KWETU PAZURI
Senior Member
- Oct 14, 2011
- 157
- 26
Helow jf dr. Je kuna kipimo TZ cha hiv baada ya 24 hrz mtu kufanya sex?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninachojua: kuna dawa watu hupewa ndani ya masaa 72 ikiwa kama wanahisi wamepata maambukizi. Hususani kama mtu amebakwa au 'vigogo' wakicheza rafu huwa wanakimblia kunywa. Hii husaidia wadudu kufa kabla hawajaota mizizi.