Hivi Azam FC mpo serious kweli?

Hivi Azam FC mpo serious kweli?

Wamekuambia Mchezaji wao kavunjwa mkono... tena Friendly Match... ulitakaje wkt walishaona Game imetoka nje ya malengo yao?
Kwa maelezo ya Dr Leo Wala hakuvunjwa mkono na mkuu kwenye mpira kupata injury ni kawaida
Anyway wao wanajua zaidi ila kuvunja mechi na kuwatuhumu hao watunisia nadhani hawajajiandaa na pressure za mpira
 
Wamekuambia Mchezaji wao kavunjwa mkono... tena Friendly Match... ulitakaje wkt walishaona Game imetoka nje ya malengo yao?
Kwa nn hawakusoma mazingira yao ya kambi kabla hawajaenda hko kwasababu walijua mapema wapi wanaweka kambi poor management.
 
Niliwaonya hapa naona hawakunisikia. Mengi yanakuja
 
Nakukumbusha tu kiongozi timu si ya wanachama ni YAKE YY mwenyewe. ww unawashwa nn?.
 
Niliwatahadharisha hadi leo hamjasikia. Kichwa kisichokuwa na akili ni mzigo kwa shingo
 
Aongeze kiwanda kingine hata cha kulanda mbao pale bagamoyo akawapeleka hao jamaa aachane na mambo ya mpira watamfilisi asipokuwa makini hata angewapeleka kukanda ngano siku moja moja so mbaya
 
Hasa yule mchezaji wao mbavu mbavu hivi anafaa sana kukanda ngano yule hata kubeba madeli ya ice cream
 
Back
Top Bottom