Hiv test (bi-oline)

tan-1

Senior Member
Joined
Jan 2, 2018
Posts
100
Reaction score
81
Najikita kwenye swali langu moja kwa moja bila kupoteza wakati.

>>Nilifanya kipimo cha hiv test cha bio line. Nikasoma majibu ndan ya dk5 hadi 50 the answer wasa negative kwa maana ya line moja kuonekana kwenye control test(C).

>>kesho yake asubuhi nilipokiangalia kipimo husika kilinipa majibu mengne kwa maana kwamba other two weak lines appeared at 1 and 2.

>>So ni amjaibu gani sahihi kati ya yale ya awali na yale ya mwisho??
 
wanadai majibu yanayosomwa Ndani ya dk 5 ndo sahihi inavyoendelea kukaa mda reaction inazidi fanyika pamoja na vijidudu kijaingia humo
 
wanadai majibu yanayosomwa Ndani ya dk 5 ndo sahihi inavyoendelea kukaa mda reaction inazidi fanyika pamoja na vijidudu kijaingia humo
Usimfariji huyu akachelewa kutumia dawa. Mungu aepushie mbali.

Nenda kwa vipimo zaidi mkuu wakarudie.
 
Hapo majibu ni negative ambayo uliyoyapata ndani ya muda ulioelekezwa kwenye kipimo. Ila kujitoa wasiwasi fanya confirmatory test Uni-Gold.
 
Usimfariji huyu akachelewa kutumia dawa. Mungu aepushie mbali.

Nenda kwa vipimo zaidi mkuu wakarudie.
Kama huna hoja kaa kimya kwan lazma unijibu utumbo wako huo kachunge ng'ombe huko
 
Tatizo unataka majibu ya kujifariji. Ngoma haina masihara hata ukikasirika haisaidii na mimi siwezi kukupa majibu ya kukufariji. Rudia kupima.

Utabembelezwa na mpenzi wako mkuu hapa umefuata ushauri wangu ndio huo
Achaana na mm bwege nazi
 
Hata ukiwa na sti inaeza onekana hapo soo unigold ndio mwisho wa matatizo
 
Hapo haina haja ya Ku confirm kwa Unigold,majibu sahihi ni Yale ya awali below 50 minutes, hapo unachotakiwa kaa kwanzia week mbili zingine to month urudie kupima tena kwa SD bioline Ku confirm ndani ya dk50 tena..majibu ya kifanana baasi wee huna maambukizi...ila katika kusubiri hzo week2 ama mwezi mzima ama mpaka miezi3 usishiriki ngono bila kinga-condm na MTU usiyeijua Afya yake hata kama ni mkeo
 
Mkuu majibu ya mwanzo ndo yaukwel sababu ulisoma ndabi ya muda unaotakiwa majibu yawe yametolewa kwani kwa SD biolin unatakiw uwe umesoma ndani ya dk 20 si zaidi mkuu ukizidi reaction inazidi matokeo yake ndo ivo theni zingatia namna unavyoweka damu na uwekaji wake plz pia buffer yake tumia recommended buffer mkuu siyo normal saline never add acid to water
 
wanadai majibu yanayosomwa Ndani ya dk 5 ndo sahihi inavyoendelea kukaa mda reaction inazidi fanyika pamoja na vijidudu kijaingia humo

Usimfariji huyu akachelewa kutumia dawa. Mungu aepushie mbali.

Nenda kwa vipimo zaidi mkuu wakarudie.

Kama huna hoja kaa kimya kwan lazma unijibu utumbo wako huo kachunge ng'ombe huko

Tatizo unataka majibu ya kujifariji. Ngoma haina masihara hata ukikasirika haisaidii na mimi siwezi kukupa majibu ya kukufariji. Rudia kupima.

Utabembelezwa na mpenzi wako mkuu hapa umefuata ushauri wangu ndio huo

Achaana na mm bwege nazi
Naskia mtu akikuwa +HIV, wanakuaga na hasira sana.....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…