Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
- Thread starter
- #141
Mpaka mda inaisha hakuna atakae nichekesha kama wewe eti UMECHUNGUZA SANA KWENYE YOUTUBE UMEONA WAPO?
Yaani nimetumia muda mrefu sana kuwasoma hao kwenye mitandao si kidogo, lkn wapo hawa viumbe, we jiulize kwenye sayari zingine hakuna viumbe?