EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Wakati mtihani wa kumaliza elimu ya msingi ukikaribia nimekuwa naona shule kadhaa zikifanya mahafali kabla watoto hawajafanya mitihani nakumbuka enzi zetu tulikuwa tunafanya pepa kisha mahafali.
Yaani unasheherekea kumaliza halafu ndio unamaliza.
Yaani unasheherekea kumaliza halafu ndio unamaliza.