jitumtumba
Senior Member
- Jul 1, 2023
- 123
- 144
[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]
Kwa maelezo ya Dr Leo Wala hakuvunjwa mkono na mkuu kwenye mpira kupata injury ni kawaidaWamekuambia Mchezaji wao kavunjwa mkono... tena Friendly Match... ulitakaje wkt walishaona Game imetoka nje ya malengo yao?
aisee!
Kwa nn hawakusoma mazingira yao ya kambi kabla hawajaenda hko kwasababu walijua mapema wapi wanaweka kambi poor management.Wamekuambia Mchezaji wao kavunjwa mkono... tena Friendly Match... ulitakaje wkt walishaona Game imetoka nje ya malengo yao?
Duh!!! Aiseee..... Unajua Ball mkuu na kweli kabisa Backline ya Azam ni mbovu kabisa namba 8 hamna kabisa.Niliwaonya hapa naona hawakunisikia. Mengi yanakuja
Simba soon bossDuh!!! Aiseee..... Unajua Ball mkuu na kweli kabisa Backline ya Azam ni mbovu kabisa namba 8 hamna kabisa.
Toa uchambuzi kuhusu Simba
Nikupe maua yako mkuuNiliwaonya hapa naona hawakunisikia. Mengi yanakuja
Asante sana
timu ampe julio
kama mtendaji mkuuKinachoiua Azam siyo makocha tu, japo huyu ni mbovu ila shida iko juu
Hebu funguka kidogo huko juu kulikoni?Kinachoiua Azam siyo makocha tu, japo huyu ni mbovu ila shida iko juu