ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,640
- 22,748
Ukweli mchungu huuSimba akikutana na team kubwa kubwa zinazojua mpira Simba huwa inaupiga haswa full biriani yan, ila ikikutana na wasiojua mpira Kama Uto, Uto wanacheza mpira kama wako vitani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukweli mchungu huuSimba akikutana na team kubwa kubwa zinazojua mpira Simba huwa inaupiga haswa full biriani yan, ila ikikutana na wasiojua mpira Kama Uto, Uto wanacheza mpira kama wako vitani
Na tumewaonyesha kweli mamaeeeTutawaonyesha pira biriani hadi wakome
Waliwapuuza tu,mlikakamaa wakat wenzenu walichukulia easy Sana,ila watawatia gumba baya kwaoJana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Updates:
Na Leo wameichapa Pelmeras kwa Penalty 3-2 !
Na wametwaa nafasi ya tatu ya Ubingwa wa Dunia!
AiseeeAhly atauvunja mtu nje ndani
Ndugu una roho ya paka ,aiserme!Waliwapuuza tu,mlikakamaa wakat wenzenu walichukulia easy Sana,ila watawatia gumba baya kwao