Hivi apple huwa zinatiwa nini? Nina apple limekaa zaidi ya mwezi lakini halina hata dalili ya kuoza!

Hivi apple huwa zinatiwa nini? Nina apple limekaa zaidi ya mwezi lakini halina hata dalili ya kuoza!

Wana life span kubwa Kwa kutibiwa Kansa Kila siku
Mkuu mimi naishi hizi Nchi na Tanzania narudi karibu kila mwezi taarifa za magonjwa hapo jaribu kwenda kwenye hizo hospital za mikoa au kanda au ujaribu kwenda hata kununua dawa baadhi ya ward ukagawe hapo utajua ila ukiwa hapa unachart utaona watu wapo salama sana..
 
Mbona wao wanaokula hayo madudu yenye sumu wana life span kubwa kuliko mnaosema tule vitu vya kienyeji...
Ni kweli wanakula hayo? Au haya yanatufikia huku pekee? Ukizingatia apple ni tunda linalochukuliwa kama anasa kibongo kibongo hata sumu zitakuwa kwa watu wa aina fulani
 
Life expectancy inakuwa calculated na vitu vingi, sio tuu milo
Chakula bora ndio msingi wa watu wa eneo hilo kuwa na Maisha marefu vitu vingine vinafata kama hauwezi kuwa na chakula bora hauwezi kulala sehemu nzuri sisi tupo kwenye kuhimizana kutumia vyoo mambo ya chakula si yapo mbali sana tutakua na maisha wakati swala la sukari na mafuta tu ni tatizo..
 
Ni kweli wanakula hayo? Au haya yanatufikia huku pekee? Ukizingatia apple ni tunda linalochukuliwa kama anasa kibongo kibongo hata sumu zitakuwa kwa watu wa aina fulani
Japan wana vitu vya kutunza Matunda yanayoweza kukaa miaka zaidi ya 15 mpaka 20 na akili wanazo kuliko sisi ambao tunaua Wazee kwa mambo ya kijinga jinga sijui siasa na upuuzi mwingine..
 
La
Salam kwa jina la misosi,

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.

Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.

Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!

Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!

Pia soma: Kwanini matumizi ya Mbolea za Kisasa katika nchi za Afrika ni lazima ikiwa nchi za Ulaya wanatumia Samadi?
Lab
Salam kwa jina la misosi,

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.

Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.

Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!

Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!

Pia soma: Kwanini matumizi ya Mbolea za Kisasa katika nchi za Afrika ni lazima ikiwa nchi za Ulaya wanatumia Samadi?
Labda dawa ya kuhifadhi maiti wamechoma ya miezi 4
 
Japan wana vitu vya kutunza Matunda yanayoweza kukaa miaka zaidi ya 15 mpaka 20 na akili wanazo kuliko sisi ambao tunaua Wazee kwa mambo ya kijinga jinga sijui siasa na upuuzi mwingine..
hayo matunda hayana madhara yoyote kiafya ukilinganisha na haya ya kawaida yasiyotunzwa kwa hizo njia?
 
Chakula bora ndio msingi wa watu wa eneo hilo kuwa na Maisha marefu vitu vingine vinafata kama hauwezi kuwa na chakula bora hauwezi kulala sehemu nzuri sisi tupo kwenye kuhimizana kutumia vyoo mambo ya chakula si yapo mbali sana tutakua na maisha wakati swala la sukari na mafuta tu ni tatizo..
Kwaio unabisha??
 
Back
Top Bottom