Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli?

Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli?

Chongeni

Member
Joined
Jun 16, 2020
Posts
8
Reaction score
14
Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli …!! maana mpaka sasa kuna baadhi ya waliopata fursa za kuajiriwa na TRA mwaka wa Jana (2023) bado hawajui ni ofisi ya wapi atapangiwa.

Wenye siri nzito za ajira mpya ni lini zitatangazwa tudokezeni.

Thank you
 
Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli …!! maana mpaka sasa kuna baadhi ya waliopata fursa za kuajiriwa na TRA mwaka wa Jana (2023) bado hawajui ni ofisi ya wapi atapangiwa.

Wenye siri nzito za ajira mpya ni lini zitatangazwa tudokezeni.

Thank you
du umetumia lugha ya kuficha nia ila imebuma hiyo. Wewe utakuwa ni ajira mpya sasa unataka kutuambia kuwa hujapangiwa ofisi na inaonekana unania mbaya ya upigaji. kuna watu hatuna ajira tunalilia walau hata kupata kuajiriwa wewe unahangaika eti hujapangiwa ofisi wakati tayari mshahara ushaanza kula toka 2023. umeshindwa hata kuficha dhumuni lako. wewe shida ajira au ujue umepangwa wapi inaonekana ulishakuwa na malengo machafu ya upigaji ndiyo maana.Nyinyi vijana mntaishia pabaya yaani upo ndani ya ajira bado unawaza wapi ukapige.
 
Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli …!! maana mpaka sasa kuna baadhi ya waliopata fursa za kuajiriwa na TRA mwaka wa Jana (2023) bado hawajui ni ofisi ya wapi atapangiwa.

Wenye siri nzito za ajira mpya ni lini zitatangazwa tudokezeni.

Thank you
Serekali haina hela
 
kwahiyo hapo ulipo unaacha kupambana unasubiri ajira za tiharahei mzee utasugua sana kama huna baba mama au shangazi wa kukushika mkono tiharahei sahau...
 
Back
Top Bottom