BIG STONE AND CONER STONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 421
- 728
Mwone at apple tunda mm nifikiri apple simu wametoa iphone 16 nilifikiri unaongelea features za simu duh ww n mpare nn ...kitalolo eweh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana life span kubwa Kwa kutibiwa Kansa Kila sikuMbona wao wanaokula hayo madudu yenye sumu wana life span kubwa kuliko mnaosema tule vitu vya kienyeji...
Mkuu mimi naishi hizi Nchi na Tanzania narudi karibu kila mwezi taarifa za magonjwa hapo jaribu kwenda kwenye hizo hospital za mikoa au kanda au ujaribu kwenda hata kununua dawa baadhi ya ward ukagawe hapo utajua ila ukiwa hapa unachart utaona watu wapo salama sana..Wana life span kubwa Kwa kutibiwa Kansa Kila siku
Ni kweli wanakula hayo? Au haya yanatufikia huku pekee? Ukizingatia apple ni tunda linalochukuliwa kama anasa kibongo kibongo hata sumu zitakuwa kwa watu wa aina fulaniMbona wao wanaokula hayo madudu yenye sumu wana life span kubwa kuliko mnaosema tule vitu vya kienyeji...
Life expectancy inakuwa calculated na vitu vingi, sio tuu miloMbona wao wanaokula hayo madudu yenye sumu wana life span kubwa kuliko mnaosema tule vitu vya kienyeji...
Macho hayana pazia.Haya yanahusika nini mada Mkuu?😀😀
Chakula bora ndio msingi wa watu wa eneo hilo kuwa na Maisha marefu vitu vingine vinafata kama hauwezi kuwa na chakula bora hauwezi kulala sehemu nzuri sisi tupo kwenye kuhimizana kutumia vyoo mambo ya chakula si yapo mbali sana tutakua na maisha wakati swala la sukari na mafuta tu ni tatizo..Life expectancy inakuwa calculated na vitu vingi, sio tuu milo
Japan wana vitu vya kutunza Matunda yanayoweza kukaa miaka zaidi ya 15 mpaka 20 na akili wanazo kuliko sisi ambao tunaua Wazee kwa mambo ya kijinga jinga sijui siasa na upuuzi mwingine..Ni kweli wanakula hayo? Au haya yanatufikia huku pekee? Ukizingatia apple ni tunda linalochukuliwa kama anasa kibongo kibongo hata sumu zitakuwa kwa watu wa aina fulani
Duh!hiko kichwa cha chini hatari,kwa hiyo umeacha kuwaza apple mawazo yameenda kwingineNifanye mpango niachane na u single, yaani mtu anatomasa apple kwa lengo zuri tu lakini me kichwa cha chini kinawaza ujinga
LabSalam kwa jina la misosi,
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.
Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.
Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!
Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!
Pia soma: Kwanini matumizi ya Mbolea za Kisasa katika nchi za Afrika ni lazima ikiwa nchi za Ulaya wanatumia Samadi?
Labda dawa ya kuhifadhi maiti wamechoma ya miezi 4Salam kwa jina la misosi,
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, kiasi nna ka uvivu ka kula, naweza kununua kitu nikasema ntapika au nile napitiwa hadi nije kushtuka kimeshaharibika zamani.
Sasa ili apple nilinunua mwezi wa saba kwenye tarehe kumi naa huko, uvivu wangu wa kula kama kawaida nikaweka kwenye kitenga jikoni kila nikipita nasema ntakula kesho ntakula kesho mpaka sasa ninapoandika uzi huu.
Kumbuka halipo kwenye friji lakini kwa muda wote huo halina hata dalili ya kuharibika, limebadilika rangi kidogo lakini kama mnavyoliona ni zima kabisaa!
Huwa yanatiwa nini kuweza kukaa muda mrefu hivi bila kuharibika, imefanya nijiulize kemikali tunazoingiza mwilini kwa jina la kula healthy!
Pia soma: Kwanini matumizi ya Mbolea za Kisasa katika nchi za Afrika ni lazima ikiwa nchi za Ulaya wanatumia Samadi?
hayo matunda hayana madhara yoyote kiafya ukilinganisha na haya ya kawaida yasiyotunzwa kwa hizo njia?Japan wana vitu vya kutunza Matunda yanayoweza kukaa miaka zaidi ya 15 mpaka 20 na akili wanazo kuliko sisi ambao tunaua Wazee kwa mambo ya kijinga jinga sijui siasa na upuuzi mwingine..
Kwaio unabisha??Chakula bora ndio msingi wa watu wa eneo hilo kuwa na Maisha marefu vitu vingine vinafata kama hauwezi kuwa na chakula bora hauwezi kulala sehemu nzuri sisi tupo kwenye kuhimizana kutumia vyoo mambo ya chakula si yapo mbali sana tutakua na maisha wakati swala la sukari na mafuta tu ni tatizo..