KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 157
- 26
Ninachojua: kuna dawa watu hupewa ndani ya masaa 72 ikiwa kama wanahisi wamepata maambukizi. Hususani kama mtu amebakwa au 'vigogo' wakicheza rafu huwa wanakimblia kunywa. Hii husaidia wadudu kufa kabla hawajaota mizizi.