Hivi atakuja tokea mwanamuziki zama hizi wa RnB kama Celine Dion

Hivi atakuja tokea mwanamuziki zama hizi wa RnB kama Celine Dion

Ndiyo maana nikastuka kidogo, ila nadhani rbn na pop zinachananya watu. Mimi hadi leo nikiambiwa bad ya Michael Jackson ni rnb huwa sielewi kabisa. Binafsi huwa naona ni pop yenye element za funk...[emoji3][emoji3]
Bad ni pure Pop music sio R&B hata kwa 5% sio kabisa.......
 
Screenshot_20201210-172226_Google.jpg
 
Kuna ngoma aliimba Whitney Houston na Mariah Carey inaitwa when you believe......

Aiseee ule wimbo huwa unanichukua sana na una message nzuri sana...
Whitney alikuwa na uwezo wa kuimba sauti ya 1 hadi ya 3 kwenye wimbo, Celin anajua sauti 1 moja 1, Celin hata kwa Maria Kelly havuki
 
My love is ur love, The greatest love of all, Nazingine sikumbuki majina Houston kamsikilize anavyobadilisha sauti kuendana na mapigo ya muziki hatari
Yap hata namba zinambeba Whitney Houston hata hvyo Celine Dion ana bonge la vibe
 
Binafsi namkubali sana huyu mama.

Katika career yake ya mziki binafsi sijawahi sikia skendo yoyote serious inayomhusu.pili nyimbo zake hajiexpose sana mwili wake ili auze album zake.. ni nyimbo unaweza angalia hata na familia yako.

Nyimbo zake zinatuliza nafsi, zinaponyesha maumivu ya moyo kwa waliotendwa..pia zina inspire never to give up...
Binafsi ngoma zake zote nazikubali.

Huyo ndio Celine dion mwenye asili ya canada

Nashukuru kumuona Celin Dion anatoka na hits song zake ,watoto wengine wa humu huyo kwao ni Old xul,wakati wetu ndio alikuwa Upcoming Artist.
 
Binafsi naona Zuchu akiendelea hivi hivi atawafunika wote hao, aanze kuimba kwa lugha ya kupandia pipa tyuuu
 
Back
Top Bottom