rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 16,784
- 23,312
Hivi utopolo hamna kitu cha kujadili juu ya timu yenu kila muda mnahangaika na next level
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale Sevilla walikuwa wanafanya mazoezi tu. Na waliwachukulia simba ni under dog club mana nilimsikia kocha wao alidai kwamba mwanzo walikuwa kama wanafanya masihara,ila ilipofikia kipindi alipoona wamefungwa goli 4 ikabidi amwite kapteni wake wacheze kama ni ligi hivi ndipo wakashinda 5Umesahau Simba vs Sevilla?mbona kawaida sana
Mlipowaona tulivyowapelekesha harakaharaka mkajipendekeza urafikiWale Sevilla walikuwa wanafanya mazoezi tu. Na waliwachukulia simba ni under dog club mana nilimsikia kocha wao alidai kwamba mwanzo walikuwa kama wanafanya masihara,ila ilipofikia kipindi alipoona wamefungwa goli 4 ikabidi amwite kapteni wake wacheze kama ni ligi hivi ndipo wakashinda 5
Ni hao hao Ndugu na usiwe na wasiwasi kwani wakija huku muda mwingi watakuwa wanaona wanacheza na Binadamu wenzao wakati kumbe kiuhalisia watakaokuwa wakicheza ni Paka watupu tu siku hiyo na tutawafunga vile vile.Jana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Tutawaonyesha pira biriani hadi wakomeJana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Hawa vidimbwi level yao ni African Sports Club wana kimanumanuNafasi aliyofika Simba robo fainali na mwaka huu nusu fainali Uto mtafika lini?
Ilo ndo muhimu mlijadili.
Mambo ya Al Ahly ayawahusu.
Kwanza Yanga na Al Ahly wapi na wapi,sio level yenu.
Barcelona alifungwa bao 8 na bayern ..kwaio tuseme barcelona ni wabovu kuliko Al Ahly aliyefungwa 2?
Weee thubutu! Kwani wachezaji simba miguu yao yote ni ya kushoto?!Ni 5 and above hakuna msalie mtume
Ndio hiyohiyoJana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
ndo hao hao waliochapwa 1-0 na simba piaJana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Kule Congo AS Vita wanamlambia Vumbi la Kongo kule kwa Waarabu wanamlia Tende.Kitakachotokea tusubiri,Simba wanamakele sana na ni vihere here sana .Wakipigwa wanakuja na vimaneno vya kujifariji fariji .Naomba muwazoee Kama mlivyozoea kula na kunywaAL WAHEDI, THALATHA BIN HAMSA ZINAWAHUSU[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
NOMA SANA, AIBU KWA TAIFAKule Congo AS Vita wanamlambia Vumbi la Kongo kule kwa Waarabu wanamlia Tende.Kitakachotokea tusubiri,Simba wanamakele sana na ni vihere here sana .Wakipigwa wanakuja na vimaneno vya kujifariji fariji .Naomba muwazoee Kama mlivyozoea kula na kunywa
Acha woga wewe hii ni hatua ya makundi sio mtoanoJana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.
Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?
Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Updates:
Na Leo wameichapa Pelmeras kwa Penalty 3-2 !
Na wametwaa nafasi ya tatu ya Ubingwa wa Dunia!
Aibu yako aibu ya vijibwa koko vyooote vya Utopolo. Wote kimyaaaaaNOMA SANA, AIBU KWA TAIFA
Unaumia ukiwa mkoa gani ?Kule Congo AS Vita wanamlambia Vumbi la Kongo kule kwa Waarabu wanamlia Tende.Kitakachotokea tusubiri,Simba wanamakele sana na ni vihere here sana .Wakipigwa wanakuja na vimaneno vya kujifariji fariji .Naomba muwazoee Kama mlivyozoea kula na kunywa