ya Omega-3 ambayo husaidia kinga ya moyo dhidi ya Shinikizo la damu,Atherosclerosis na thrombosis.
Acha tuendelee kuwala, then tutakunywa citrizen kupunguza ukali wa kamasi
Weekend hii ugali wa muhogo na chukuchuku ya dagaa, Biidhnillah
 
Dagaa husaidia kutengeneza Red blood cells coz Dagaa zina Vitamin B12 husaidia kusafirisha damu kuzunguka mwili ''Blood circulation''

Dagaa zina Calcium,jukumu la Calcium ni kusaidia afya ya mifupa,Dagaa zinaweza kua mbadala wa maziwa kama mtu hapendi kutumia maziwa,

Dagaa zina kiwango kikubwa cha protini,protini ni nzuri kwa ujenzi wa misuli ya mwili,Dagaa humpunguzia mtu hamu ya kutamani kutumia sukari,Dagaa zina vitamini na madini pia,

Dagaa ni chanzo kizuri cha mafuta ya Omega-3 ambayo husaidia kinga ya moyo dhidi ya Shinikizo la damu,Atherosclerosis na thrombosis.
Shukrani sana, Jibu Zuri mnoooooo
 
Back
Top Bottom