HIV ni kirusi ambacho hadi leo hakijawahi kuonekana umbile lake sababu kinauwezo wa kugeuza na kubadilika zaidi ya maumbile 360

HIV ni kirusi ambacho hadi leo hakijawahi kuonekana umbile lake sababu kinauwezo wa kugeuza na kubadilika zaidi ya maumbile 360

Huyu mtu anayejiita dr William. Inaonekana ana kaelimu ka form 4 tena ka D 2,anajua ka kiingereza kidogo na tumitishamba fulani hivi! Halafu na tumazingaombwe fulani hivi! Na ana kakonekshen fulani huko nje za nchi! Huko wanamtumiaga tudawa twa huo ukimwi tunaitwa Dot 3. Ni Majanja Majanja fulani hivi,anatumia ujinga wa watu kupiga Pesa,kuhusu magonjwa anayajua kwa juu juu tu! Sio Dr wa kusomea! Ni wa kujipachika
 
We jamaa chenga sana unapotosha watu na chat gpt au unatoka wap matango pori haya
Hivi moderators hamuoni hii vitu sensitive kama hivi na vya kupotosha hamuoni kama vinaleta taharuki?
Vipi wenzetu wenye maambukizi wakisoma si utakuwa umewasababishia msongo wa mawazo, kuacha kufuata ushauri wa wataalam kwa kuogopa haya unayowadanganya ni madhara

Huu uganga ulijifunzia wapi?

Wewe unayejua, rekebisha alipopotosha...
 
maelezo yako cjui kama yapo kwenye uhalisia, labda n vile tu unafkilia lakini ni uongo mtupu
 
Kipimo kikisoma negative haimaanishi hauna hiv. Mathalani unaweza usiwe na virusi kweli ama unaweza kua navyo ila havijafikia level ya kua detected na kipimo utaendelea kua carier mpaka utakapopata ukimwi.
Hivyo asilimia 90% ya wagonjwa wa HIV hawafi kutokana na HIV bali wanakufa kutokana na figo au ini kuzidiwa na sumu kali ya dawa wanazotumia kwa mdaa mrefu na magonjwa yalichipua.
ukimwi sio ugonjwa na huwezi ukaandika ukimwi kama cause of death
 
shape zote zinajulikana fatilia tu vizuri, sijui tu hii thread umejipinda ukiwa unampango gani.

umeshuka kwa statistics kibao kama ukweli vile.

majanga yanaanza pale uongo kama huu unapoenea na cjui hio Dr hapo kwa jina inamaana gani lakini unapotosha watu.

this is one disgusting lie
 
Back
Top Bottom