Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Leta literature hiyo tuipitie acha inainesha kabisa you know nothing in medical fieldACHA PANIC KASOME
We jamaa chenga sana unapotosha watu na chat gpt au unatoka wap matango pori haya
Hivi moderators hamuoni hii vitu sensitive kama hivi na vya kupotosha hamuoni kama vinaleta taharuki?
Vipi wenzetu wenye maambukizi wakisoma si utakuwa umewasababishia msongo wa mawazo, kuacha kufuata ushauri wa wataalam kwa kuogopa haya unayowadanganya ni madhara
Huu uganga ulijifunzia wapi?
Nyie madoctor bwana....mbona mie miaka 17 nina hiv na wala situmii arv.
Alafu imekaaje mie nikipima na hizi oral quick inasema negative nikipima kipimo cha damu inasema positive?
ukimwi sio ugonjwa na huwezi ukaandika ukimwi kama cause of deathHivyo asilimia 90% ya wagonjwa wa HIV hawafi kutokana na HIV bali wanakufa kutokana na figo au ini kuzidiwa na sumu kali ya dawa wanazotumia kwa mdaa mrefu na magonjwa yalichipua.
soma hapa kutoka W.H.O hua sipendi kuwatumia kama reference lakini angalau kunakitu wameongeaNatamani sana mtu anayesema napotosha awe anashuka mkeka wake hapa chini ndio maana ya hoja kwa hoja