Kuepusha vurugu za kijinga wakati wa mahafali ndio sababu kuu ili nidhamu ichukue mkondo wake
Kwani kuna kipindi wakati wa mahafali kulikuwa kunatokea vitendo visivyo vya kiungwa ikiwemo walimu kula kipigo cha mbwa koko na walikuwa hawana namna ya kumpata mwanafunzi.
Hivyo ikaamuliwa iwe kabla ya pepa ili kuwadhibiti