Bad ni pure Pop music sio R&B hata kwa 5% sio kabisa.......Ndiyo maana nikastuka kidogo, ila nadhani rbn na pop zinachananya watu. Mimi hadi leo nikiambiwa bad ya Michael Jackson ni rnb huwa sielewi kabisa. Binafsi huwa naona ni pop yenye element za funk...[emoji3][emoji3]
Hebu tuondolee kichefu chefu mzee babaWapo wengi tu.... hata hapa tanzania dona katri tuna kina mbosso.
Aretha Franklin ana song lake linaitwa rose is still a rose dah yule mama kwenye kufanya riffing yupo vema sana...... Sidhani kuna anaemfikia kufanya riffing.Kuna magwiji ukisikiliza nyimbo zao unamuona selina sawa na nandy.aretha franklin,diana rose,tammy tarrel,patty label,linda ronstadtView attachment 1647528
Kuna magwiji ukisikiliza nyimbo zao unamuona selina sawa na nandy.aretha franklin,diana rose,tammy tarrel,patty label,linda ronstadtView attachment 1647528
Kuna ngoma aliimba Whitney Houston na Mariah Carey inaitwa when you believe......Hujui mziki wenye Whitney Houston yule mama Mungu amrehemu, alijua kuimba Celin wa Kawaida sana, uzungu ulimbeba
Wapo wengi tu.... hata hapa tanzania dona katri tuna kina mbosso.
Hujui mziki wenye Whitney Houston yule mama Mungu amrehemu, alijua kuimba Celin wa Kawaida sana, uzungu ulimbeba
We jamaa bora ungepita kimya kimya
yna2 kwa kuwa wewe ni mwana mama sikiliza superwoman song by karyn word by wordKesho sikiliza album Karyn Layvonne White
Oh yes, namaanisha lyricsAhsante Sana
Teddy Pendergrass and Whitney Houston_Hold Me, Whitney_I have nothing hizi ngoma mbili za huyo mwanamama ndo nyimbo za kwanza kuweka ringtones kipindi hiko simu za mchinaWitney Huston
Whitney alikuwa na uwezo wa kuimba sauti ya 1 hadi ya 3 kwenye wimbo, Celin anajua sauti 1 moja 1, Celin hata kwa Maria Kelly havukiKuna ngoma aliimba Whitney Houston na Mariah Carey inaitwa when you believe......
Aiseee ule wimbo huwa unanichukua sana na una message nzuri sana...
Yap hata namba zinambeba Whitney Houston hata hvyo Celine Dion ana bonge la vibeMy love is ur love, The greatest love of all, Nazingine sikumbuki majina Houston kamsikilize anavyobadilisha sauti kuendana na mapigo ya muziki hatari
Binafsi namkubali sana huyu mama.
Katika career yake ya mziki binafsi sijawahi sikia skendo yoyote serious inayomhusu.pili nyimbo zake hajiexpose sana mwili wake ili auze album zake.. ni nyimbo unaweza angalia hata na familia yako.
Nyimbo zake zinatuliza nafsi, zinaponyesha maumivu ya moyo kwa waliotendwa..pia zina inspire never to give up...
Binafsi ngoma zake zote nazikubali.
Huyo ndio Celine dion mwenye asili ya canada
Hii mbosso inaimba nin?