Hivi Al Ahly iliyocheza na Buyern Munich ndiyo hii tunakuja kucheza nayo!

Hivi Al Ahly iliyocheza na Buyern Munich ndiyo hii tunakuja kucheza nayo!

kuna wadau leo huenda wakapiga wake zao pindi wakirudi home coz ya hasira + uchungu, hiyo yote ni kwasababu SIMBA SC kashinda.
poleeeni sana nasubiri tena complain zenu juu ya simba kwa mechi zijazo.
sijui mtamshabikia El merreck na vile leo kapigwa kipigo cha mbwa koko 1-4 na As vita na vita tuliwapiga kwao au mtatuombea dua mbaya moyoni tufungwe ili msiingie aibu kama mlioipata leo
 
Simba wako vizuri. Yanga kuongoza haiwafanyi simba kuwa vilaza, team ipo kwenye hali nzuri, nina uhakika itaonyesha mchezo mzuri utakaoleta faida.
Dah agiza Soda mkuu nakuja kulipa, kama ulishaiona mechi live kabisa
 
Jana niliwaona kina Lewandowisky wakihaha kuwafunga National Al Ahly ya Misri.

Leo hii natafakari hivi hawa jamaa waliocheza jana sio ndio Simba tutacheza nao hivi karibuni!?

Aisee ...ngoja tuone...Mungu Ni Mwema!
Updates:
Na Leo wameichapa Pelmeras kwa Penalty 3-2 !
Na wametwaa nafasi ya tatu ya Ubingwa wa Dunia!
Sasa wameshakuja una la ziada sisi sio kama utopolo tunacheza mpira kupitia magazeti
 
Back
Top Bottom