Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,153
- 2,647
- Thread starter
-
- #141
Mpaka mda inaisha hakuna atakae nichekesha kama wewe eti UMECHUNGUZA SANA KWENYE YOUTUBE UMEONA WAPO?
Swali zuri sana.. What's so special about our earth, coz kuna sayari nyingi kubwa zaidi..kwa nini kusiwe na viumbe?
sasa wamejuaje kama ni wakorofi ikiwa hatujakwaruzana nao?