Hivi asili ya Wameru wa Tanzania ni wapi?

Huu uzi watu wa kaskazini hawachelewagi kujiita asili yao ni Ethiopia na Uyahudi.
Mimi sionagi shida kwa wao kujiita chochote kwani hali add value yoyote kwenye makabila yao. Wote ni Watanzania kwa sasa msije tufukuzia South mwe.
 
Hata Kenya kuna watu wana majina ya koo za kichaga hii ni fact sababu nimewaona na kuishi nao Mkuu
 
Wameru na wachagga ni niΔΊotes toka Ethiopia,ni warembo na wasomΓ― wasio yumbishwa
Hawa ni wabantu. Nilotes ni Maasai, Wadatooga (Wabarbaig), Wataturu, Dinker (Sudan), Karamanjong (Kenya), kalenjin (Kenya) n.k.
Ila asili yao inaweza kuwa Mlima Meru ya Kenya. Siyo Usambara Mountain.
 
Acha ujinga kama jambo hulijui ni vyema ukauliza na kuambiwa na wajuzi wa jambo lenyewe.Kimeru ni kimachame 100%.Tena baadhi ya koo zipo kote kote eg Urio,Urassa,Massawe.....
Hamna Mmeru URASSA au MASAWE
 
Ethiopia na Wairaq au Wambulu...hawa hata ukiwaona sidhani kama utakua na haja ya kuleta ubishani.

Kimuonekano na lugha yao itakufanya tu utafakari asili yao.
kabisa. Wairaqw ni Wakushi ambao asili yao ni Ethiopia.
 
Hawa ni wabantu. Nilotes ni Maasai, Wadatooga (Wabarbaig), Wataturu, Dinker (Sudan), Karamanjong (Kenya), kalenjin (Kenya) n.k.
Ila asili yao inaweza kuwa Mlima Meru ya Kenya. Siyo Usambara Mountain.
WADATOGA hawa jamaa ni harari sana, wanaishi na wahazabe hapa lake Eyasi, ni wazuri sana na damu yao ni moto.
 

Somalia, Kaka wawili, toka somalia, mmoja alipanda machame mwingine Meru!
 
Lakini mbona wachaga na wameru wanasikilizana? Mmeru akiongea namuelewa mbona
Ni sahihi. Ila umeshasema ni mmeru na mchaga. Inawezekana huko nyuma walikuwa watu wamoja waka split. Mbona hata wachagga wenyewe hatusikilizani mkuu.

Wewe najua ni wa Siha je Mrombo unamsikia? Au Mmarangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…