Hivi apple huwa zinatiwa nini? Nina apple limekaa zaidi ya mwezi lakini halina hata dalili ya kuoza!

Hivi apple huwa zinatiwa nini? Nina apple limekaa zaidi ya mwezi lakini halina hata dalili ya kuoza!

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Salam kwa jina la misosi,

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.

Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.

Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!

Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!


Pia soma: Kwanini matumizi ya Mbolea za Kisasa katika nchi za Afrika ni lazima ikiwa nchi za Ulaya wanatumia Samadi?
 
Salam kwa jina la misosi,

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.

Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.

Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!

Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!

View attachment 3091860
Sumu hiyo, sio tunda
 
mkuu achana na hayo ni hatari kwa afya ,
kuna vitu wanaweka vinasababisha hayo .Hivi kweli kuna tunda laweza kukaa muda wote huo bila kuoza ?
Mweee! Na hakuna ambako unaweza pata fresh? Ni mbinu inatumiwa na wauzaji wetu au ni kutoka shambani moja kwa moja?
 
Salam kwa jina la misosi,

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.

Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.

Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!

Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!

View attachment 3091860
kama umeliweka kwenye friji linachukia wiki 6 hadi 8 haya ni maelezo kwa msaada wa google
 
Back
Top Bottom