Hivi akina Dada kwanini hamjikubali? Chura huwa anasaidia nini?

Hivi akina Dada kwanini hamjikubali? Chura huwa anasaidia nini?

Inasikitisha sana...
Ndiyo msimu wake huo... Labda wameona fashion ya sasa hivi ni kuwa na umbo kubwa la nyuma...

Let them do whatever they want to please us man... Wapo wanaume wanaopenda hayo mambo ndiyo maana na wenyewe wanayafanya...


Cc: mahondaw

Hahahaahhahahaahahahahaha mulemule lol!
Smart911 my king yote haya ni kwa sababu yenu eti Tehtehteh

Mahondaw wa Smart911
 
Back
Top Bottom