Jana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Updates:
Na Leo wameichapa Pelmeras kwa Penalty 3-2 !
Na wametwaa nafasi ya tatu ya Ubingwa wa Dunia!