Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Mchele unatumika mwingi? huwa nakinai chakula nikikichanganya kwenye sahani moja raha yangu niwe naona bakuli nyingi nachovya huku kule na pale.Nimepumzika kulipika maana linaharibu budget ya mchele[emoji13]
Sasa maharage nanwali one pot si kukinaishana.