KIOO
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 6,235
- 5,854
Kwa hiyo nyie jamaa mnataka kusemaje?
Tunataka kujua tu kwa nini waathirika wengi wanakuwa na hasira za hali ya juu na za karibu sana that's why tukauliza mkuu...?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo nyie jamaa mnataka kusemaje?
Kwa hiyo nyie jamaa mnataka kusemaje?
Tulia upewe mshauri mkuu mbona unakuwa mkali?
Tunataka kujua tu kwa nini waathirika wengi wanakuwa na hasira za hali ya juu na za karibu sana that's why tukauliza mkuu...?
watakuwa wana maanisha jamaa ndo basi tena. ana wadudu a.k.a ngoma nzito.
ngumu kumeza
Pole sana naomba nikujibu swali lako ni rahisi tuuNajikita kwenye swali langu moja kwa moja bila kupoteza wakati.
>>Nilifanya kipimo cha hiv test cha bio line. Nikasoma majibu ndan ya dk5 hadi 50 the answer wasa negative kwa maana ya line moja kuonekana kwenye control test(C).
>>kesho yake asubuhi nilipokiangalia kipimo husika kilinipa majibu mengne kwa maana kwamba other two weak lines appeared at 1 and 2.
>>View attachment 676844So ni amjaibu gani sahihi kati ya yale ya awali na yale ya mwisho??
Siyo powa jamani, mwenzetu anahitaji ushauri nasaha.
Siku hizi nasikia kuna vidonge vya kumeza wiki kwa wiki, asijali sana.
Sio kweli usijibu kisiasa please sd bioline zinafanya kazi vizuriHata ukiwa na sti inaeza onekana hapo soo unigold ndio mwisho wa matatizo
Yapo tofauti ila unaweza tumia hayohayo tuuHivi maji ya kutumia kwenye Uni-Gold ndio hayo hayo ya kwenye bio-line au yapo tofauti?
Nataka waaomi kama wewe na isitoshe nilienda kupata maelezo kama yako na nilitumia unigold majibu yako sawa kabisaa. Kuna mijinga michache ambayo hata elimu hayana afu yanachangia ujinga kwenye jukwaa la wasomi kama wewe. Big up sana mkuuuPole sana naomba nikujibu swali lako ni rahisi tuu
Sd bioline 3.0 hiv 1/2 unatakiwa kusoma majibu ndani ya dakika 10 mpk 20 tuu ukisha soma tupa hiko kifaa maana ukiendelea kukaa nacho muda mrefu kinachofanya ni kwamba zile band line za positive zita kauka halafu itaonesha kama ni positive ila inakua sio sababu ya muda umezidi oky aliyekupatia au kukuuzia alitakiwa kukwambia hivo sababu utaanza ku sweat na kupata mawazo mengi kumbe majibu yako ni negative oky
Ok sawa mkuu kuwa na amani pia karibu na dispensary kwetu maeneo ya buguruni tutakupa elimu nzuri zaidi juu ya virusi vya ukimwi okyNataka waaomi kama wewe na isitoshe nilienda kupata maelezo kama yako na nilitumia unigold majibu yako sawa kabisaa. Kuna mijinga michache ambayo hata elimu hayana afu yanachangia ujinga kwenye jukwaa la wasomi kama wewe. Big up sana mkuuu
Jinga jingne hili hapaPima mara kwa mara mwishowe utakipata unachotafuta
Liko wapi? We ushapima mara ya kwanza huna, mara ya pili huna, mara ya tatu unatafuta nini?Jinga jingne hili hapa
Lingne hili hapa yako mengi kumbeLiko wapi? We ushapima mara ya kwanza huna, mara ya pili huna, mara ya tatu unatafuta nini?
Nimeliona [emoji115]Lingne hili hapa yako mengi kumbe
Kwa hiyo nyie jamaa mnataka kusemaje?
Sijui hata niseme nini haki....[emoji19] [emoji19]watakuwa wana maanisha jamaa ndo basi tena. ana wadudu a.k.a ngoma nzito.
ngumu kumeza
Sijui hata niseme nini haki....[emoji19] [emoji19]
Ila inauma sana wallah....[emoji25] [emoji25]