Hivi asili ya Wameru wa Tanzania ni wapi?

Hivi asili ya Wameru wa Tanzania ni wapi?

Nakumbuka miaka ya 90, ile " Vita" ya wameru wakigombea kutenganishwa kwa dayosisi yao kanisa (KKKT). Ilikuwa shughuli, waziri wa mambo ya ndani kipindi kile kama sitakosea alikuwa Mrema. Vita ilikua kali haswa haswa.

Ngombe walikua wanauwawa, nyumba kuchomwa moto na mashamba ya ndizi kufyekwa.
 
Swali la nyongeza, hivi kuna wachaga kweli? Maan ukienda arusha, utakuta hao wameru, warombo, nk.
 
Wameru ni wamachame waliohamia meru ata lugha wanaskilizana sana na baadhi ya koo pia wanachangia unakuta ukoo flani upo kwa wameru na kwa wamachame
 
Zamani sana sana kabla ya wamasai kuja, territory ya uchagga ilikuwa inafika hadi sehemu za mlima Meru na sehemu za Arusha mjini. Wameru wanaundugu na wamachame na wasiha, pia kuna wameru wenye asili ya kimasai na kiarusha. Waarusha wana undugu na warombo ila wanaongea lugha ya kiarusha/kimasai. Pia kuna waarusha wengi sana wenye asili ya kimasai. Nadhani Waarusha original wana undugu pia na wachagga wa Kahe.
 
Kwani wachaga nawenyewe lugha zinapisha kutoka sehem moja kwenda nyingine

Yangu wa moshi tofaut na rombo

Rombo tofaut machame??
 
Baada ya kuchoshwa na matukio ya awamu ya tano ngoja leo tujifunze kidogo kuhusu kabila la Wameru

Mpaka sasa hivi haswa sijafahamu asili ya hawa jamaa wengine wanadai ni machame but wa karibu zaidi na Wameru ni waarusha na Wamasai kwa magharibi na jamii ya wasiha kwa mashariki

Maswali yangu ni haya:_

1. Ilikuaje wakafika arusha wakahamia wotee na lugha yao??maana kiasili nimeambiwa arusha walikuja tu.

2.Nini kiliwafanya wakimbilie arusha


3.Kwanini hawajiiti wachaga wakati wanatumia lugha ya kichaga??
,

Karibuni wajuzi,,,,

waMeru ni wa Bantu kati ya kabila la kichagga, ni WAKANAANI waliohamia eneo wanaloishi leo kuzunguka mlima Meru, Hawa ni kundi mojawapo la kibantu lilohama kutoka eneo la Levant (syria, lebanon, palestine, israel na Jordan) miaka 1000 B.C. kutokana na uvamizi wa makabila ya wamesodonia (Eastern Greece), warumi, waturuki na wapersia.

MERU ni derivation ya neno MORO (wamoro), MOOR (wamoroko (ca=land in latin) co), MAURI (wamauritania). MARE (wa Marecan). Hivyo kufanya jamii moja kubwa iliojipambanua kwa mnyambuliko wa kificho (Language secret codes).
Jamii hii ilisambaa sana kaskazini mwa Africa, Ulaya na Amerika, huko wakiitwa MOORS na wachache wakihamia interior of Africa.

Hivyo katika mapito yao ya miaka takribani elfu 3 sasa, jamii hii ya wameru wa Tanzania ni kati ya jamii kubwa kama nilivyowaabarisha hapo juu.

KUMBUKA, HALF OF OUR STORY, HAVE NOT YET BEEN TOLD!!!!

Itaendelea
 
Wameru hawatumii lugha ya kichaga mkuu, wana lugha yao kimeru. Pia wameru sio wamasai wala wachaga.

Wameru ni WAMERU tu
Mkuu kwanza
wameru "Warwa"
wapo wa aina
mbili,
wameru wa Kenya
na wa hapa hapa Tz,
Wanaishi sana Milima ya
Meru,
Pia wana asili
kama ya uchaga
flani ivii..
Lugha wanayoongea
ni Kirwo,
sio kichaga,upo
sahihi budaa
 
Back
Top Bottom